Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,629
- 1,951
Kama Mungu ni huyo Mungu pekee tunayemwamni wote, then hawezi kuwa wa Israel, Isaka na Yakobo tu. Na kama ni wa wote hawezi kutuchagulia mtu aliyeingia madarakani kwa udanganyifu. Huyo Mungu atakuwa the other version of god.Mungu wa Israel, Isaka na Yakobo. Mungu katika nafsi tatu ambazo ni Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.
Mungu ninayemuamini mimi Mkristu Mkatoliki
Ukizungumzia chaguo, basi Mungu aliwahi kufanya chaguzi 2 tu nazo ni taifa la Isreal, na Jesus. Hakuwahi na wala hatafanya chaguzi nyingine tena.
Hata sisi watz hatukuwahi kuchaguliwa kama taifa lake sembuse Magufuli kwani yeye ni sio Mtz?