Thinking aloud: Magufuli ni Chaguo la Mungu

Thinking aloud: Magufuli ni Chaguo la Mungu

So what is your conclusion now!?
Hatekelezi yale tuliyokuwa tunayapigia kelele. Ufisadi, uadilifu, maendeleo, demokrasia. Kashfa kubwa za ufisadi bado hazijashughulikiwa (Epa, Lugumi etc). Hali ya uchumi kwetu sisi ni tete mno. Demokrasia imepokwa mno uhuru wa kutoa maoni ni kasheshe. Ajira kwa vijana ni swala, katiba mpya imekufa kifo cha mende. Kuhusu kuwa ni chaguo la Mungu, nina mashaka makubwa, unless Mungu ameamua kutuadhibu kwa midhambi yetu. That is my opinieted conclusion.
 
Hatekelezi yale tuliyokuwa tunayapigia kelele. Ufisadi, uadilifu, maendeleo, demokrasia. Kashfa kubwa za ufisadi bado hazijashughulikiwa (Epa, Lugumi etc). Hali ya uchumi kwetu sisi ni tete mno. Demokrasia imepokwa mno uhuru wa kutoa maoni ni kasheshe. Ajira kwa vijana ni swala, katiba mpya imekufa kifo cha mende. Kuhusu kuwa ni chaguo la Mungu, nina mashaka makubwa, unless Mungu ameamua kutuadhibu kwa midhambi yetu. That is my opinieted conclusion.
Noted....
 
Akiikuza democrasia na kuijenga na kuilinda, Magu is the best president in Africa at now.
 
Hatekelezi yale tuliyokuwa tunayapigia kelele. Ufisadi, uadilifu, maendeleo, demokrasia. Kashfa kubwa za ufisadi bado hazijashughulikiwa (Epa, Lugumi etc). Hali ya uchumi kwetu sisi ni tete mno. Demokrasia imepokwa mno uhuru wa kutoa maoni ni kasheshe. Ajira kwa vijana ni swala, katiba mpya imekufa kifo cha mende. Kuhusu kuwa ni chaguo la Mungu, nina mashaka makubwa, unless Mungu ameamua kutuadhibu kwa midhambi yetu. That is my opinieted conclusion.

Na ESCROW imerudi kwa Mwendokasi
 
Kama mmoja wa UKAWA nasema hivyo kwa uhakika nikimlinganisha Yakobo jinsi alivyoupata uzaliwa wa kwanza kwa njia 'zisizo haki' lakini mapenzi na mpango wa Mungu ukaendelea kutimilika kupitia yeye. Lowassa kupokwa ushindi ni kama Essau kutapeliwa uzaliwa wa kwanza.

Njia za Mungu hazichunguziki, na tunashukuru kwa ajili ya Magufuli maana anatekeleza yale ambayo ukawa tumekuwa tukiyapigia kelele.

Na hii inazidi kunikumbusha ile sala ya Bwana.....mapenzi yako yatimie; na pia sala ya Yesu kwa Baba yake....kikombe kiniepushe ila si kwa mapenzi yangu...

Go Magufuli, changamoto bado unazo sana na ushakuwa unpopular kwa chama chako.
tulionywa tujihadhari na mitume na manabii wa uongo kama ww
 
Back
Top Bottom