Baba Swalehe tuambie hapa!
Theory ya rotation of the earth speed yake ni uniform na inachukua saa 24 kukamilisha mzunguko ambao unazalish usiku na mchana. Kama mwendokasi wa Dunia ni Uniform katika mzunguko wake wa saa 24 usiku na mchana unapatikana tafsiri yake ni kwamba saa zake inabidi ziwe pacha. Mchana utachukua saa 12 na usiku saa 12.
Equinox mnasema when the sun crosses the equator! Usiku na mchana unakuwa the same length. Tafsiri yake ni kwamba masaa ya usiku na mchana yanatofautiana kwenye Dunia hii hii ambayo speed yake ni Uniform ambao kila siku unachukua saa 24 kukamilisha mzunguko wake ambao tunapata usiku na mchana.
Ajabu ni kwamba the sun linakuwa overhead at the equator twice per year! Inatokea mwezi March na mwezi September. Hii hali inakuwaje?wakati earth rotates at a uniform speed in 24 hrs siku zote? Kwa nini equinox isiwe daily?
Tupatie majibu msomi.