Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 11,512
- 5,385
Makubaliano ya Uislamu na Ukristo hayako kwenye idadi ya miungu, bali kwenye dhana ya asili ya Mungu.Kwanza makubaliano ya Uislamu na Ukristo sio kuhusu Mungu ni Miungu.
Mkristo anaamini kuna Miungu watatu, Muislamu yeye anaamini hiyo ni kufuru.
Mpaka hapa wote hawazungumzi lugha moja na ndio maana adhabu ya mtu atayeuacha Uislam kuja kuwa Mkristo ni kifo.
Hayo yote yanawezekanaje ikiwa wanakubaliana kuwa hata Ukristo pia kuna Mungu?
Hata kama wote wanasema ‘Mungu yupo’, mafundisho yao ni tofauti kabisa; ukweli wa Allah hauwezi kupunguzwa na tafsiri za wanadamu