jambotemuv
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 224
- 62
Asante Prince W na karibu sana JF. Umetukumbusha ukweli utashinda. Hivi huyu RA alikuwa na nyadhifa CCM hata enzi za baba wa taifa? Hivi kuna nchi nyingine kama bongo wawezaingia kihunihuni tu bungeni bila hata kumbukumbu zako binafsi kuwa wazi/kamili? Kwa vielelezo hewa au pungufu mtu kama RA kuwa mbunge ni usanii wa kutisha na aibu kwa kila anayejaribu kumtetea katika hili. Kwa mtaji huu si vigumu kukubali kuwa RA ni fisadi na mwisho wake umekaribia. Mnaomtetea kwa kutoelewa poleni na twawasamehe bure.