Third terminal at Dar es Salaam airport

Third terminal at Dar es Salaam airport

Unajicontradict. One one side you agree with me on the resticted land availabilty around the airport, on the other you dispute the notion that moving and building a newer modern and spacious (land wise) as being impractical.
Bila shaka hatuwezi kujilinganisha na Dubai, lakini kama ulikuwa unafuatilia maendeleo yake, ungefahamu kuwa as recently as in early 70's Dubai kimaendeleo ilikuwa tunakwenda nayo sambamba kabisa.

Ukichukulia bahati ya natural resources zetu na upatikanaji wa bidhaa za mafuta, ungeona iko haja ya kuangalia mbali kidogo na kujiyarisha kwa kihamisha kiwanja cha ndege.
Kipawa hapatoshi na wala hapafai tena kuwa na International Airport.
That's my two cents' worth!
Aisee, unashangaza si kidogo! Ni wapi nilipoji-contradict? Ni wapi umeongelea suala la land scarcity? Kama kuna mahali umeongelea binafsi sijaona na post niliyoi-quote sijaona popote ulipozungumzia suala la ufinyu wa ardhi!

Tukirudi suala la Dubai; pale ni zaidi ya hicho ulichoita ni upatikanaji wa bidhaa za mafuta coz' nchi zote za ghuba kuna mafuta! Kikubwa kilichosababisha influx ya wageni Dubai ni ile hatua ya kuamua kuibadilisha Dubai kutoka kwenye uchumi wa mafuta na kuifanya kuwa commerce and tourism hub. nature ya uchumi wa dubai ni ile inayofanya asilimia kubwa ya wageni kuingia na kutoka na si kubaki kama ilivyo kama ilivyo kwa Ulaya na Marekani! Hivyo basi, ingawaje tuna gas boom, bado itategemeana na vile uchumi wetu tutakavyoujenga; aina ya uchumi tutakaojenga ndio utakao-determine aina ya wageni; ikiwa wa kuja na kuondoka (kama ilivyo majority kwa Dubai) au wa kuja na kuhemea!
 
Nilizungumzia kuhusu land scarcity in my previous post. My apologies if you didn't see/read it. Nilionyesha concern yangu kuh kuweko kwa reli ya Tazara, viwanda na makazi ya watu hadi Kitunda.
My primary concern wala sio size na uzuri wa terminal building.
Haina maana kuwa na huge and fantastic terminal wakati only small light jets ndio watao kuwa wateja wakubwa.... Reason being runway ya Dar ni ndogo na fupi kuliko zote za viwanja vikuuu vya Afrika Mashariki. Ni kama futi 8,500 tu. A descent runway length to safely accomodate large jumbo jets at their maximum capacities is over 10,000 feet long. Kama nia ni kuongeza capacity ya terminal, inabidi wajumuishe na capacity ya runways vile vile. Kwa hiyo ingekuwa busara kuhamisha kiwanja chote wakipeleke sehemu itakayokuwa na nafasi ya kujiendeleza kwa miaka hamsini ijayo na zaidi. Dar airport has maxed out!

Mkuu unaona kwa mfano jinsi ujenzi wa nyumba Bagamoyo road yote (Alli H. Mwinyi road) ulivyopangwa na Wakoloni?? Nyumba zilijengwa mbali kabisa na barabara kiasi ambacho hadi leo hii imewezekana kuipanua bila tatizo, except for the recently built buildings zilizoruhusiwa na wataalam wetu mamburula!!!

Sioni kwa nini tuna tatizo la kubuni na kuthubutu kutekeleza ubunifu huo tukizingatia ya leo na muelekeo wa miaka ijayo.

We,as Tanzanians tend to react to events and not be proactive in our planning and execution of such.
Sadly, our East African patners have seen this, and hence the birth of the coalition of the willing?
 
Huu uwanja wa Jomo Kenyatta ndiyo wakuutolea mifano wakati mweingine tuwe makini wanaukumbi hebu angalieni huu uwanja hapa chini amabao Mwita Maranya anautolea mifano kila kikicha.


wE Ritz nawe sijui unaelekea kuchanganyikiwa, sasa huo ni uwanja au ni jingo?

Hatahivyo hiyo picha ni ya Jengo ambalo ilipigwa picha muda mrefu sana na sasahivi liko kwenye mchakato wa ukarabati mkubwa baada ya kuungua moto hivi karibuni.

Ungekuwa umejitendea haki wewe mwenyewe kama ungetuwekea picha ya majengo yote yaliyoko uwanjani hapo na majengo mengine mapya yanayoendelea kujengwa pamoja na runways & taxways ili watu wapate picha ya uwanja tunaouzungumzia.

Angalau kwa kiwango cha wakenya walichofanya kwa Jomo Kenyatta International Airport wanajivunia kuwa na uwanja wa ndege wwenye kukidhi viwango, sio hapa bongo wakati wa peak hours ukifika terminal two unatamani kupiga mtu makofi kwa jinsi watu walivyosongamana.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwita Maranya,
Kwa upande mmoja nakubaliana na wewe umuhimu wa mambo in the Long Run! Hata hivyo, kwa upande unatakiwa kujiuliza je, umefanya projection na kufahamu hiyo idadi ya 6 million passengers itafikiwa lini? Hilo ni muhmu kuangalia coz' wanaposema wanajenga uwanja utakaoweza ku-cater 6 million passengers annually haina maana kwamba up on completion, hiyo idadi itafikiwa mara moja! Kwa mfano, ukiangalia takwimu za Tanzania Airport Authority, kipindi kuanzia 2001 hadi 2011 abiria waliongezeka ni takribani 1.2 million over the entire time; wastani wa abiria 120,000 kwa mwaka! Tukichukua kuanzia 2009-2011 (nimechukua hiyo interval coz' 2008 walifikia peak lakini 2009 wakashuka; probably kutokana na world's economic crisis), wastani wa abiria ambao waliongezeka kwa mwaka ni takribani laki 1.3 kwa mwaka, ingawaje namba ili-shoot between 2010-2011 (probably SA world cup ilisaidia kufanya watu kupitia JNIA na vile vile kipindi hicho Uwanja wa taifa ulikuwa busy sana na international matches). So, kwa kuangalia hayo, inawezekana kabisa hawaja-forecast far enough lakini vilevile sidhani kama forecast iliyofanyika ni ya kijinga zaidi! But on top of that, kinachojengwa ni terminal three; terminal two ipo pale pale hata kama itabadilishwa na kuwa for domestic flight; so any time inaweza ku-resume ku-cater international flights when necessary!

Mkuu NasDaz nakubaliana na wewe 100% lakini ni muhimu ukazingatia kwamba kama hatutaweza kuwa na shirika letu la ndege (Air Tanzania) lenye ndege zake lenyewe na linaloweza kufanya safari za ndani na nje kama lilivyokuwa hapo kabla halijauzwa kwa makaburu, itakuwa ni kazi kubwa sana kuwa na uhakika wa ongezeko la wasafiri.

Serikali inatakiwa sasa ijielekeze kwenye kuliwezesha shirika letu la ndege ATCL kujiendesha lenyewe likiwa na ndege zake lenyewe ili liweze kufanya safari (route) nyingi za nje ya nchi ili kuongeza idadi ya wasafiri. Vinginevyo watajenga uwanja hiyo terminal three lakini bado hatutaweza kunufaika kwakuwa bado idadi ya wasafiri wanayoitarajia haitafikia.

Pengine labda wamezingatia hilo kwamba ATCL haina ndege za kuifanya iwe na route za nje ya nchi zinazoweza kuongeza idadi ya abiria ndio sasa wakaamua kuja na mradi huu ambao unaonekana unaweza usikidhi mahitaji kwa miaka mingi ijayo.
 
Last edited by a moderator:
kwahiyo unapendekeza ujengwe wapi kwenye maeneo makubwa?..chalinze? Bagamoyo?...hai kilimanjaro?....hivi pale kia hapafai kujenga terminal kubwa ili wageni wakija wafikie kia then waende mbugani na mlimani kisha wapande ndege ndogo kuja dar??
Nashauri waijenge hiyo terminal kama ilivyochorwa na wataalamu maeneo yaleyale ya Airport Ukonga kwani itakidhi mahitaji ya wasafiri wa ndege wa kimataifa ambao siyo wengi kihivyo.
 
Mkuu NasDaz nakubaliana na wewe 100% lakini ni muhimu ukazingatia kwamba kama hatutaweza kuwa na shirika letu la ndege (Air Tanzania) lenye ndege zake lenyewe na linaloweza kufanya safari za ndani na nje kama lilivyokuwa hapo kabla halijauzwa kwa makaburu, itakuwa ni kazi kubwa sana kuwa na uhakika wa ongezeko la wasafiri.

Serikali inatakiwa sasa ijielekeze kwenye kuliwezesha shirika letu la ndege ATCL kujiendesha lenyewe likiwa na ndege zake lenyewe ili liweze kufanya safari (route) nyingi za nje ya nchi ili kuongeza idadi ya wasafiri. Vinginevyo watajenga uwanja hiyo terminal three lakini bado hatutaweza kunufaika kwakuwa bado idadi ya wasafiri wanayoitarajia haitafikia.

Pengine labda wamezingatia hilo kwamba ATCL haina ndege za kuifanya iwe na route za nje ya nchi zinazoweza kuongeza idadi ya abiria ndio sasa wakaamua kuja na mradi huu ambao unaonekana unaweza usikidhi mahitaji kwa miaka mingi ijayo.
Mkuu Mwita Maranya,
Kwa upande mmoja nakubaliana na wewe kuhusu suala la kuwa na National Airline lakini kwa upande mwingine sioni ni issue sana especially under existing socio-economic activities in the country (nafahamu utanishangaa; but I mean it). Kwanza kabisa tukumbuke kwamba faida kubwa ya kuwa na National Airline ni kuongeza consumers(passengers) confidence especially domicile country(yenye ndege husika) inapokuwa haina socio-economic activities za kuweza ku-attract private airlines from different parts of the world. Hapa maana yangu ni kwamba, endapo nchi haina socio-economic activities za kutosha basi vilevile itakosa direct routes kutoka sehemu mbalimbali duniani kwa sababu watu hawana sababu za kwenda huko; kwamba world population inakosa kikubwa cha kufuata kwenye nchi husika, so direct flight nazo zinakuwa haba coz' hakuna demand kwenye given route! Chukulia UAE mathalani, kila mmoja duniani angependa kutembelea Dubai at least once in his/her life time. Kutokana na hilo, ndipo utakuta nchi mbalimbali zina direct routes/flights to Dubai coz' tayari kuna wanaotaka kwenda huko for various socio-economic activities.

Hivyo basi, ikiwa nchi husika haina attractive socio-economic activities za kuweza kuvuta watu toka sehemu mbalimbali dunaini, hapo ndipo suala la kuwa na National Airline linapokuwa na umuhimu wa kipekee! Umuhimu huu unatokana na ukweli kwamba nchi husika haina opportunities za kutosha za kuweza kushawishi private companies ku-establish direct routes/flights kutoka sehemu mbalimbali duniani coz' hakuna demand ya kutosha. Katika mazingira kama hayo, ndipo National Airline inatakiwa kuziba pengo ili hata wale wageni wachache wanaotaka kuja nchini kwako nao waweze kuja pasipo na usumbufu wa kubadilisha badilisha ndege na kuwa-disappoint kiasi cha kutotamani kuja tena ikiwa hana sababu za msingi za kuja! And in most cases, National Airlines za aina hii huwa zinajiendesha kwa hasara. So, hata leo hii ukawa na Air Tanzania, am afraid inaweza kujiendesha kwa hasara vilevile si tu kwa sababu hatuna uwezo wa kushindana na mashirika makubwa bali pia our socio-economic activities hazijawa attractive enough kuweza kuvuta watu toka sehemu mbalimbali duniani kiasi cha Air Tanzania nayo kuifanya kuwa na route nyingi zaidi na hivyo ku-enjoy economies of scale/size ( kwa lugha nyepesi, economies of scale ni ile hali inayofanya a unit production/operation cost kupungua with increase in sales).

Mungu ametujaalia gas, now it's our turn ya ni namna gani tutayatumia/tuta-invest mapato ya gas (usiingize siasa hapa, CCM na CHADEMA wote sawa). We can then decide what kind of economy do we need to have? We've wildlife na attractive beaches; but why do beach tourism isn't growing? Hivi wakati wa Ukoloni ingekuwa biashara ya utalii imekomaa kama hivi sasa, je kule Oysterbay Wakoloni wangefanya ni makazi ya watu au wangeanzisha tourism belt? Je, tubadilishe matumizi ya ardhi kuanzia Oysterbay hadi Msasani kwa eneo lote linalokaa within 500 meters or more from the offshore na kisha tukatengeneza tourism belt? Anyway, ikiwa ya kawaida yametushinda, tunaweza kuanzisha hata crazy stuffs! Tunaweza kukubaliana na kuanzisha "Walking Naked Festival" ambapo in one particular day; wote tunasaula kila kitu na kujimwaga mitaani huku tukisakata mdundiko huku madushelele yakining'inia!! Watu/watalii lazima wafurike kuja kuangalia this crazy community!

Hivyo basi, kwa maoni yangu, issue kubwa kwa sasa si kuwa na National Airline ingawaje Watanzania wengi tunaamini kutokuwa na National Airline ni kosa kubwa sana kiuchumi! Jambo la msingi ni ku-diversify our socio-economic activities zitakazofanya watu kutoka sehemu mbalimbali duniani KULAZIMIKA kuja Tanzania! Kukiwa na various socio-economic activities, idadi ya wasafiri nayo itaongezeka, and automatically private airlines from different parts of the world zitaongezeka tu. Lakini kuongezeka kwa private airlines nako kunahitaji pamoja na mambo mengine uwanja wa kisasa unaoweza kuhudumia ndege za ukubwa wowote. So, kumbe hapo ndipo unapoonekana umuhimu wa kuwa na new terminal.Tukichanganya pia na suala zima la customer care, safety and security of our customers (airlines na abiria), basi number of passengers inaweza ku-skyrocket within few years hata kama hatuna national airline ingawaje am not abusing umuhimu wa kufufua shirika hilo.
 
Nilizungumzia kuhusu land scarcity in my previous post. My apologies if you didn't see/read it. Nilionyesha concern yangu kuh kuweko kwa reli ya Tazara, viwanda na makazi ya watu hadi Kitunda.
My primary concern wala sio size na uzuri wa terminal building.
Haina maana kuwa na huge and fantastic terminal wakati only small light jets ndio watao kuwa wateja wakubwa.... Reason being runway ya Dar ni ndogo na fupi kuliko zote za viwanja vikuuu vya Afrika Mashariki. Ni kama futi 8,500 tu. A descent runway length to safely accomodate large jumbo jets at their maximum capacities is over 10,000 feet long. Kama nia ni kuongeza capacity ya terminal, inabidi wajumuishe na capacity ya runways vile vile. Kwa hiyo ingekuwa busara kuhamisha kiwanja chote wakipeleke sehemu itakayokuwa na nafasi ya kujiendeleza kwa miaka hamsini ijayo na zaidi. Dar airport has maxed out!

Mkuu unaona kwa mfano jinsi ujenzi wa nyumba Bagamoyo road yote (Alli H. Mwinyi road) ulivyopangwa na Wakoloni?? Nyumba zilijengwa mbali kabisa na barabara kiasi ambacho hadi leo hii imewezekana kuipanua bila tatizo, except for the recently built buildings zilizoruhusiwa na wataalam wetu mamburula!!!

Sioni kwa nini tuna tatizo la kubuni na kuthubutu kutekeleza ubunifu huo tukizingatia ya leo na muelekeo wa miaka ijayo.

We,as Tanzanians tend to react to events and not be proactive in our planning and execution of such.
Sadly, our East African patners have seen this, and hence the birth of the coalition of the willing?
Ingawaje hujanitaja popote, naamini post umeilenga kwangu! In short, nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja! Ukubwa wa uwanja is all about run way, haya mengine ni mbwembwe tu ingawaje vilevile hatuwezi kudharau umuhimu wake kwani abiria nao wanatakiwa kuwa comfortable especially wakati wa kusubiri kuondoka. Hili suala la kuwa comfortable ndipo unapokuja umuhimu wa kuwa na jengo la kisasa! Lakini unaweza kuwa na jengo kubwa na la kisasa kuliko yote duniani lakini kama hauna run way ya kutosha, the whole thing will be equal to nothing, while the opposite holds true!
 
Naipa pongezi serikali kwa kujenga third terminal dogo hilo, kuna watu humu hawawezi kukubaliana jambo lolote linalofanywa na serikali ya tanzania.
 
all in all..tanzania tunataka kujenga new terminal full stop na picha ndio hizo..toa maoni yako sio hizi politics za kisheria mara umekosea jina mara objectives...changia unavyouona huo uwanja..sio unajengwa keshokutwa unakuja kulalamika uwanja mdogo mara hautoshi mara blahblah..this is your time toa maoni..sio kurekebisha hoja zisizokuwa na mashiko.Zidumu fikra sahihi za mwenyekiti...zidumuuuu
Mkuu hata mimi nimeshindwa kumuelewa! Anataka Ritz amu-contact Eng. ili iweje? Ampatie an Exploded View ya TERMANIAL three au BOQs.
 
Mkuu BukyanagandiAngalia hili jengo la Jomo Kenyatta.
nairobi-jomo-kenyatta-international-airport-domestic-terminal2.jpg
Hapo mkuu umenimaliza! Yaani hata terminal2 ya uwanja wa ndege wa Nyerere ni nzuri zaidi. Bahati mbaya kiwanja cha Jomo Kenyatta sijawahi kukiangalia vizuri, niliwahi kutua pale asubuhi nikakimbizwa Hotelini Nairobi kusubiri connection ya saa sita usiku iliyokuwa inatoka South Africa kwenda Heathrow - hivyo hata usiku sikuwahi kukichunguza sana, lakini kama terminal yenyewe ndio hiyo - no wonder Serikali ya Kenya imehitisha tenda ya Kimataifa kujenga terminal nyingine/mpya. Mkuu Ritz, kama nakumbuka vizuri mwaka mmoja/miwili iliyopita uliwahi kuleta humu jamvini picha nzuri sana ya TERMINAL inayo kusudiwa kujengwa kwenye kiwanja cha ndege cha Julius Nyerere - hivi picha/artistic impression ya terminal hiyo bado unayo kwenye archives zako? Artistic impression hiyo ilikuwa BOBA sana Mkuu? CHEERS.
 
Needs review to cater for at least 10M passengers... jamani mnataka baada y amiaka mitano tuanze kuongelea kujenga terminal nyingine wakati gharama zitafikia mawinguni!
 
Mkuu Mwita Maranya,
Kwa upande mmoja nakubaliana na wewe kuhusu suala la kuwa na National Airline lakini kwa upande mwingine sioni ni issue sana especially under existing socio-economic activities in the country (nafahamu utanishangaa; but I mean it). Kwanza kabisa tukumbuke kwamba faida kubwa ya kuwa na National Airline ni kuongeza consumers(passengers) confidence especially domicile country(yenye ndege husika) inapokuwa haina socio-economic activities za kuweza ku-attract private airlines from different parts of the world. Hapa maana yangu ni kwamba, endapo nchi haina socio-economic activities za kutosha basi vilevile itakosa direct routes kutoka sehemu mbalimbali duniani kwa sababu watu hawana sababu za kwenda huko; kwamba world population inakosa kikubwa cha kufuata kwenye nchi husika, so direct flight nazo zinakuwa haba coz’ hakuna demand kwenye given route! Chukulia UAE mathalani, kila mmoja duniani angependa kutembelea Dubai at least once in his/her life time. Kutokana na hilo, ndipo utakuta nchi mbalimbali zina direct routes/flights to Dubai coz’ tayari kuna wanaotaka kwenda huko for various socio-economic activities.

Hivyo basi, ikiwa nchi husika haina attractive socio-economic activities za kuweza kuvuta watu toka sehemu mbalimbali dunaini, hapo ndipo suala la kuwa na National Airline linapokuwa na umuhimu wa kipekee! Umuhimu huu unatokana na ukweli kwamba nchi husika haina opportunities za kutosha za kuweza kushawishi private companies ku-establish direct routes/flights kutoka sehemu mbalimbali duniani coz’ hakuna demand ya kutosha. Katika mazingira kama hayo, ndipo National Airline inatakiwa kuziba pengo ili hata wale wageni wachache wanaotaka kuja nchini kwako nao waweze kuja pasipo na usumbufu wa kubadilisha badilisha ndege na kuwa-disappoint kiasi cha kutotamani kuja tena ikiwa hana sababu za msingi za kuja! And in most cases, National Airlines za aina hii huwa zinajiendesha kwa hasara. So, hata leo hii ukawa na Air Tanzania, am afraid inaweza kujiendesha kwa hasara vilevile si tu kwa sababu hatuna uwezo wa kushindana na mashirika makubwa bali pia our socio-economic activities hazijawa attractive enough kuweza kuvuta watu toka sehemu mbalimbali duniani kiasi cha Air Tanzania nayo kuifanya kuwa na route nyingi zaidi na hivyo ku-enjoy economies of scale/size ( kwa lugha nyepesi, economies of scale ni ile hali inayofanya a unit production/operation cost kupungua with increase in sales).

Mungu ametujaalia gas, now it’s our turn ya ni namna gani tutayatumia/tuta-invest mapato ya gas (usiingize siasa hapa, CCM na CHADEMA wote sawa). We can then decide what kind of economy do we need to have? We’ve wildlife na attractive beaches; but why do beach tourism isn’t growing? Hivi wakati wa Ukoloni ingekuwa biashara ya utalii imekomaa kama hivi sasa, je kule Oysterbay Wakoloni wangefanya ni makazi ya watu au wangeanzisha tourism belt? Je, tubadilishe matumizi ya ardhi kuanzia Oysterbay hadi Msasani kwa eneo lote linalokaa within 500 meters or more from the offshore na kisha tukatengeneza tourism belt? Anyway, ikiwa ya kawaida yametushinda, tunaweza kuanzisha hata crazy stuffs! Tunaweza kukubaliana na kuanzisha “Walking Naked Festival” ambapo in one particular day; wote tunasaula kila kitu na kujimwaga mitaani huku tukisakata mdundiko huku madushelele yakining’inia!! Watu/watalii lazima wafurike kuja kuangalia this crazy community!

Hivyo basi, kwa maoni yangu, issue kubwa kwa sasa si kuwa na National Airline ingawaje Watanzania wengi tunaamini kutokuwa na National Airline ni kosa kubwa sana kiuchumi! Jambo la msingi ni ku-diversify our socio-economic activities zitakazofanya watu kutoka sehemu mbalimbali duniani KULAZIMIKA kuja Tanzania! Kukiwa na various socio-economic activities, idadi ya wasafiri nayo itaongezeka, and automatically private airlines from different parts of the world zitaongezeka tu. Lakini kuongezeka kwa private airlines nako kunahitaji pamoja na mambo mengine uwanja wa kisasa unaoweza kuhudumia ndege za ukubwa wowote. So, kumbe hapo ndipo unapoonekana umuhimu wa kuwa na new terminal.Tukichanganya pia na suala zima la customer care, safety and security of our customers (airlines na abiria), basi number of passengers inaweza ku-skyrocket within few years hata kama hatuna national airline ingawaje am not abusing umuhimu wa kufufua shirika hilo.

Mkuu NasDaz.

Your looong dissertation ya hali ya Air Tanzania cum National Airline is typical of the mind set of the leadership of Tanzania we have had for ages!
In that we are incapable of running complex corporations due to a horde of silly, sometimes outright stupid excuses.
East african Airways ilipokufa in 1977, Tanzania had more proffessionals in it then the other two partner states combined.
Kuna vitu kuhusu sisi Watanzania ambavyo hata nashindwa kuvielewa asili yake ni wapi.
We have within our intellectual abilities (or is it disabilities??) to turn a promisingly successful venture into a total disaster. A case in point is the Airline thing!
Somebody, please just tell me why, why WHY in over 37 years we still have not been able to have a descent airline???
WHY in all that time, the ex-East African Airlines staff have not been fully paid their terminal dues???
Why are we so difficult to deal fairly amongst ourselves?
And why each power that be feels he is the ONLY one who can decide for others with total disgard to good proffessional advise?
Nina uhakika wako wataalam wachache walio na upeo wa mbali ambao wangependa kiwanja kihamishwe, lakini watakuwa wamegubikwa na short sighted bosses/politicians??
To them it's either "Their way or the highway"
I took the highway!!!
 
Mkuu NasDaz.

Your looong dissertation ya hali ya Air Tanzania cum National Airline is typical of the mind set of the leadership of Tanzania we have had for ages!
In that we are incapable of running complex corporations due to a horde of silly, sometimes outright stupid excuses.
East african Airways ilipokufa in 1977, Tanzania had more proffessionals in it then the other two partner states combined.
Kuna vitu kuhusu sisi Watanzania ambavyo hata nashindwa kuvielewa asili yake ni wapi.
We have within our intellectual abilities (or is it disabilities??) to turn a promisingly successful venture into a total disaster. A case in point is the Airline thing!
Somebody, please just tell me why, why WHY in over 37 years we still have not been able to have a descent airline???
WHY in all that time, the ex-East African Airlines staff have not been fully paid their terminal dues???
Why are we so difficult to deal fairly amongst ourselves?
And why each power that be feels he is the ONLY one who can decide for others with total disgard to good proffessional advise?
Nina uhakika wako wataalam wachache walio na upeo wa mbali ambao wangependa kiwanja kihamishwe, lakini watakuwa wamegubikwa na short sighted bosses/politicians??
To them it's either "Their way or the highway"
I took the highway!!!
Kwanza nitamke wazi kwamba nilikuwa sifahamu iwapo hiyo ndiyo mindset ya viongozi wetu kuhusu AirTanzania; so kama ndivyo basi nawaunga mkono! Bado nasimamia pale pale kwamba ni lazima tuwe na diversified socio-economic activities ambazo zinaweza kuvuta wageni kutoka sehemu mbalimbali za dunia. Ukishakuwa na mazingira kama hayo, kisha ukawa na National Airline basi utakuwa na airline inayofanya biashara na sio airline just for the sake kwamba tuwe na national airline a mbayo ita-operate kwa ruzuku! Katika uchumi, huwezi ku-ignore importance of the economies of scale; lakini kwa mazingira ya uchumi tulionao hivi sasa hayatoi fursa ya ku-enjoy economies of scale/size endapo tunakuwa na National Airline. Kama tunataka kuwa na shirika la ndege la kisiasa(nafahamu kuna wa-TZ inawauma sana wakiona nchi kama Rwanda wana national airline), we can have it lakini kama ni airline itakayojiendesha kwa faida then am afraid we don't have favorable condition.
 
Hii ni aibu nyingine. Tanzania yenyewe ina raia wanaokaribia Milioni 45. Uchumi unakuwa kwa kasi na mahitaji kusafiri na kusafirisha nayo yanakwenda kwa kasi kubwa zaidi. Iweje leo tujenge kauwanja ka kutosha kupitisha abiria milioni si kwa mwaka? Hata kama hii ni internatinal terminal, kwanini kuangalia urefu wa pua tu? Sisi tunajifunza wapi kwa zaidi ya miaka yetu 50 ya uhuru?

Kama nia yetu ni kujenga hub mojwapo ndani ya Afirka mashariki na kusini kwa africa, hatuwezi kujenga kateminal ka kupitisha watu 17,000 tu kwa siku. Kama 2012, watu milioni 2 walipitia kiwanja hiki, tunategemea ndani ya suhindan wa miaka 5 tu ijayo hiyo bust ya mara tatu haitafikiwa? Watanzania tusioendelee kufanya maendeleo ya msimu kama tunavyojenga miundimbinu ya Jiji la Dar ambayo haiendani na wakati.

Lazima tunapoazimia kufanya project yoyote mpya, iwe ya mfano katika eneo linalotuzunguka. Yaani kama termina yetu ndio mpya, lazima ionekana ikizipiku teminal zote katika eneo hizi kwa vigezo vyake. Mie naiona hiyo termina kama ya Warundi na Wanyaruanda kwa wingi wa idadi yao ya watu, na sio Kwa Tanaznia wala DRC.
 
Hii ndo Terminal mpya ya Jomo Kenyata International Airport wanayo kusudia kuanza kujenga
nairobi-jomo-kenyatta-international-airport-expansion-7.jpg
 
Nairobi – Jomo Kenyatta International Airport receives full funding for a new terminal and second runway
Reuters
NAIROBI - Kenya's airport authority has received full funding offers from three banks to build a new terminal and second runway at its main airport, hit by a massive fire last month, that will cost $653 million, the transport minister said on Wednesday.
The plans to expand the aging airport, a regional gateway for passengers and cargo, are not new but the authorities have come under pressure to speed up the expansion after the blaze destroyed the arrivals terminal.

The new terminal and runway will provide a further capacity of 40 million passengers, Transport Secretary Michael Kamau said, seen by government as necessary to cope with the anticipated boost to the economy the expected exploitation of oil reserves will bring.
Speaking to Reuters on the sidelines of a conference on the country's economy in Nairobi, Kamau declined to say which banks had offered funds to the Kenya Airports Authority, a parastatal.

He did, however, say the lenders would not require a government guarantee, suggesting the lenders are confident they can recoup their money on the project expected to get under way this year.

The old arrival hall remains a charred shell and the airports authority is relying on a makeshift terminal made out of giant tents to handle arriving passengers.
Even before the fire, Nairobi's Jomo Kenyatta International Airport, built in the 1970s to handle 2.5 million passengers annually, was struggling to handle more than 6 million people a year as its regional importance grew.

"The discovery of oil is a game changer in this country. I don't think people are sufficiently prepared for what is coming," Kamau said.

National carrier Kenya Airways has been blaming lack of capacity for delays to expand operations. The carrier, which is partly owned by AirFrance KLM, plans to more than double its fleet to more than 80 planes in five years.

Like most other sub-Saharan Africa nations, Kenya suffers a massive infrastructure deficit, holding back its economic growth potential.
There are signs a mega-port project on the north Kenyan coast may be gaining traction based on the commercial oil discoveries in Uganda and Kenya.

Kamau said a feasibility study into an oil pipeline linking South Sudan's oil fields to the Lamu port scheme had been completed.
"There are three companies that are willing to fund it with guarantees from oil revenues," he said, without offering details.


 
could be hata ulipopitishwa kwenye uwanja wa JKIA ulikuwa ndani ya kiroba. Tunokifahamu hiki kiwanja sio cha vioski viwili vya kuuza vienge ka Dar. Tatizo la kiwanja hiki kwa wasafiri wengi kwa sasa ni vyoo vyao ambavyo haviendani na uhalisia wa viwanja vingi duniani. Lakini silinganishi na kiwanje chetu cha Dar amacho ni kama hakina vyoo (si kuna choo kimoja tu) kwa wasafiri, na abiria wanaorejea/kuingia nchini choo pekee (karibu na dirisha la uhamiaji) hakina tofauti na cha Embasi Hoteli ya Manzese.
 
The new terminal and runway will provide a further capacity of 40 million passengers, Transport Secretary Michael Kamau said, seen by government as necessary to cope with the anticipated boost to the economy the expected exploitation of oil reserves will bring.

Even before the fire, Nairobi's Jomo Kenyatta International Airport, built in the 1970s to handle 2.5 million passengers annually, was struggling to handle more than 6 million people a year as its regional importance grew.



Hapa ndipo tunapozungumzia picha anayotuakisi Watanzania. Jirani anaongelea Milioni 40, sisi tunaongelea milioni 6. Sijui jina gani linalotufaa sisi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom