Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,988
Mwita Maranya.
Haujaona airport ndiyo maana unapenda kuitaja Jomo Kenyatta, haiwezi hata kuwemo kwenye airport kumi bora afrika, toa mfano
OR Tambo, Cape Town, Cairo.
Hawa wakenya ndio angalau tunakaribiana nao, sasa ukitaka kyjilinganisha na wasauzi au wamisri ambao Wako dunia nyingine utakuwa unacheza ndombolo msibani.
Hawa wakenya ni majirani zetu na uchumi wao hauko juy sana kwahiyo tungeweza kujifunza kwao kama tuko serious! Lakini kwakuwa tumechagua fani ya Sanaa basi ngoja tuendelee na haya maigizo.
Last edited by a moderator: