Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 11,510
- 5,381
Allah’s existence is not a claim to be ‘proved’ physically — He is a Necessary Being, uncreated, and the source of all contingent things.Unaweza kuthibitisha Allah yupo
Allah’s existence is not a claim to be ‘proved’ physically — He is a Necessary Being, uncreated, and the source of all contingent things.Unaweza kuthibitisha Allah yupo
If "we are born" from our parents.“We are born; Allah alone is uncreated, necessary
Kuweka mambo sawa ningeomba unaposema vitabu vinapingana nipate japo nukuu kutoka kwenye hivyo vitabu nione kama kweli vinapingana au ni watu tu ndio wanapingana.Sasa point yangu ni kwamba kama imani ndio muongozo uliokufikisha kwenye Mungu yupo
Kuna vitabu vingi ambavyo ni vya imani na vinapingana.
Sasa ina maana kila kitabu ukipewa utakuwa unakubaliana nacho tu kwasababu ni imani?
Kwasababu at this point inaonyesha imani haipaswi kuaminika na sio kila kilichodaiwa kuwa ni imani ukipewa utakubaliana nacho.
Sasa hicho kitachokufanya kila kitabu ukisoma usikubaliane na vitabu vingine ndio mimi nakitaka hicho.
How can we know your claim is true without proofs?Allah’s existence is not a claim to be ‘proved’ physically — He is a Necessary Being, uncreated, and the source of all contingent things.
Sasa huko ni kwenye uislamu. Sio kwenye uhalisia.
Kwenye uhalisia, Mungu hayupo.
Hakuna Mungu kwenye uhalisia.
These are just religious claims based on faith not facts.
Why is it necessary?
Hivi unajua kua Kuna watu wanaelimu ya kuja Kwako nakuingia ndani Kwako huku ukiwa umefunga mlango Kwa kupitia Kona ya ukuta tu? Na Elimu hio physics Wala biology haikubaliani na suala hili ..Yote haya umeyajuaje sasa? Kuna namna inaonekana unevuka hizo limitations ila unabania kutujuza
Nakuelewa Sana Sasa watu wanaoimba uthibitsho Kwa kupitia Elimu ambayo wanayo mfano ukisema kuona,kuhisi,kugusa,kunusa, wherever that's Science, Sasa science nikaji Elimu Kama tone tu
Hatujapewa kitu complex Kama ukitumia common sense TU ya kawaida Elimu ya uungu unailewa vizuri TU ndio maana Hata katika percentage wanaamini uwepo wa Mungu duniani ni wengi katka asilimia hivyo si kweli Kwa Jambo Hilo ni complex Kwa binadamu kuelewa.
If "we are born" from our parents.
Then, Allah isn't the one creating us. And he is not our creator.
Allah doesn't create humans. And He is not necessary.
We are born.
We are self-existing.
Therefore, Allah doesn't exist.
Mungu wao wapo weengi na kila mungu ana tabia zake sasa which is which..Tatizo ni kkufikiria kwamba anayepinga dini yako ni Atheist pekee.
Mkuu kama duniani kuna watu bilion 8 na katika hao bilion 8, bilioni 2 ni Wakristo, milioni 500 ni Atheist na hizo namba zingine ni waumini wa dini zingine.
Maana yake kwenye dini yako utakuwa unapingwa na watu zaidi ya bilioni 6, huku Atheism wakichukua asilimia 1 tu.
Hii ni sawa na kusema duniani kuna dini 5,000, ambazo zina amini Miungu 5,000.
Atheist haamini Mungu yeyote katika hao Miungu. Wewe ukaanza kumuona Atheist ni mtu wa ajabu kwasbabu haamini Mungu.
Lakini uhalisia ni kwamba Atheist haamini Miungu 5,000 wakati wewe huamini Miungu 4,999. So utofauti wenu nyinyi ni 1 tu.
Kwa mfano wewe hapo ulipo unatumia vigezo Gani kunipinga Mimi kuwa hayupo?Common sensw inategemea umezaliwa wapi, umejazwa nini toka mdogo na uwezo wako wa kufikiria ipoje,
Percentage kubwa ya waumini sio issue kubwa sana maana mfano kama wewe ni muislamu na kwa sasa wakristo % yao ni kubwa unataka kusema wao ndo wapo upande sahihi?
Baada ya miaka 100, waislamu wakawa % kubwa inataka kusema ndo wapo sahihi?
Baada ya miaka 4000 mfano miaka hiyo wasio na imani wakawa ndo % kubwa tutasema ndo wapo sahihi?
Kuna mgogoro sehemu fulani, kushindwa kuukubali ni tatizo lingine haijalishi Yupo au Hayupo
We know Allah exists through logic: contingent things cannot exist by themselves; the chain of causes cannot be infinite.How can we know your claim is true without proofs?
Negative Proofs: 👇Nadhani umeenda mbali.Narudia nilichokuwa nasema, ni kwamba hakuna binadamu yoyote yule anayeweza kuprove kuwa Mungu yupo au hayupo.
Kisichokuwepo hakihitaji uthibitisho wa kutokuwepo, kwa sababu hakipo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika kipo.Nimetoa maelezo kama wasemavyo watu wa dini(Ukristo,Uislam,na Uyahudi ambazo zina ufanano kidogo).Sina tatizo na mtu kuwa atheist maana ni uchaguzi kwasababu hajawahi kumuona Mungu ndio maana hana imani na mambo ya Mungu.
Pointi ya msingi:Hakuna mtu atakupa ushahidi kwamba Mungu yupo au hayupo.Na sio jukumu la anayeamini au asiyeamini
Namimi huko nilitoka kitamboNadhani umeenda mbali.Narudia nilichokuwa nasema, ni kwamba hakuna binadamu yoyote yule anayeweza kuprove kuwa Mungu yupo au hayupo.
Nimetoa maelezo kama wasemavyo watu wa dini(Ukristo,Uislam,na Uyahudi ambazo zina ufanano kidogo).Sina tatizo na mtu kuwa atheist maana ni uchaguzi kwasababu hajawahi kumuona Mungu ndio maana hana imani na mambo ya Mungu.
Pointi ya msingi:Hakuna mtu atakupa ushahidi kwamba Mungu yupo au hayupo.Na sio jukumu la anayeamini au asiyeamini
Mungu wao wapo weengi na kila mungu ana tabia zake sasa which is which..
hawa mapimbi wa dini wanauana wanabaguana wao kwa wao wao yaani sijui huyo mungu wao yupo sehemu gani kichwani?
Unaelewa ulicho kijibu na swali uliloulizwa lulingana na hoja niliyo ku quote?Dhana ya asili ya Mungu katika Uislamu ni kwamba Allah ni Necessary Being — asiyeumbwa, asiye na chanzo, na ndiye msingi wa uwepo wa kila kitu.
Hii ni tofauti na dhana ya Trinity inayokubali kwamba Mungu ana sehemu au wanakiri kuwa Yesu ni sehemu ya Mungu, jambo ambalo linapingana na uhalisia wa Allah.
Ng'ombe ni ng'ombe wote tunaifahamu hii haitaji proof wala revelation.Ng'ombe na Mungu ni concept mbili tofauti kabisa.Mkuu kama proof sio muhimu kwenye maswala ya revelations niambie kwanini huamini Ng'ombe ni Mungu?
Kwanini huamini imani zingine ambazo nazo zina hizo revelations, kwanini revelations za dini yako tu ndio unaziamini kama proofs si msingi?
Allah doesn't exist through logic.We know Allah exists through logic: contingent things cannot exist by themselves; the chain of causes cannot be infinite.
Allah is a FICTIONAL CHARACTER.Reason demands a Necessary Being — that is Allah
Unaelewa ulicho kijibu na swali uliloulizwa lulingana na hoja niliyo ku quote?
Sasa kama ni asili ya Mungu ni definition inayotoka kwa mujibu wa Uislam, hayo makubaliano na Ukristo yanaingiaje?
Binafsi mimi sisemi Yupo au Hayupo, mimi imani yangu ni ya kwanguKwa mfano wewe hapo ulipo unatumia vigezo Gani kunipinga Mimi kuwa hayupo?
Who has demanded physically proof?Allah’s existence is not a claim to be ‘proved’ physically — He is a Necessary Being, uncreated, and the source of all contingent things.