Rugas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 1,048
- 197
Mmepata jibu sina haja ya kuongezea faiza and lizkwa Tz hata tulizopata uhuru sawa hatulingani kiuchumi..Ingawa tumebarikiwa Rasilimali za kutosha..
Tumekuwa tukikaribiana kiuchumi na nchi kama Malaysia miaka ya 2000 mwanzoni..Lakini hivi sasa wametuacha mbali mnooo..Huku wakitegemea zao la....Mpira na Mafuta kidogo..
Tunahitaji kubadilisha mfumo..
Tatizo ni Leadership na sio Muda. FaizaFoxy
Nimekupa mfano mdogo wa Songwe airport Mbeya...iliimbw kuwa inajengwa international airport..juzi domestic freight tu..fastjet imekuwa shida mpaka waka adjust ratiba ya kuanza safari..hapo ndo siasa zilipotufikisha...ukubali au ukatae ndo tatizo la Tanzania!
Last edited by a moderator: