Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,406
- 43,740
- Thread starter
- #181
Mwita Maranya.wE Ritz nawe sijui unaelekea kuchanganyikiwa, sasa huo ni uwanja au ni jingo?
Hatahivyo hiyo picha ni ya Jengo ambalo ilipigwa picha muda mrefu sana na sasahivi liko kwenye mchakato wa ukarabati mkubwa baada ya kuungua moto hivi karibuni.
Ungekuwa umejitendea haki wewe mwenyewe kama ungetuwekea picha ya majengo yote yaliyoko uwanjani hapo na majengo mengine mapya yanayoendelea kujengwa pamoja na runways & taxways ili watu wapate picha ya uwanja tunaouzungumzia.
Angalau kwa kiwango cha wakenya walichofanya kwa Jomo Kenyatta International Airport wanajivunia kuwa na uwanja wa ndege wwenye kukidhi viwango, sio hapa bongo wakati wa peak hours ukifika terminal two unatamani kupiga mtu makofi kwa jinsi watu walivyosongamana.
Majengo ya ndani haya hapa nimekuwekea.
Last edited by a moderator: