Hapa pamenigusa sana! Nimejikuta adrenalin inapanda ghafla! Nimemchukia huyo jambazi! Nimetamani ungekumbuka kumshtaki immediately. Pole sana japo unasema ulishapoa. Naomba tuambie tu je, alikupa huo mzinga wa scotch umpelekee baba? Mahusiano yake na familia yenu yalikuwaje baada ya hilo tukio?
Kaunga but parents have to be watchful..........................how do you send own daughter for a mere whiskey? it beats me to the fore..........the guy promised to meet the doctor in hospital why can't he bring his whiskey or whatever that meant?
Pole dada Kaunga,wish ningemjua................nitamtafuta.........nitampata...........he gona pay for his past....... pole again ilumbuye
Pole mkuu...I promise nitakuwa karibu sana na wanangu,I will make them my friend ili nijifunze pia kutoka kwao!thanx for sharing, hakika umenipa somo!
Jamaa: binti hujambo?Me: sijambo shikamoo.Jamaa: unapafahamu kwa Ruga.....?Me: ndio, ni nyumba ile pale.Jamaa: kwani we unakaa wapi?Me: kwa Dr........Jamaa: aah, dr ...... ni rafiki yangu sana. Hivi no yenu ya simu ni ngapi vile?Me: ni 2..6.Jamaa: unasoma?Me: ndio.Jamaa: form gani?Me: form three.Jamaa: kumbe umekua, unaweza kutupa vitu vitamu.Me: (mfyonzo, robo wa Patience Ozwokor wa Nigeria) na kurudi nyuma ili aendelee peke yake.Next day...Ngri ngrii (mlio wa simu).Me: HallowJamaa: hallow naomba kuongea na Kaunga.Me: ndio mimi.Jamaa: good, njoo hotel ....... nakusubiriMe: sawa.After three days.Nikiwa dining, nachungulia dirishani; naona jamaa anakuja. Nikakimbia jikoni kwa mom.Akapiga hodi na baba akamkaribisha, nikiwa nasikia anachoongea na baba ilikuwa hivi.Jamaa: Dr ninajisikia vibaya na nimeishiwa dawa zangu za pressure, l was wondering kama utakuwa na akiba nyumbani.Baba: hapana sina, ila kesho naweza kukuleteaJamaa: never mind, nitakuja mwenyewe hospitali.(Wakaongea ongea kama dkk 5 hivi mimi nikiwa kimya jikoni)Jamaa: I have a bottle of scotch whiskey nyumbani, hakuna mtoto unayeweza kumtuma?Baba: ooh yes, KaungaMe: (kimya)Baba: KaungaMama: we Kaunga si unaitwa na baba yako?Me: abee (nikaenda)Baba: nenda na ........ kaniletee mzigo.Me: Shikamoo ( to jamaa of which kama ya kwanza aliignore na kuongelea vitu vingine)Tukaongozana na jamaa yeye mbele, mimi pulling my legs mpaka home kwake ambapo alinitoa usichana wangu.Copy kwa Asprin na wapenda lager wote wenye mabinti.
I know what you are capable of my bro and that's why sitakwambia ni nani, maana sitaki my bro awe behind the bars.
Yes nilipeleka, as mahusiano yalikuwa non-existence kama mwanzo; baba yangu kwa kazi yake watu wengi walikuwa wanamjua and as me he was poor with names and faces, so ilibidi amchangamkie yoyote anajifanya kumfahamu. So the guy couldn't stop calling ofcourse na kukata kila anapopokea mtu mwingine which was bad for me as nilikuwa binti pekee home and my bros couldn't be fooled.
Ndio sababu kuu ya kuileta humu, ili wazazi tujifunze kama lipo la kujifunza.
By the way l am happy to see you.
Kaunga but parents have to be watchful..........................how do you send own daughter for a mere whiskey? it beats me to the fore..........the guy promised to meet the doctor in hospital why can't he bring his whiskey or whatever that meant?
dah pole sana,ila naona wewe ulivunjwa kistaarabu sana....wengine tukisema jf itafungwa kwa muda hapa
Hivi huyo mtu yuko hai? Je, ana watoto? Yaani kila muda unavyoenda na ninavyosoma majibu yako ndivyo ninavyozidi kumchukia huyo mtu. All in all umenipa somo kubwa sana Kaunga. Thats very brave of you to share this with us. Stay blessed!
mimi mwenyewe nimenusurika kubakwa juzi babu na uzee huu.wanaume wapuuzi kweli except u