dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 24,688
- 56,425
Wanaukumbi.
When completed Terminal 3 will facilitate 6 million passengers annually in line with the predicted growth of Dar es Salaam's international air traffic leaving the current international Terminal 2 to deal with domestic flights.
Wakati HartsfieldJackson Atlanta International Airport na airports nyingine walishapita capacity ya 50,000,000 sisi tunazungumzia "utakapokamilika utakuwa na uwezo wa kuhudumia 6,000,000 kwa mwaka". Dubai wanajenga aiport mpya na UTAKAPOKAMILIKA hivi karibuni utahudumia zaidi ya abiria 160,000,000 na mizigo tani 12,000,000 kwa mwaka (Ref. Dubai opens 'world's largest' airport).
Dubai ni nchi ambayo kwa takwimu za mwaka huu (2013) ina population ya 2,106,000 while Tanzania ina almost 44,000,000 including Zanzibar.