Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,165
- 123,281
Sasa kama inapingana na vile Uislam unavyoamini, kunakuwaje na makubaliano ya pamoja kuhusu asili ya Mungu?Dhana ya asili ya Mungu katika Uislamu si mawazo ya binadamu — ni logic: Kiumbe wa Lazima.
Wakristo pia wanakubali kuna Mungu, lakini dhana ya Trinity inapingana na uhalisia huu.
Makubaliano yao ni kwenye uwepo, si tafsiri za binadamu.”