Thinking aloud: Magufuli ni Chaguo la Mungu

Thinking aloud: Magufuli ni Chaguo la Mungu

I am the punishment of God.If you had not committed great sins, God would not have sent a punishment like me upon you......Genghis Khan.

Nimeipenda hii ngoja nimfuatilie huyo Ghenghis, kwa kauli hii naweza sema alikuwa humble and yet effective leader
 
Acha hizo story......coz "Popul vox Vox Dei" lakin si lazima kujifanye we nabii
 
Mkuu nani alimchagua Mfalme Daudi? Unless uwe specific unaongelea uchaguzi upi?

Huenda tunatumia vitabu tofauti. Daudi alipakwa mafuta kuwa kiongozi wa wayahudi. Kama unafikiria Mungu alishuka duniani kumtangaza, basi huwezi nielewa.
 
Whenever you find yourself on the side of the majority, it is time to pause and reflect.[/QUOTEc]
After a 5 min pause I came to the conclusion that, THE BIG BOSS na few elite huenda wakawa mafisadi


Hahaa haaaa
Nikwambie kitu kuna vitu ukiweza kuvielewa ni ngumu kumuelewesha mwingine
Usisahau his main job sio kufunga na kukamata watu
his main job ni kuondoa umasikini...

kukamta na kufunga mafisadi ni kama kachumbari tu
ugali ni uchumi atafanyeje....ugali ukiwa mbichi hata kachumbari iweje haitasaidia...

Amri inatoka bar zote zianze kuuza pombe jioni
wenye bar wanapunguza wahudumu wa asubuhi....wahudumu wa asubuhi wanaanza kuisoma namba
intention ni nzuri but thru it watu wanakosa ajira....maamuzi kama hayo yakiwa mengi
orodha ya watakao isoma namba itakuwa kuubwa sana na wengine by accidents...tu watajikuta wanalia
sasa basi yanaweza ku back fire...kila sehemu kuka back fire
busara ni muhimu....ndo maana tuna criticise ili waweze fanya yote
clean up na at the same time ku fix economy itoe fursa kwa wengi...
na hayo yanahitaji umakini na kupunguza ushabiki na kumjaza masifa
 
Huenda tunatumia vitabu tofauti. Daudi alipakwa mafuta kuwa kiongozi wa wayahudi. Kama unafikiria Mungu alishuka duniani kumtangaza, basi huwezi nielewa.

hatutumii vitabu tofauti, sema tunaelewa tofauti.
 
Kwa hiyo na hali inayoendelea Zanzibar ikibidi Maalim Seif apokwe ushindi wake bado itakuwa ni mpango wa Mungu.Mungu huongea kupitia manabii na si kupitia hisia za mtu ambayeaweza kuwa mwenye maslahi na jambo husika.Siyo busara kumuhusisha Mungu ktk mambo ambayo yanaonekana too fresh.
 
You are on your way to atheism. Maana kinachofuata ni maswali ya Kiranga, kama Mungu .......then kwanini kuna suffering.

Mungu hutumia kitu chochote kufikisha ujumbe. Issue ni wengi hawapati message ktk kila tukio linalotokea.
There is a message au something positive ktk utawala wa Kikwete. Angekuwa average basi watu wasingedai mabadiliko, kuna mapinduzi makubwa sana ya kifikra kwa jamii ya Watanzania kuliko kipindi chochote.
Shida huleta maarifa, au we learn through mistake si misemo tunayoiimba kila siku?

Tanzania ya sasa sio ya 11 years ago
Sista, Vasco alitawala below average, he was not up to the standard ambayo watu walihitaji. Kuhitaji mabadiliko ilikuja baada ya kuona walichohitaji kwake "na ccm kwa ujumla" hawakipati, watu wasingehitaji mabadiliko hadi kusema watalipigia kura jiwe, kama vacso angekuwa mtawala bora. Again, kusema mabadiliko ya fikra yameletwa na utawala wake...he was just too weak man, let's face the reality, pia 2005-2015 ni era ya mabadiliko makubwa ya utandawazi, hivyo hata asingeleta uhuru wa kifikra, watu wangejifunza na kujua mengi..

I'm a christian, have never thought to start blaspheming lakini kwa haya ya kuweka wapiga dili, wala rushwa wakubwa, wezi wa rasilimali na kuwaita machaguo ya mungu, i pass!
 
After a 5 min pause I came to the conclusion that, THE BIG BOSS na few elite huenda wakawa mafisadi


Duuuuu,

Ndiko ulikofika Kaunga.....lol!!

Basi mafisadi tuko wengi na JPM inabidi aanze na sisi....But the cost might be unavoidable if the checks are disregarded!
 
Last edited by a moderator:
Duuuuu,

Ndiko ulikofika Kaunga.....lol!!

Basi mafisadi tuko wengi na JPM inabidi aanze na sisi....But the cost might be unavoidable if the checks are disregarded!

Tena wewe ni fisadi mgebuka heading to kuhe.....
No nilimjibu vile The Boss makusudikally
 
Last edited by a moderator:
Pombe ni haramu kwa mungu vitabu vyitakatifu vya dini zote zinakataza hata wanakunywa tu kibishi lakini wanaelewa hilo
 
Pombe ni haramu kwa mungu vitabu vyitakatifu vya dini zote zinakataza hata wapagani wanakunywa tu kibishi lakini wanaelewa hilo
 
Safi sana Bro Magu......Moyo wangu una furaha sana
 
JPM ndio habari ya Dunia (si mujini)
Nashukuru kuwa mmoja wa wale milioni 8 waliomchagua...
Na lazima achukiwe na marais wengine Africa
Maana amewapa sababu wananchi wao za kuwashangaa hasa kwenye matanuzi na safari za kiutalii...
 
JPM ndio habari ya Dunia (si mujini)
Nashukuru kuwa mmoja wa wale milioni 8 waliomchagua...
Na lazima achukiwe na marais wengine Africa
Maana amewapa sababu wananchi wao za kuwashangaa hasa kwenye matanuzi na safari za kiutalii...

Ndio mzidi kumuombea, sasa kama maadui sio masisiem tu hadi marais wa nchi zingine ni sheeda.

Mimi ni kati ya zile kura mlizozipunguza hadi zikabaki mil 6
 
Nimeipenda hii ngoja nimfuatilie huyo Ghenghis, kwa kauli hii naweza sema alikuwa humble and yet effective leader

Genghis Khan humble?? hehehe, jamaa ana rekodi ya kuua watu 40 Million kwa jeshi lake, hiyo ni rekodi zaidi ya Hitler.
Kutaja neno Mungu doesn't necessarily make one a humble person nor great leader najua U know that.
 
Taratiiibu mkaanza kukubali muziki wa Magufuli

Kwakweli naanza kumuelewa, kwajinsi anavyowavua nguo ccm Hahaha Magufuli ni ni zaidi ya azimio la Arusha. Jk anavuliwa nguo hadharani soon Jk atairudisha remote control kwa mwenyewe hali ni mbaya sana kwa familia ya mzee wakuchekacheka na kukenuakenua tuu....
 
Mungu wa Israel, Isaka na Yakobo. Mungu katika nafsi tatu ambazo ni Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.
Mungu ninayemuamini mimi Mkristu Mkatoliki
hakuna neno kristu kwenye biblia bali Kristo.kwa hiyo sio mkristu ni Mkristo.
 
Back
Top Bottom