Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 478
Acha kupepesa maneno jibu ulichoulizwa...Ha ha haaaa!!! Mbona hilo swala la kawaida sana mkuu.
Halafu ingekuwa vizuri hizi ndoto zako unaziwekea muda wa kutimia ili wadau wawezi kuthibitisha kama ni kweli!
Vinginevyo hutakuwa tofauti sana huyu jamaa hapa...
View attachment 76510