Thibitisha kwamba HAKUNA MUNGU

Thibitisha kwamba HAKUNA MUNGU

Siku zote nawambia atheist wanaoparate katika very low dimension, wao wanazungumzia katka level Yao ya understanding nimewahi kutoa mfano mmoja, nilipokua mdogo nilikua anafikiria Kwamba zile cassette za nyuzi brown mziki ukipiga muimbaji anakua yumo mle Kwenye zile nyuzi. Na watoto wengi miaka hio katika mtaa tuliamini Hilo! So Elimu ya uungu Iko dimension ambayo wao wanashindwa kuitafsri hivyo wanaishia kupinga kwakua complexity uungu na uumbaji haiko katka level ya uelewa wao

Leo hii kiumbe Kama sisimizi ukibahatika kuongea nae ukamwambia hicho kichuguu unachojidai nacho nikaji tone kamchanga katika eneo la ardhi lililopo amballo wewe hulijui, nawambia sisimizi litamtoka povu lakin nikwakua dimension yake ya uelewa Iko limited katika kichuguu chake, na hajafunuliwa macho na hawezi kukuelewa Hata ukimtembeza baadhi ya maneno kwakua Tatizo lake liko katika ufahamu
 
Siku zote nawambia atheist wanaoparate katika very low dimension, wao wanazungumzia katka level Yao ya understanding nimewahi kutoa mfano mmoja, nilipokua mdogo nilikua anafikiria Kwamba zile cassette za nyuzi brown mziki ukipiga muimbaji anakua yumo mle Kwenye zile nyuzi. Na watoto wengi miaka hio katika mtaa tuliamini Hilo! So Elimu ya uungu Iko dimension ambayo wao wanashindwa kuitafsri hivyo wanaishia kupinga kwakua complexity uungu na uumbaji haiko katka level ya uelewa wao

Leo hii kiumbe Kama sisimizi ukibahatika kuongea nae ukamwambia hicho kichuguu unachojidai nacho nikaji tone kamchanga katika eneo la ardhi lililopo amballo wewe hulijui, nawambia sisimizi litamtoka povu lakin nikwakua dimension yake ya uelewa Iko limited katika kichuguu chake, na hajafunuliwa macho na hawezi kukuelewa Hata ukimtembeza baadhi ya maneno kwakua Tatizo lake liko katika ufahamu
Ndio maana tunataka wewe ambae umevuka hizo limitations uweke uthibitisho yakinifu ili tujue Ukweli wa mambo bila mkanganyiko
 
Humans reproduce, but we are contingent; only Allah is truly self-existent and uncaused.
Tungekuwa contingent beings, tungeshindwa kuzaliana wenyewe kwa wenyewe.

Allah angekuwa ndio cause ya uwepo wetu, Tusingekuwa tunazaliana wenyewe kwa wenyewe, Tungesubiri yeye atuumbe kila siku. Kama vile magari yanavyo subiri kuundwa na binadamu.

Lakini sisi hatuumbwi. Tunazaliana wenyewe. Hakuna Allah anayeumba watu. Hakuna Allah aliyeumba binadamu.

Binadamu hawaumbwi.

Binadamu wanazaliwa.

Humans are not contingent beings. If we were contingent, We would have been waiting for Allah to come and create us daily.

But we reproduce by ourselves.

No Allah.
 
All the gods you listed are contingent – they depend on something else.

Only Allah is a Necessary Being: uncreated, without a cause, and the foundation of the existence of everything. This is His fundamental difference.”
That's how your religion manipulates you.

Jambo la msingi unatakiwa ulielewa kuwa dini zote zina ubinafsi, kila dini inajiona yenyewe ndio superior dhidi ya nyingine.

Hii pia ni uthibitisho kuwa any assertion regarding faith should be taken as pointless kwasababu tunaona jinsi ambavyo imani isivyopaswa kuaminika katika utoaji wa majibu ya kweli.

Imagine hapo unawakataa Miungu ya wenzako licha ya kwamba wapo kwenye imani.

Lakini ukiingia kwenye mjadala na Atheist unasema swala la Mungu ni imani, wakati tunaona wewe mwenyewe unakataa imani za wenzako.

Kwanza unavyo jenga hoja kusema Allah ndio Mungu pekee haubadilishi kitu.

Wala usidhani kwamba hiyo Miungu ya dini zingine zimekaa kinyonge kihivyo na kwamba hazina mafundisho kama yako ya kujipa maujiko ya kumsifia Mungu wao na kuwakandia Miungu ya dini zingine akiwemo Allah.

Unachotakiwa kukumbuka hata Mungu wako wanamuona snitch the same way, tena wao wanaweza kuja na reasoning ambayo inaweza kuni convince hata mimi.

Mfano hapo kuna Vishnu: Vishnu ni Mungu wa dini ya Kihindu ambaye katika historical records huyu ameanza kusimuliwa miaka mingi kabla hata ya ujio wa Allah na Uislam kiujumla.

Vishnu ndiye aliyekuja na theories za kuumba ulimwengu nk, so dini zozote zilizokuja baada ya hapo na stori za uumbaji wa ulimwengu ni wazi zili copy hii idea. (Na si vibaya kuiga, ila kuiga kwa kutotoa credit kutoka kwa mtu uliyemuiga ni mbaya)

Achana na ule ujinga wa kusema sijui Uislam ulikuwepo tangu na tangu:

Hii pia inaongeza mashaka kuhusu ukweli wa mafundisho ya dini yenu. Kama tu vitu vilivyofanyika hapa duniani na vipo kwenye rekodi mmevifanyia spinning ni nani anaweza kuwa na hakika kuhusu mafundisho ya bikra 72 peponi ambako hakuna aliyefika?

Mnataka kutudanganya kwenye mambo ambayo yapo kwenye historical records mtashindwa vipi kutudanganya kwenye maswala ya spiritual scriptures?
 
Tungekuwa contingent, tungeshindwa kuzaliana wenyewe kwa wenyewe.

Allah angekuwa ndio cause ya uwepo wetu, Tusingekuwa tunazaliana wenyewe kwa wenyewe, Tungesubiri yeye atuumbe kila siku. Kama vile magari yanavyo subiri kuundwa na binadamu.

Lakini sisi hatuumbwi. Tunazaliana wenyewe. Hakuna Allah anayeumba watu. Hakuna Allah aliyeumba binadamu.

Binadamu hawaumbwi.

Binadamu wanazaliwa.

Humans are not contingent. If we were contingent, We would have been waiting for Allah to come and create us daily.

But we reproduce by ourselves.

No Allah.

Humans reproduce, but we are contingent on the universe and its laws. Only Allah is truly self-existent
 
Kutokuwezekana kwa Allah si kutokana na experience, bali ni logic: kila kiumbe contingent kina chanzo, msururu hauwezi kuwa usio na mwisho, hivyo lazima kuwe na Necessary Being – Allah, hajaumbwa, hana chanzo, msingi wa kila kitu.
Kwanza umevuruga msingi wa swali kwa kuligeuza ili upate urahisi wa kulijibu.

Swali halikusema kuhusu kuwezekana, swali lilikuwa kuhusu uwepo au kutokuwepo na ni namna gani unaweza kujua kuwa halipo kwasbabu halipo na sio kwamba lipo ila hakuna uthibitisho wa kuonyesha lipo.

Kwa hiyo narudia tena

Nikikuambia mtaani kwetu yupo mama mwenye umri wa miaka 10 aliyezaa binti ambaye ana umri wa miaka 30.

Utanibishia?

Utathibitisha vipi kwamba watu wenye sifa hizo ni kweli hawapo au wapo ila ni uthibitisho tu umekosena wa ku prove kuwa wapo?
 
No evidence isn’t proof Allah doesn’t exist.
Could you please clarify this statement?I can't tell what were you trying to explain here.

So, Allah doesn't exist right? What is the meaning of this ?"No evidence isn't proof Allah doesn't exist".
 
That's how your religion manipulates you.

Jambo la msingi unatakiwa ulielewa kuwa dini zote zina ubinafsi, kila dini inajiona yenyewe ndio superior dhidi ya nyingine.

Hii pia ni uthibitisho kuwa any assertion regarding faith should be taken as pointless kwasababu tunaona jinsi ambavyo imani isivyopaswa kuaminika katika utoaji wa majibu ya kweli.

Imagine hapo unawakataa Miungu ya wenzako licha ya kwamba wapo kwenye imani.

Lakini ukiingia kwenye mjadala na Atheist unasema swala la Mungu ni imani, wakati tunaona wewe mwenyewe unakataa imani za wenzako.

Kwanza unavyo jenga hoja kusema Allah ndio Mungu pekee haubadilishi kitu.

Wala usidhani kwamba hiyo Miungu ya dini zingine zimekaa kinyonge kihivyo na kwamba hazina mafundisho kama yako ya kujipa maujiko ya kumsifia Mungu wao na kuwakandia Miungu ya dini zingine akiwemo Allah.

Unachotakiwa kukumbuka hata Mungu wako wanamuona snitch the same way, tena wao wanaweza kuja na reasoning ambayo inaweza kuni convince hata mimi.

Mfano hapo kuna Vishnu: Vishnu ni Mungu wa dini ya Kihindu ambaye katika historical records huyu ameanza kusimuliwa miaka mingi kabla hata ya ujio wa Allah na Uislam kiujumla.

Vishnu ndiye aliyekuja na theories za kuumba ulimwengu nk, so dini zozote zilizokuja baada ya hapo na stori za uumbaji wa ulimwengu ni wazi zili copy hii idea. (Na si vibaya kuiga, ila kuiga kwa kutotoa credit kutoka kwa mtu uliyemuiga ni mbaya)

Achana na ule ujinga wa kusema sijui Uislam ulikuwepo tangu na tangu:

Hii pia inaongeza mashaka kuhusu ukweli wa mafundisho ya dini yenu. Kama tu vitu vilivyofanyika hapa duniani na vipo kwenye rekodi mmevifanyia spinning ni nani anaweza kuwa na hakika kuhusu mafundisho ya bikra 72 peponi ambako hakuna aliyefika?

Mnataka kutudanganya kwenye mambo ambayo yapo kwenye historical records mtashindwa vipi kutudanganya kwenye maswala ya spiritual scriptures?


Uislamu haujengi imani kwa kuiga tu wengine. Imani (iman) inategemea sababu, mantiki, na wahyi pamoja. Dini nyingine zinaweza kuwa na hadithi zinazofanana (kama Vishnu, hadithi za uumbaji, n.k.), lakini uwiano huo haupungui uwepo wa Allah au ukweli wa Uislamu.

Kwa sababu dhana fulani ipo mahali pengine kihistoria haimaanishi ni uongo. Ukweli hautegemi chronology au hadithi za binadamu.

Allah ni Kiumbe wa Lazima (Necessary Being), chanzo cha kila kitu ambacho hakiumbwi. Kanuni hii haitegemei hadithi, rekodi za kihistoria, au simulizi za binadamu.

Hadithi za kihistoria zinaweza kubadilishwa, kutafsiriwa vibaya, au kuwa zisizo kamili. Ukweli wa kiroho, kama asili ya Allah, uko juu ya uwezo wa binadamu kuandika na unaweza kueleweka kupitia mantiki na wahyi.
Kukataa Allah kwa sababu dini nyingine zina hadithi za kiungu kunachanganya historia ya kitamaduni na ukweli wa kimsingi wa kiroho.



 
Humans reproduce, but we are contingent on the universe and its laws. Only Allah is truly self-existent
If we reproduce by ourselves then we are not contingent beings.

We are self-existing beings.

Allah isn't necessary.

If we were contingent beings, Allah could be creating us daily. Just like how humans create cars 🚗 everyday. Because cars are contingent, Cars cannot create themselves.

Humans are not contingent beings.
 
Mkristo kupingana Muislam kuhusu Allah silijui hili.Kitu kimoja wanachokubaliana ni kwamba kuna Mungu(awe ni Allah au God inakuwa ni mada nyingine)
Kwanza makubaliano ya Uislamu na Ukristo sio kuhusu Mungu ni Miungu.

Mkristo anaamini kuna Miungu watatu, Muislamu yeye anaamini hiyo ni kufuru.

Mpaka hapa wote hawazungumzi lugha moja na ndio maana adhabu ya mtu atayeuacha Uislam kuja kuwa Mkristo ni kifo.

Hayo yote yanawezekanaje ikiwa wanakubaliana kuwa hata Ukristo pia kuna Mungu?
 
Could you please clarify this statement?I can't tell what were you trying to explain here.

So, Allah doesn't exist right? What is the meaning of this ?"No evidence isn't proof Allah doesn't exist".

Just because you can’t see Allah doesn’t mean He doesn’t exist.
 
Ndio maana tunataka wewe ambae umevuka hizo limitations uweke uthibitisho yakinifu ili tujue Ukweli wa mambo bila mkanganyiko
Kwa mfano nikisema hakuzaa Wala hakuzaliwa, Kwako hii Elimu ni kubwa mno kwasababu ya mazoea atheist wengi wanazani Elimu ni science pekee, Kuna Elimu ambazo Hata binadamu Bado hazijamfikia, kiufupi tuko chini ya Elimu ambayo IPO na hatuifahamu ndio ule mfano wa tone la mchnga kwa sisimizi
 
True, but Allah’s existence is not a claim based on empirical evidence—it’s a logical necessity.

Lack of physical proof doesn’t negate a Necessary Being
Negative Proofs:👇

It is generally unreasonable to demand proof of a negative, particularly if there is no evidence to support the positive claim.
 
Kwa mfano nikisema hakuzaa Wala hakuzaliwa, Kwako hii Elimu ni kubwa mno kwasababu ya mazoea atheist wengi wanazani Elimu ni science pekee, Kuna Elimu ambazo Hata binadamu Bado hazijamfikia, kiufupi tuko chini ya Elimu ambayo IPO na hatuifahamu ndio ule mfano wa tone la mchnga kwa sisimizi
Kama hazijamfikia binadamu wewe zimekufikia vipi hizo elimu?
 
Back
Top Bottom