Anything asserted without evidence can be dismissed without evidence.
Kwanza inabidi utambue kwamba, Falsafa ya uthibitisho inamtaka mtu aliyeanza kudai kitu kipo, ndio ana mzigo wa kutoa uthibitisho wake.
Ndio maana ukimtuhumu mtu fulani kwa wizi, Wewe mwenye madai ya kwamba mtu huyo ni mwizi, ndio una mzigo wa kuthibitisha.
Madai ya kwamba "Mungu yupo" ni ya kwenu nyie Theists. Sio ya kwetu sisi Atheists. Ninyi Theists ndio mna mzigo wa kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu. Kwa sababu madai ni yenu.
Madai ya kwamba Mungu yupo, yalianzia kwenu nyie waamini Mungu(Theists). Ninyi ndio mlianza kudai kuna Mungu. Hivyo ninyi ndio mnapaswa kuthibitisha madai yenu ya kwamba Mungu yupo.
Ukishindwa kuthibitisha Mungu yupo. Ina maana kwamba madai yako ni ya UONGO. Na huyo Mungu unayedai yupo, Hayupo.
The burden of proof in religion generally rests on the person making a positive assertion (theist claiming God exists), requiring them to provide evidence to support their claim. It follows the principle onus probandi, where the party asserting a position must substantiate it, rather than the party denying it.
Burden of proof (philosophy) - Wikipedia
Burden of proof (philosophy) - Wikipedia.