Na Mabumps ya barabara za Bongo kweli itawezekana kuendesha gari kama hii??
Duh, mkuu umeachana kabisa na mambo yako kule jukwaa la kikubwa??? Manake yale mambo yetu kule ndio yanayotuvurugia ndoto zetu...
Kama unaishi bongo, itabidi u-designate barabara za kupita. Or maybe uiendeshe kwenye yard yako.
Kwa nini mkuu kwani barabara za kawaida zimefungwa?
Utaweza kupita Davis' corner Tandika na hiyo gari? Au kwenda nayo Mbezi Makabe?
Hongera mkuu Young Master , naona una "mijindoto" mikubwa mikubwa tu!:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Mbona sioni likibinuka mkuu?
picha ya pili ilikuwa haiko poa link ila now iko poa
Mie nna ndoto ya kuongeza mke wa pili mkuu!:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:Ha ha haaa!!! Shukrani mkuu...na wewe ndoto yako ipi kamanda?
Sasa huko mimi nikafanye nini mkuu wakati mimi naishi Arusha?
Hata Arusha kuna mwanama!
Mie nna ndoto ya kuongeza mke wa pili mkuu!:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
On a serious note, nataka kuwa mkulima/mfugaji mkubwa kabisa hapa Tanzania (in the next 15-20 years). Hii ndio ndoto yangu. Nataka 25% ya watanzania katika kila mlo wao, wawe wanatumia mmojawapo ya products/produce zangu. Najua ni ndoto kubwa sana lakini siachi "kuiota"!
I dream to get a Special Edition of this one just for me.....
It was manufactured for the last time in 1968.....
I bought it for the first time in 1992....