Humans are unpredictable!.
This is not for my brain to decode as long as someone claims to have actually been there. It should be the matter of facts!!Mayb it was fake, mayb it is too expensive, mayb ts too dangerous or mayb there is nothing there to waste resources for, or mayb the word is FLAT covered with glass hard to break. Let your brain decide.
Infact ukiniita monkey utakuwa umenionea tu, wewe unayesadiki kuwa dunia ni mpora unaozunguka basi imekupasa uamini katika evolution pia, hivyo wewe ni NYANI ANAYEZUNGUKA JUA.We ndo umeelimika unaamini dunia ni flat?
Mkiitwa monkeys mnalalamika, 2020 tukae tunadiscuss kama dunia ni flat?
Infact ukiniita monkey utakuwa umenionea tu, wewe unayesadiki kuwa dunia ni mpora unaozunguka basi imekupasa uamini katika evolution pia, hivyo wewe ni NYANI ANAYEZUNGUKA JUA.
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Nakuelewa vizuri.Natafakari naona dunia mpira inanipa ukskasi japokuwa huko shule nimesoma hvyo.
Mimi naona tujadili hoja moja moja mkuu ili tupeane darsa nzuri kinyume na hawa wanaoponda hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo watakaopinga na kusema kuna wanasayansi wamefika mwezini.Haya mambo ya Sayansi huwa yana uongo mwingi sana, tatizo watu wengi wanapenda story za Sayansi basi hata muda wa kuhoji hawaupati.
Nilishawahi kuwauliza humu wajinga fulani kwamba, kuna jafribio gani la Kisayansi liliwahi kufanywa likathibitisha ya kuwa Dunia inazunguka ? Auwatuthibitshie tu ya kuwa Dunia inazunguka, majibu yao ni vituko.
Sayansi ya maumbile na hasa ya anga niliachaga kuamini, pale niliposikia habari za mtu kwenda mwezini.
Mkuu mimi pia nimevutiwa na uzi huu, hivyo nikaamua kufanya uchunguzi wangu binafsi. Nilichoambulia mpaka sasa ni sababu mbili:Kwanini wafiche dunia sio tambarare ni tufe?Nini faida ya kuficha?Hasara ni zipi endapo binadamu watajua kwamba dunia ni tambarare?Mbona ni jambo zuri tu kuvumbua mambo kila siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
What is flat? How do you know something is flat and another is not?Knowing flat earth definition doesnt make an earth spherical we use flat to disprove curve or spherical
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unagonga penyewe.Jamani masomo ya urubani ni free kabisa online ingia kasome ila ujue siri moja sio kuwa na malengo ya kua kuwa rubani
Hivi unajua ndege inaruka umbali mrefu sana pasipo kupaa kwa kujikunja kufuata the way dunia ilivyo but huwa inaenda straight tu?
Kama kuna satellite kwanini kuna mkonge duniani kote?
kwanini mmarekani mwenye teknolojia kubwa aliweza kupigwa na kushindw akujiokoa huko mapangoni kwa watu wa iran kisa tu hawawezi wasiliana na ndugu zao? na kumbuka wanasatellite yao binafsi?
Kwanini uwekewe mnara kwa babu yako kule upate shida ya network wakati ingeachiwa moja kwa moja kutoka juu ingefika kwa urahisi?
kwanini ndege zinawekewa rada chini duniani na hazitumii sattelite?
Siwaaaminishi muamini dunia flat ila nataka tujiulize na kujifunza kwanini baba anasema anahela laki mbili ndani lakini amekopa buku ya nauli
NotedZipo ndege kutoka Australia to US eastwardsView attachment 1336934
Sent using Jamii Forums mobile app
Mountains are formed from forces within crust,the water around nature is of high percent than the land,water takes it level,on water bodies water has no curvature but horizon hence flatness"for the last time ,we use the word flat or term earth flat circle to disprove man made spherical earth or curvature"What is flat? How do you know something is flat and another is not?
How can you say the earth is flat while it clearly has mountains and valleys?
Sent using Jamii Forums mobile app
Flat earthers hatuyumbishwi wala kukariri, tunaleta points! Round and Spherical earthers wanauliza maswali tunayapatia jawabu.
The world is flat.....
duh....
Are mountains flat?Mountains are formed from forces within crust,the water around nature is of high percent than the land,water takes it level,on water bodies water has no curvature but horizon hence flatness"for the last time ,we use the word flat or term earth flat circle to disprove man made spherical earth or curvature"
I think am done explaining this no extra explanations.
Sent using Jamii Forums mobile app