Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,169
- 48,446
- Thread starter
- #201
Soma mjadala wote kabla ya kuchangia.Nathibisha vipi na kitu hakipo
Soma mjadala wote kabla ya kuchangia.Nathibisha vipi na kitu hakipo
Mbona ushaanza kujiwekea defense mapema kwenye huo ushahidi wako?Ok,Mungu yupo.Mwenye kutaka proof anitafute.Anayetaka porojo anaweza kuendelea.Kiufupi huwezi kupata hitimisho hapa.Mbaya zaidi na wale watakao anza kuleta vifungu vya biblia au quran kujaribu kuprove uwepo wa Mungu hapo ndio hamtamaliza.Lakini kwa ambaye yuko interested ninao ushahidi tangible sema sio wa maandishi na hata nikikueleza hapa huwezi kuamini zitabaki porojo ukioniona unaweza kuelewa hili.
Hoja yako hasa ni nini?Soma mjadala wote kabla ya kuchangia.
Kwahiyo wewe sheikh unapotuona sisi tumenyamaza unazani kwamba hiyo mnemba hatuijui?Wewe unayejifanya unatumia akili yako unashindwa nini kujibu hoja ?? umebaki kulalamikia chartgtp ?? si uwende huko au ulipigwa ban
Wapo wenye kusema Mungu yupo na wapo wenye kusema Mungu hayupo na wapo wenye kuishia kusema tu hakuna uthibitisho wa kuwepo Mungu ila hawasemi Mungu hayupo.Kama hakuna wanaosema Mungu yupo ,hakuna mjadala kama wapo wathibitishe madai yao.
Halafu kitu kingine mgerasi wewe unaamin kabisa kwamba mtu ambaye hamwamini MUNGU unaweza mwaminisha kupitia chatgpt?Kila mtu angefanya hivyo jukwaa lingekua linaendeshwa na maroboti sasa, AI mwenyewe kagunduliwa na watu yeye huo uthibitisho wa uwepo wa Mungu atautolea wapi sasa?
Unaifahamu milango mi 5 ya fahamu na kazi zake? Jibu utalitafutia hapoKumhisi ndiyo kukoje... Mpaka useme sasa namhisi Mungu inatakiwa iweje?
Hakuna haja ya uthibitisho kwa mtu ambaye nae ametoa madai yake hata kama madai hayo yanapingana na yako, mtu anaposema hakuna Mungu hayo yanakuwa ni madai yake na si kwamba anasema hakuna Mungu et kisa hakuna uthibitisho. Uthibitisho ni kitu ambacho kinaweza kukosekana wakati huu na kupatikana baadaye.Wao pia watakuja wakuambie uthibitishe ya kuwa Mungu yupo, au ungeanza kwanza na uthibitisho wako ndio mpambano ungekuwa mkali.
Wewe unataka kuendelea na porojo tu.Nilidhani unatafuta kujua ukweli.Ukiwa interested unaweza kunitafuta labda kama unataka kutumia siku nzima unaandika humu sawa.Hakuna jibu utapata, mtabaki mnazungushana tu.Mbona ushaanza kujiwekea defense mapema kwenye huo ushahidi wako?
Weka hapa huo ushahidi tuuone. Siwezi kufanya judgment kwenye kitu ambacho bado hujakiweka.
Kinachomfanya aseme kwa uhakika kuwa hicho kitu hakipo ni nini? Atheists walitakiwa kuishia kusema tu hakuna uthibitisho wa kuwepo Mungu basi, ila wanaposema hakuna Mungu hapo ndio shida inapoibuka.Sasa mtu atathibitishaje kua hiki kitu hakipo wakati kwake ni hakipo, yaan athibitishe HAMNA
au sijaelewa?
Hiyo tofauti unayoiona wewe kwa mungu wako allah ndio tofauti wanayoiona wadini wenzioMiungu yote mingine inategemea kitu kingine — haiwezi kuwepo peke yake. Allah pekee ndiye wa Lazima, asiyeumbwa, na chanzo cha yote. Hii ndiyo tofauti.
Niliotaka niandike hivi hivi na tusi juu.. Anabahati umeniwakilisha. Inaonekana Jana alikuwa pekeake Huyo. Hadi mikono ilimsaliti.Kama hakuna wanaosema Mungu yupo ,hakuna mjadala kama wapo wathibitishe madai yao.
Sasa Mkuu kudai kwangu uthibitisho kunakuwaje porojo?Wewe unataka kuendelea na porojo tu.Nilidhani unatafuta kujua ukweli.Ukiwa interested unaweza kunitafuta labda kama unataka kutumia siku nzima unaandika humu sawa.Hakuna jibu utapata, mtabaki mnazungushana tu.
Why do you conclude without evidence and proofs?A Necessary Being isn’t assumed—it’s concluded.
So Jesus is contingent and limited but Allah isn't?Contingent things exist, an infinite regress is impossible, so reason demands a self-existent cause.
Allah fits this by definition; Jesus, Zeus, and Krishna are contingent, dependent, and limited—so they cannot be the Necessary Being.
The statement was very simple and clear.Could you please clarify this statement?I can't tell what were you trying to explain here.
So, Allah doesn't exist right? What is the meaning of this ?"No evidence isn't proof Allah doesn't exist".
That statement was very simple and clear, I don't know why you're misinterpreting it.
Ukaona ujiite vagina? Katika majina yote umeona unafanana na hicho kiungo?Uniambie ninaharibu wapi please na huo mnemba wako??
Huu uzi unatuchoresha tunaoamini Mungu yupo. Mtu anasema kitu hakipo sasa anathibitishaje kisichokwepo?Mkuu ungefuta uzi