MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,710
- 1,655
Hivi Mwamvita Makamba yupo Vodacom Foundation kwa nguvu ya RA?
Connecting dots: CCM hawawezi kumuuliza lolote RA!
Connecting dots: CCM hawawezi kumuuliza lolote RA!
1) Sina Jazba
2) Watu kuuliza basic info sishangai ila nashangazwa na Mwanakijiji kwani katika porojo huwa anajifanya kama anamjuwa sana RA.
3) Wabunge wengine kweli ukichungulia tovuti ya Bunge habari zao ziko wazi, hilo sikatai, naomba unikubalie kuwa na wengi habari zipo kidogo na wengine hakuna kabisa na si RA pekee.
4) Hakuna ajabu kwa mTanzania yeyote kuwa awepo au asiwepo Tanzania mwaka fulani, nawajua waTanzania wengi ambao hawajaikanyaga kabisa Tanzania toka kuzaliwa au hawajazaliwa kabisa lakini ni waTanzania halali.
5) Awe mTanzania wa kuzaliwa au wakuomba uraia au waKujikuta tu kawa mTanzania (kama mimi, nilikuwa mTanganyika wakati wa kuzaliwa, mara nikajikuta nimekuwa mTanzania.) Hayo yote ni matokeo na hayabatilishi uTanzania wa mTanzania.
6) Watu wako tired na rumours? basi waache kuzisikiliza hizo rumours na wale mongers waache kueneza rumours za uzushi. Tunataka watu wawe wakweli na walete habari za ukweli na ushahidi, kwani RA mwenyewe yupo, na kama kuna mtu ana uhakika wa kuwa yeye ni fisadi basi wamchukulie hatuwa za kisheria au kama wanaogopa waziweke wazi hizo evidence ili wasio na uoga wachukuwe hatua. Lakini majungu na chuki na ''agenda za siri'' hazina maana.
7) Tuko pamoja lakini si mimi nnae create unnecessary arguments nadhani watu wanaokuja na habari ambazo wanashabikia bila kujuwa ukweli au bila kuwa na ukweli kabisa ndio wana create unnecessary arguments.
Naomba mwenye ushahidi japo mmoja tu, kuhusu ufisadi wa RA autowe humu. Its an open challenge! tuwache majungu!
arguably1) Sina Jazba
2) Watu kuuliza basic info sishangai ila nashangazwa na Mwanakijiji kwani katika porojo huwa anajifanya kama anamjuwa sana RA.
3) Wabunge wengine kweli ukichungulia tovuti ya Bunge habari zao ziko wazi, hilo sikatai, naomba unikubalie kuwa na wengi habari zipo kidogo na wengine hakuna kabisa na si RA pekee.
4) Hakuna ajabu kwa mTanzania yeyote kuwa awepo au asiwepo Tanzania mwaka fulani, nawajua waTanzania wengi ambao hawajaikanyaga kabisa Tanzania toka kuzaliwa au hawajazaliwa kabisa lakini ni waTanzania halali.
5) Awe mTanzania wa kuzaliwa au wakuomba uraia au waKujikuta tu kawa mTanzania (kama mimi, nilikuwa mTanganyika wakati wa kuzaliwa, mara nikajikuta nimekuwa mTanzania.) Hayo yote ni matokeo na hayabatilishi uTanzania wa mTanzania.
6) Watu wako tired na rumours? basi waache kuzisikiliza hizo rumours na wale mongers waache kueneza rumours za uzushi.
Tunataka watu wawe wakweli na walete habari za ukweli na ushahidi, kwani RA mwenyewe yupo,
na kama kuna mtu ana uhakika wa kuwa yeye ni fisadi basi wamchukulie hatuwa za kisheria au kama wanaogopa waziweke wazi hizo evidence ili wasio na uoga wachukuwe hatua. Lakini majungu na chuki na ''agenda za siri'' hazina maana.
7) Tuko pamoja lakini si mimi nnae create unnecessary arguments nadhani watu wanaokuja na habari ambazo wanashabikia bila kujuwa ukweli au bila kuwa na ukweli kabisa ndio wana create unnecessary arguments.
Naomba mwenye ushahidi japo mmoja tu, kuhusu ufisadi wa RA autowe humu. Its an open challenge! tuwache majungu!
siyo raia wa Tanzania na ameweza kuingia Bungeni na kuwa na nguvu ya kuharibu usalama wa taifa, kuchota mabilioni ya fedha na kuyarudisha kupitia Vodacom foundation huku wadanganyika wakiamini ni misaada tu.
Shangazi. Tema mate chini. Haunijui, sikujui. Umeingia juzi tu ( machi 2009) basi na wewe unataka kuanza kunijaribu? Haushangai hao wakina Mzee Mwanakijiji, FmeS na wengine waliokutangulia hata mara moja hawajasema nimetumwa na hao unaowaita mapapa pamoja na kuwa tuko pande tofauti za hoja? Hapa tunajadiliana kiungwana. Kama kwako kukosolewa ni uadui basi hapa hapakufai. Inawezekana umesoma kuliko mimi lakini kwa mfano huu, naona haujaelimika. Huu ni ushauri wa bure na sina haja ya kujibishana na wewe.
Amandla.........
Matusi ya nini? Raia wa Iran na Canada ndiye mbunge wa Igunga! Muogope Mungu.
Shangazi. Tema mate chini. Haunijui, sikujui. Umeingia juzi tu ( machi 2009) basi na wewe unataka kuanza kunijaribu? Haushangai hao wakina Mzee Mwanakijiji, FmeS na wengine waliokutangulia hata mara moja hawajasema nimetumwa na hao unaowaita mapapa pamoja na kuwa tuko pande tofauti za hoja? Hapa tunajadiliana kiungwana. Kama kwako kukosolewa ni uadui basi hapa hapakufai. Inawezekana umesoma kuliko mimi lakini kwa mfano huu, naona haujaelimika. Huu ni ushauri wa bure na sina haja ya kujibishana na wewe.
Amandla.........
Fundi mchundo na wewe mtanzania kweli wakati hujui kwamba upumbavu si tusi? Ni just hali ya kutokujua baya na zuri kama wewe usivyojua ufisadi ni dhambi. Sasa kwa nini huyo RA asemwe na kila mtu? Ok Mengi tutasema ni biashara then wasiofanya biashara wanamuonea wivu na kumsakama kwa lipi. Dhambi hii kamwe hautaikwepa na utahukumiwa bila kujali wewe ni dini gani. Eti kazaliwa Tabora anaongea kinyamwezi, hayo hayatoshi kumfanya yeye Mtanzania halisi.
AMKA! TAFAKARI! CHUKUA HATUA!
Pili, umesema nimejiunga march, Kila kitu kina mwanzo hata wewe kuna siku ulijiunga kama mimi na kujiunga muda mrefu si maana kwamba unaweza kuchangiua vizuri saaana. Na ndio maana hao unaowasifia hawajaleta hoja unazoleta.
TUANGALIE NJAA ZETU ZITATUPONZA.
SAA YA UKOMBOZI NI SASA!
This must be one of the most insidious thread I have ever come across in this forum. Though we pretend otherwise, it is just another exercise in hate mongering and race baiting.
This must be one of the most insidious thread I have ever come across in this forum. Though we pretend otherwise, it is just another exercise in hate mongering and race baiting.
Hivi kweli hatuwezi kumkosoa mtu bila kuingiza mambo ya asili yake? Tunaendeleza yale tuliyowafanyia wazalendo wakina Jenerali Ulimwengu na watumishi wengine ambao kosa lao lilikuwa ni kutoka kabila lililoko nchi ya jirani. Tunaendeleza yale ambayo jirani zetu wa Zambia walinfanyia rais wao wa kwanza. Yale ambayo wenzetu wa Afrika Magharibi wamekuwa wakifanyiana, Ivory Coast na Allasane Quattara.
Tumefikia mahali pa kumlaani kwa kusaidia jamii. Hivi tunaona bora angefanya kama walivyofanya wamatumbi wenzetu walioishia ku-air freight magari ya kifahari?
Mheshimiwa Rostam ni mtanzania mpaka hapo itakapothibitishwa vingine, kangaroo courts not withstanding. Ahukumiwe kama Rostam na si kwa hizi hadithi za alinacha kuhusiana na asili yake. Katika hilo bunge letu tukufu wangapi wameweka wazi kile wanachodai ni mafanikio yao ya elimu? Mnataka muambiwe kuwa wengine walijisomea kupitia correspondence schools? Sisi ambao tunaabudu vyeti kupita kiasi?
Huyu mbunge anagombea katika jimbo analodai ana asili nalo na wananchi wa huko wanamchagua! Bila shaka wao ndio wenye uhakika zaidi wa asili yake kuliko sisi "armchair generals" ambao kwa sababu zetu binafsi tumeamua kuendesha vendetta dhidi yake! Kama Rostam ni mwizi, kama ni fisadi ni tabia yake kama Rostam na si kutokana na asili yake. Iwe Igunga au Iran!
We can surely do better than this!
Amandla......
Kuna watu wawili ambao wamejaribu kunipa taarifa ya asili ya Rostam... wote wawili walipobanwa juu ya some specifics hakuna aliyerudi.... Rostam atakuwa na nguvu as long as kwamba kuna watu wanafurahia fedha yake.. once these people wataona hela yake ni ya muda atageukwa na siri yake ambayo inajulikana hadi TISS itafunuliwa.. hapo ndipo watakapojua watu he has been the biggest con artist to enter the Tanzania political stage...
MM na wana JF wote, tafadhali msisahau kuwa RA ni surrogate president of Tanzania.
This must be one of the most insidious thread I have ever come across in this forum. Though we pretend otherwise, it is just another exercise in hate mongering and race baiting.
Hivi kweli hatuwezi kumkosoa mtu bila kuingiza mambo ya asili yake? Tunaendeleza yale tuliyowafanyia wazalendo wakina Jenerali Ulimwengu na watumishi wengine ambao kosa lao lilikuwa ni kutoka kabila lililoko nchi ya jirani. Tunaendeleza yale ambayo jirani zetu wa Zambia walinfanyia rais wao wa kwanza. Yale ambayo wenzetu wa Afrika Magharibi wamekuwa wakifanyiana, Ivory Coast na Allasane Quattara.
Tumefikia mahali pa kumlaani kwa kusaidia jamii. Hivi tunaona bora angefanya kama walivyofanya wamatumbi wenzetu walioishia ku-air freight magari ya kifahari?
Mheshimiwa Rostam ni mtanzania mpaka hapo itakapothibitishwa vingine, kangaroo courts not withstanding. Ahukumiwe kama Rostam na si kwa hizi hadithi za alinacha kuhusiana na asili yake. Katika hilo bunge letu tukufu wangapi wameweka wazi kile wanachodai ni mafanikio yao ya elimu? Mnataka muambiwe kuwa wengine walijisomea kupitia correspondence schools? Sisi ambao tunaabudu vyeti kupita kiasi?
Huyu mbunge anagombea katika jimbo analodai ana asili nalo na wananchi wa huko wanamchagua! Bila shaka wao ndio wenye uhakika zaidi wa asili yake kuliko sisi "armchair generals" ambao kwa sababu zetu binafsi tumeamua kuendesha vendetta dhidi yake! Kama Rostam ni mwizi, kama ni fisadi ni tabia yake kama Rostam na si kutokana na asili yake. Iwe Igunga au Iran!
We can surely do better than this!
Amandla......
unajua unachokisema ni kikubwa mno kuliko unavyoashiria..
a. Inawezekana vipi kijana wa miaka 25 kutoka asikojulikana kuweza kugombea Ubunge na kushinda?
b. Akiwa na miaka 30 hivi kijana huyo huyo anakuwa mtu mwenye nguvu kabisa nchini kiasi cha kuitwa na jarida mojawapo kuwa ni "King Maker"?
c. Akiwa chini ya miaka 40 anaweza kuwafanya watu kama kina Ruhinda, Kingunge, Mkapa, Mwang'onda, n.k kuweza kukaa chini na kugwaya mbele zake?
d. Inakuwaje mtu huyo kuweza kupanga safu yake ya mashambulizi kuanzia Ikulu.. na hakuna mtu anayeweza kumnyoshea kidole hata gizani?
Asili ya nguvu zake ni nini? Watu wengi wanafikiri ni fedha yake... Hili si kweli kwani watu wenye fedha wamekuwepo wengi kabla yake kuna watu waliokuwa waitikise nchi hii kama wangetaka.. kina Rajpar (wengine hata hawamkumbuki huyu), kina Somaia (yule wa Tanga), na wengine wengi.
Mzee Mengi aliwahi kuuliza swali ambalo lina umuhimu kweli, "kiburi chake anatoa wapi"?
unajua unachokisema ni kikubwa mno kuliko unavyoashiria..
a. Inawezekana vipi kijana wa miaka 25 kutoka asikojulikana kuweza kugombea Ubunge na kushinda?
b. Akiwa na miaka 30 hivi kijana huyo huyo anakuwa mtu mwenye nguvu kabisa nchini kiasi cha kuitwa na jarida mojawapo kuwa ni "King Maker"?
c. Akiwa chini ya miaka 40 anaweza kuwafanya watu kama kina Ruhinda, Kingunge, Mkapa, Mwang'onda, n.k kuweza kukaa chini na kugwaya mbele zake?
d. Inakuwaje mtu huyo kuweza kupanga safu yake ya mashambulizi kuanzia Ikulu.. na hakuna mtu anayeweza kumnyoshea kidole hata gizani?
Asili ya nguvu zake ni nini? Watu wengi wanafikiri ni fedha yake... Hili si kweli kwani watu wenye fedha wamekuwepo wengi kabla yake kuna watu waliokuwa waitikise nchi hii kama wangetaka.. kina Rajpar (wengine hata hawamkumbuki huyu), kina Somaia (yule wa Tanga), na wengine wengi.
Mzee Mengi aliwahi kuuliza swali ambalo lina umuhimu kweli, "kiburi chake anatoa wapi"?
Hizo ni fikra duni na chuki na ubaguzi wa hali ya juu!
Jee unatamani ungekewa ni wewe?
Au una asili ya wapi wewe? kwani kuna makabila ya Tanzania yanayojulikana kwa roho mbaya na uhasidi, nadhani wewe unatoka katika moja ya makabila hayo! wa
Kama wananchi tunahaki za kuhoji kuhusu Uraia wa RA na kiongozi yoyote ambaye hatuko convice he is legal immigrant. This is a democratic country we have that power to ask! Why are you so concern? Hutaki wananchi tupractice our democratic rights and the right to have/ access information with respect to our political representative? I really cant understand you whatsoever, to me you seem like you are trying to be a dictator!!! As well as trying to undermine citizen rights to information.
You are confusing me and if you are close to RA, then mwambie wananchi tunademand right of information regarding his immigration status.