Niliisikia sauti ya Roho Mtakatifu ikiniambia kuwa niishee hii story kwani itaokoa wengi, now that you have told me umemwombea Matesha ndio naamini ni Roho huyo huyo kaniongoza nikumention wewe of all people.Swali la kizushi: Kwanini umeamua kushea na sisi hii makitu hivi leo tena siku nlokula sakramenti nikimuombea Matesha wngu apate nafuu haraka?
Umeona my wi;
My mum alikuwa na shida na baba, so tangu nakuwa sikumuona akiwa happy. Waliseparate nikiwa mdogo sana, baadaye alirudi lkn baba mambo ya lager kwa kwenda mbele; so mama alikuwa ni kusali na yeye yeye na kusali.
So somehow sikupenda kumtrouble na maisha yangu.
Parenting ni changamoto, some parents wanaona not talking about things kuwa ndio njia sahihi. Na some kids thinks they can handle every situation by themselves; l did well with boys, lkn nilivyokuwa confronted na huyo mbaba l was less smart.
Kama hii story ni ya kweli natamani kukuita mpumbavu lakini najua nikikutukana nitaendelea kukuumiza zaidi. Kama ni kweli, kuna mapungufu mengi sana nayaona.
1. Mtu ameshakuambia ni rafiki sana na baba yako, yaani Dr. kwa nini akuombe wewe namba ya simu si ungemwambia huikumbuki ampigie tu baba?
2. The following day alipopiga simu ukapokea akaomba kuongea na Kaunga ukasema ndio wewe akakumbia njoo hotel ukajibu sawa... nini kiliendelea, ulikwenda?
3. Alipokuja nyumbani ukamuona ukaenda jikoni baada ya kuitwa na baba ukakataa mama alipoinsist si ungemweleza?
4. Ulipoongozana naye kulikuwa na ulazima gani wa kuingia ndani wakati ulishajua nia yake? Kwani hiyo chupa ulishindwa kumwambia akuletee nje akikataa unaachana nayo unarudi nyumbani unakimbia na kuwaeleza wazazi wangekuelewa tu kwani hata wao wangeshangaa ni kwanini akulazimishe kuingia ndani wakati yuko peke yake
5.Baada ya kufanyiwa kitendo hicho kwa nini usingerudi unalia ukawaeleza wazazi au ulikifuarahia?
6. Hivi pana umbali gani kati ya kwenu na kwa huyo mbaba, je wazazi hawakushtuka muda uliotumia against muda ambao ungetumia kwa kuchukua chupa ya kinywaji na kurudi?
Yapo mengi ya kujiuliza ndo maana nikatamani kusema wewe ni mpumbavu lakini nikaghairi. Wala sikupi pole.
Pole sweets. Naomba nifafanulie hapo kati simu ilipoita ukaitwa hotelini ulienda? Its not clear to me. I am really sorry for what happened.
My cousins daughter alibakwa repetitively na shemeji yake. Alipokuja kupata STD ndio watu walistuka. That child was so disturbed alipata heart problems. At the time wali lose case because walikosa hela ya ku bribe etc. I decided to study law to be able to assist such people who seek justice but their pockets do not allow it.
Wifi! Wakati nachangia hii nilisoma post yako ya kwanza tu! Sikujua ni personal experience. I am sorry for what happened to you! You are a survivor, and i am very proud of you. Asante kwa ujasiri wa kushare hii.
Kitu kimoja naendelea kushangaa hadi leo, labda baba na mama walitofautiana sometimes. Lakini nimekua na baba mkali sana na mama strict but very understanding na shosti wa ukweli. Nikifikiria nilivyokiwa open kwake, na hakugomba wala kureact basi huwa najishangaa. Muhimu ni kuwa karibu na wapwa zangu, hakikisha wanakuambia kila kitu. Mfano, hapo kwenye incident ya simu ungekuwa ulisema, ungelindwa. Lakini hakukuwa na room kwako kusema.
Nafurahi ile problem ya mwenetu ya shule tuliihandle vizuri na kushiriki kama sehemu ya matatizo yako. You are doing well with our son. Mungu atangulie kila jambo.
You are never defeated unless you give up. And to be a victim is a choice. To be happy is a choice as well! Unajua nakupendaje?
Wala hujakosea kuniita mpumbavu, coz looking back sijioni zaidi ya mpumbavu.
Sikwenda hotelini ndio maana akaja kwetu. Umbali wa kwake na kwetu ulikuwa kama dkk 7 hadi 10 kutembea. Kwanini niliingia sikumbuki details lkn ndio moja ya upumbavu nilioufanya; ndio maana nimesema kwenye post moja hapo juu ninajilaumu mimi zaidi. What l am sure of ni kwamba, sikutaka wala kupenda hicho kitu!
Pole sana, naamini ni siku nyingi kidogo maana siku hizi hakuna mzazi anayeweza kumtoa bintiye sadaka kama ilivyotokea kwako kwani mabinti wa siku hizi werevu ka nini...
Kama hii story ni ya kweli natamani kukuita mpumbavu lakini najua nikikutukana nitaendelea kukuumiza zaidi. Kama ni kweli, kuna mapungufu mengi sana nayaona.
1. Mtu ameshakuambia ni rafiki sana na baba yako, yaani Dr. kwa nini akuombe wewe namba ya simu si ungemwambia huikumbuki ampigie tu baba?
2. The following day alipopiga simu ukapokea akaomba kuongea na Kaunga ukasema ndio wewe akakumbia njoo hotel ukajibu sawa... nini kiliendelea, ulikwenda?
3. Alipokuja nyumbani ukamuona ukaenda jikoni baada ya kuitwa na baba ukakataa mama alipoinsist si ungemweleza?
4. Ulipoongozana naye kulikuwa na ulazima gani wa kuingia ndani wakati ulishajua nia yake? Kwani hiyo chupa ulishindwa kumwambia akuletee nje akikataa unaachana nayo unarudi nyumbani unakimbia na kuwaeleza wazazi wangekuelewa tu kwani hata wao wangeshangaa ni kwanini akulazimishe kuingia ndani wakati yuko peke yake
5.Baada ya kufanyiwa kitendo hicho kwa nini usingerudi unalia ukawaeleza wazazi au ulikifuarahia?
6. Hivi pana umbali gani kati ya kwenu na kwa huyo mbaba, je wazazi hawakushtuka muda uliotumia against muda ambao ungetumia kwa kuchukua chupa ya kinywaji na kurudi?
Yapo mengi ya kujiuliza ndo maana nikatamani kusema wewe ni mpumbavu lakini nikaghairi. Wala sikupi pole.
Asante, ni siku nyingi sana tu (90s), jamani baba yangu hakuwa na idea; na kosa ni langu sikusema hizo ill-intention za yule mbaba. Nakubalina nawe mabinti wa siku hizi ni werevu sana, lkn ni muhimu kujua bado kuna watu hata ndugu wanaweza pata chance ya kuharibu.
Thanks dearest, l know l can count on you guys. Yes l am a survivor as l never allowed that incident to victimize me forever. As for my kid, nina hakikisha kile ambacho nahisi mimi nilikikosa yeye anapata mf: as a last born sikuhusishwa kbs ktk miipango yoyote ya familia as l was always mdogo; so my son nimenamuhusisha ktk mipango yote since he was 3 na l wish ungemuona; maana sio walimu tu wanaocomment on his confidence bali hata watu wengine anaokutana nao hata kwa 5 minutes.
Anyway, l hope kwa kushare my story yangu watu wataona zaidi ya upumbavu wa binti aliyekuwa na miaka 16 na kujifunza malezi
Asante, ni siku nyingi sana tu (90s), jamani baba yangu hakuwa na idea; na kosa ni langu sikusema hizo ill-intention za yule mbaba. Nakubalina nawe mabinti wa siku hizi ni werevu sana, lkn ni muhimu kujua bado kuna watu hata ndugu wanaweza pata chance ya kuharibu.
Asante, ni siku nyingi sana tu (90s), jamani baba yangu hakuwa na idea; na kosa ni langu sikusema hizo ill-intention za yule mbaba. Nakubalina nawe mabinti wa siku hizi ni werevu sana, lkn ni muhimu kujua bado kuna watu hata ndugu wanaweza pata chance ya kuharibu.
Kaunga, Kaunga Kaunga...... !
Tuna nini mimi na wewe? Kikombe alichonipa baba, sitakinywa?
Popote pale ulipo Kaizer, hebu kuja pande hii.
Baada ya kusema hayo, Eeeh Mola nakuomba uwanusuru mabinti zangu Matesha na Mamshanga. Watie upofu mabazazi KakaKiiza na Mwanaizaya Superman wasiwaone kwa macho yao. Walemaze vikojoleo Fidel80 na mzabzab ili hawa mabinti waolewe wakiwa na bikra zao. AMINA!
Hebu kam zi wei Kaunga tutete jambo kwanza.
Jamaa: binti hujambo?
Me: sijambo shikamoo.
Jamaa: unapafahamu kwa Ruga.....?
Me: ndio, ni nyumba ile pale.
Jamaa: kwani we unakaa wapi?
Me: kwa Dr........
Jamaa: aah, dr ...... ni rafiki yangu sana. Hivi no yenu ya simu ni ngapi vile?
Me: ni 2..6.
Jamaa: unasoma?
Me: ndio.
Jamaa: form gani?
Me: form three.
Jamaa: kumbe umekua, unaweza kutupa vitu vitamu.
Me: (mfyonzo, robo wa Patience Ozwokor wa Nigeria) na kurudi nyuma ili aendelee peke yake.
Next day...
Ngri ngrii (mlio wa simu).
Me: Hallow
Jamaa: hallow naomba kuongea na Kaunga.
Me: ndio mimi.
Jamaa: good, njoo hotel ....... nakusubiri
Me: sawa.
After three days.
Nikiwa dining, nachungulia dirishani; naona jamaa anakuja. Nikakimbia jikoni kwa mom.
Akapiga hodi na baba akamkaribisha, nikiwa nasikia anachoongea na baba ilikuwa hivi.
Jamaa: Dr ninajisikia vibaya na nimeishiwa dawa zangu za pressure, l was wondering kama utakuwa na akiba nyumbani.
Baba: hapana sina, ila kesho naweza kukuletea
Jamaa: never mind, nitakuja mwenyewe hospitali.
(Wakaongea ongea kama dkk 5 hivi mimi nikiwa kimya jikoni)
Jamaa: I have a bottle of scotch whiskey nyumbani, hakuna mtoto unayeweza kumtuma?
Baba: ooh yes, Kaunga
Me: (kimya)
Baba: Kaunga
Mama: we Kaunga si unaitwa na baba yako?
Me: abee (nikaenda)
Baba: nenda na ........ kaniletee mzigo.
Me: Shikamoo ( to jamaa of which kama ya kwanza aliignore na kuongelea vitu vingine)
Tukaongozana na jamaa yeye mbele, mimi pulling my legs mpaka home kwake ambapo alinitoa usichana wangu.
Copy kwa Asprin na wapenda lager wote wenye mabinti.