Africa Business, February 1, 2006
Not in the cabinet, but perhaps the most powerful person after Kikwete is the president's long-term political associate Rostam Aziz, the Oxford-educated economics graduate, business tycoon and parliamentarian.
Aziz is a Tanzanian of Iranian extraction with family links in
http://www.allbusiness.com/africa/1112936-1.html Iran and business links in the other Gulf countries. He has been described as the 'king maker', having played a pivotal role - over a 10-year period - in getting Kikwete nominated by the CCM as its presidential candidate. Content to play the role of the 'power-behind-the-throne', Aziz has not been keen to be in the cabinet as that would have prevented him from concentrating on his vast business interests.
A nickle for your thoughts:
.. mwaka 1980 Rostam alikuwa na miaka 11 (ukiamini tovuti ya Bunge). Alikuwa shule na kwa wazazi wake au mahali fulani katika utoto wake. Miaka 15 baadaye (1995) anaanza kuibuka Igunga (akiwa na 26 years). Baada ya hapo amekuwa katika biashara n.k na sikumbuki kama ni baada ya hapo alienda Oxford. So, kwa vyovyote atakuwa oxford kabla ya 1995 (angalau miaka 3) (tovuti ya Bunge inasema amehitibu Uchumi). Hiyo inaturudisha miaka 23. Kama ni kweli alikuja TZ akiwa na miaka 22 hiyo inatupeleka mwaka 1992.
Hivyo Chuo Kikuu itakuwa ni kabla ya hapo. Hivyo tukitoa miaka mitatu toka 1992, inaturudisha kwenye 1989. Hii inatupa umri wa RA kuanza Chuo Kikuu akiwa na miaka 20. Which is almost the age of graduating High School in Tanzania (kwa mtu aliyeanza shule ya msingi na miaka 7 atamaliza akiwa na miaka 21 so kwa vyovyote kama mahesabu yangu yanakwenda sawasawa atakuwa ameanza shule kama na miaka 6 hivi.
Kama amemaliza kidato cha sita 1989, tunakabiliwa na swali jingine kabisa.. alienda jeshini wapi? Au ndipo hapo aliporuka na kwenda Chuo Kikuu cha Oxford?
Najua mahesabu yangu yatakuwa na + or - few years ..