This is my future car...Whats yours?

This is my future car...Whats yours?

images
 
Nakipata mkuu hiyo si ni Peugeot?




Yap linaitwa Guruwe,280km/h na ikiwa ni Special Edition inweza kuwa 320km/h.Wameacha kuyatengeneza haya miaka mingi sana lakini kama una hela yako unaruhusiwa kupeleka order na options zako na wanakutengenezea,and that is my dreams cause I miss the first one very much.Its like it made me a Peugeot addict..
 
Yap linaitwa Guruwe,280km/h na ikiwa ni Special Edition inweza kuwa 320km/h.Wameacha kuyatengeneza haya miaka mingi sana lakini kama una hela yako unaruhusiwa kupeleka order na options zako na wanakutengenezea,and that is my dreams cause I miss the first one very much.Its like it made me a Peugeot addict..

Ukipata gari kama hii unai_PIMP ile mbaya...Ila mimi napenda magari ya High-Tech.
 
Ha ha haaa!!! Duhhh!!!! Unaweza kusema sio yenyewe aisee.




Na ina stability ya ajabu,nakumbuka niliwahi kuzunguka nayo round about ya pale Railway Gerezani nikiwa 70km/h,ilikuwa kama saa saba usiku natokea upande wa Railway station kwenda Kariakoo...
 
Na ina stability ya ajabu,nakumbuka niliwahi kuzunguka nayo round about ya pale Railway Gerezani nikiwa 70km/h,ilikuwa kama saa saba usiku natokea upande wa Railway station kwenda Kariakoo...

Ni gari moja yenye body ngumu sana sio kama gari za siku hizi.
 
Bugatti....!!! mambo yote...!! Hapa BMW wanaigiza Bugatti..!!
 
Mkuu unatisha,nyc car!mi ka vitz new model kananitosha kwa misele ya hapa na pale ktk jiji letu la dar!

Ha ha ha haaa!!! Vitz ipi mkuu? Usiishie kuitaja tu...tuwekee picha yake hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom