The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

I THINK HE IS STILL EMPHASIZING ON INDOCTRINATED FELLOWS
AND HE IS STANDING INSIDE A DOME WITH FLAT EARTH MAPS ALL OVER.

.
IMG_20200126_141018_675.JPG
IMG_20200128_212923_040.JPG
EN9P7h2UcAAyCjR.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1920,GEORGE RAYNER DID HE SEE THE FIRMAMENT .
I dont know just go for yourself
But remember anything about the dome no permit.
images%20-%202020-01-29T153814.373.jpeg
images%20-%202020-01-29T153841.369.jpeg
images%20-%202020-01-29T153857.967.jpeg
images%20-%202020-01-29T150553.102.jpeg
images%20-%202020-01-29T150527.093.jpeg
images%20-%202020-01-29T150511.392.jpeg
images%20-%202020-01-29T150428.452.jpeg
images%20-%202020-01-29T150439.330.jpeg
IMG_20200129_010255_178.JPG
IMG_20200129_010318_184.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
What is flat? How do you know something is flat and another is not?

How can you say the earth is flat while it clearly has mountains and valleys?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni heri ungejikita kwenye hoja. Hilo swali lako linalenga kutuondoa kwenye hoja ya msingi, hilo swali ni la kindergatten kwa mtoto anayejifunza lugha zaidi kuliko facts zinazojadiliwa hapa.

Kukusaidia basi, the earth is flat, kwa sababu ya kulinganisha model mbili: globe na flat model. Tunaposema dunia ni globe ama ni duara hatutazami perfection bali general appearance hasa hasa ukizingatia scale yake. Kwani unataka kutuambia kile kinachoonyeshwa na NASA ndii mwonekano halisi wa dunia ama ni kulingana na picha kwa kuzingatia scale?

Ukisikia flat earth siku nyingine ujue ni relative to globe model of representation, usilete vijilugha vyako kutaka kuhamisha mada. Jikite kwenye hoja za msingi, usiwe kama members wanaoweza kung'ang'ania typing error kwa sababu tu hukuweka comma, ni kujisgusha level ya uelewa wa mambo na kuonyesha huna hoja kuhusiana na kile kinachoendelea.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Mountains are formed from forces within crust,the water around nature is of high percent than the land,water takes it level,on water bodies water has no curvature but horizon hence flatness"for the last time ,we use the word flat or term earth flat circle to disprove man made spherical earth or curvature"

I think am done explaining this no extra explanations.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu achana na mtu ambaye anajikita kwenye kiingereza badala ya sayansi ya dunia. Hapa hatushindani lugha bali tunaoanisha facts kati ya concepts mbili; flat na globe earth. Habari ya milima haiifanyi dunia kuwa globe wala flat, hivyo inahamisha mada na kuanza kujadili vitu visivyo na msingi.

Mwana jf mwenye nia ya kutoa mawazo yake hawezi kujikita kwenye hoja mfu bali kwenye msingi wa mada yenyewe.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Ni heri ungejikita kwenye hoja. Hilo swali lako linalenga kutuondoa kwenye hoja ya msingi, hilo swali ni la kindergatten kwa mtoto anayejifunza lugha zaidi kuliko facts zinazojadiliwa hapa.

Kukusaidia basi, the earth is flat, kwa sababu ya kulinganisha model mbili: globe na flat model. Tunaposema dunia ni globe ama ni duara hatutazami perfection bali general appearance hasa hasa ukizingatia scale yake. Kwani unataka kutuambia kile kinachoonyeshwa na NASA ndii mwonekano halisi wa dunia ama ni kulingana na picha kwa kuzingatia scale?

Ukisikia flat earth siku nyingine ujue ni relative to globe model of representation, usilete vijilugha vyako kutaka kuhamisha mada. Jikite kwenye hoja za msingi, usiwe kama members wanaoweza kung'ang'ania typing error kwa sababu tu hukuweka comma, ni kujisgusha level ya uelewa wa mambo na kuonyesha huna hoja kuhusiana na kile kinachoendelea.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Hao wanafanana na hiyo ndio mbinu yao baada ya kushindwa hoja, huwa wanafanya moja kati ya haya mawili au hufanya yote.
1. Kuhamisha mada
2. Kutokujibu hoja kwa kuuliza maswali ya kijinga.
 
Dunia ni duara kama tufe. Msidanganywe na conspiracy theories.
Wataalamu wa kurusha long range rockets au ballistics missiles wana formula moja ambayo lazima upate Earth Curvature at a certain point,ili kudondosha kombora lako unapotaka. Earth curvature ni mpindo au mduara wa dunia ulivyo. Sasa kama dunia si duara formula hiyo ya nini!?
 
According to hii takataka niliyoattach, Naomba tu niite takataka sababu mtoa maada alishindwa kuitolea maelezo.

Sasa according to hii takataka ni kwamba dunia ni flat na jua linazunguka huko pembeni, na bara la africa na ulaya ni almost tupo katika center ya dunia.

1. Sasa kwanini tunaona jua la utosi ikiwa jua linazunguka huko pembeni?

2. Sun rise na sun set inatokeaje?View attachment 1338964

Sent using Jamii Forums mobile app
Very logical questions mkuu. Maswali magumu kama haya wana sayansi wa siku hizi hawataki. Na ukimuuliza physically kama kwenye seminar ataishia kukuambia "good question" kisha anapiga blahblah maisha yanaendelea. Science ya leo iko very dilute, watu wanakaa kwenye computer wanato simulated models kama hiyo uliyoiita takataka kisha wanaanza kupiga porojo "the earth is flat the earth is flat". Jamani mambo haya siyo rahisi kiasi hicho!!
 
Huwezi kupiga straight kwenda juu maana hakuna njia yeyote kuna kizuizi na hio ndo zababu kila kitu huenda kwa projectile because you cant and never will happen crossing the dome,glass ceiling or firmament





Dunia ni duara kama tufe. Msidanganywe na conspiracy theories.
Wataalamu wa kurusha long range rockets au ballistics missiles wana formula moja ambayo lazima upate Earth Curvature at a certain point,ili kudondosha kombora lako unapotaka. Earth curvature ni mpindo au mduara wa dunia ulivyo. Sasa kama dunia si duara formula hiyo ya nini!?
IMG_20200128_212621_657.JPG
sdfe.jpeg
IMG_20200128_212939_228.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wanafanana na hiyo ndio mbinu yao baada ya kushindwa hoja, huwa wanafanya moja kati ya haya mawili au hufanya yote.
1. Kuhamisha mada
2. Kutokujibu hoja kwa kuuliza maswali ya kijinga.
safi sana, nawapongeza hamna hasira kabisa mnajibu hoja kwa hoja. kuna watu wanasema mnajadili vitu vya kijinga ili hali hata hao wazungu pia wanaoamini dunia ni flat wapo vilevile. ila mzungu akihoji hawashangai, mtanzania akihoji anaonekana waajabu eti,,,endeleeni kutufumbua macho, hoja zenu zina mashiko kuliko wale wanaosema dunia ni tufe
 
Its logically in logical to can not comprehend things that only use commonsense and sight and run for complex calculations which are merely theories ,thats a high level of indoctrination.
Very logical questions mkuu. Maswali magumu kama haya wana sayansi wa siku hizi hawataki. Na ukimuuliza physically kama kwenye seminar ataishia kukuambia "good question" kisha anapiga blahblah maisha yanaendelea. Science ya leo iko very dilute, watu wanakaa kwenye computer wanato simulated models kama hiyo uliyoiita takataka kisha wanaanza kupiga porojo "the earth is flat the earth is flat". Jamani mambo haya siyo rahisi kiasi hicho!!
IMG_20200129_172447_521.JPG
f7d418bd46782de82b05d7767c23cd9f.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is not for my brain to decode as long as someone claims to have actually been there. It should be the matter of facts!!

Nimejaribu kutafuta mtandaoni nimeshangaa kuwa evidences zote zinazohusiana na hii program ya mwezini NASA wanadai zimepotea. Hapa kuna tatizo.

Lakini pia nikiweka maoni yangu kuhusu globe earth na flat earth, wengi katika wateezi wa globe earth nimegundua wanakimbilia kwenye kile walicholishwa vyuoni kuliko kujadili uhalisia wa mambo. Ndipo utaona wajivuni wa complex mathematical formulas, wanaoringia maelezo ya wanasayansi wa ulaya n.k. Sifurahishwi sana na jinsi wanasayansi wetu wenyewe wanavyoshindwa kujenga hoja nyepesi tu za kueleweka kwa wana jf wa kawaida kama mtoa mada alivyokusudia.

Kwa mwenye ufahamu kidogo tu, why on earth pale panapohitajika elimu kwa umma wote watu wakimbilie kwenye maformula ya chuo kikuuu ambayo hawajawahi hata kuyafanyia kazi zaidi ya kukariri ili kupata GPA nzuri? Can't we think and make sense on our own? Kwa nini tufanywe watumwa wa mitazamo ya wengine?

I mean, sipo kupinga globe earth ila sipendezwi na majivuno ya kina Einstein n.k. Be simple, elezea kile ulichokielewa sasa in a layman's language. Kutuletea maelezo complecated ni dalili ya kutoelewa hata kile unachokizungumza, just break it down in a simple to understand language.

Thanks in advance.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Wr jamaa unanitibua wewe unaijua Schrondinger equation, fourier series, thevenin equation inaijua, boltzmann, canonical ensembe unazijua wewe mpumbavu we hata nikikuelewesha huwezi elewa fool"
Hayo ndio majibu ya wasomi wetu. Yaani wamesahau wanasansi wengi si waingerza waliandika mambo yao katika lugha ngumu hasa kilatini, ila kuna watu wameturahisishia kwenye lugha nyepesi ili tuweze kuelewa. Leo hii mtu kutoka tu Mwakaleli hapo anajiona mtaalama sana na hakuna anaeweza kuelewa zaidi yake aaahhh. Shuwaini. Kwanza kwa nini muwe madikteta wa mawazo, acheni watu watafari ndio kazi ya ubongo. Hii inaonesha wasomi wetu wengi ni vilaza ndio maana wanatumia fomula ngumu ili tuwaone wako nondo
 
Wr jamaa unanitibua wewe unaijua Schrondinger equation, fourier series, thevenin equation inaijua, boltzmann, canonical ensembe unazijua wewe mpumbavu we hata nikikuelewesha huwezi elewa fool"
Hayo ndio majibu ya wasomi wetu. Yaani wamesahau wanasansi wengi si waingerza waliandika mambo yao katika lugha ngumu hasa kilatini, ila kuna watu wameturahisishia kwenye lugha nyepesi ili tuweze kuelewa. Leo hii mtu kutoka tu Mwakaleli hapo anajiona mtaalama sana na hakuna anaeweza kuelewa zaidi yake aaahhh. Shuwaini. Kwanza kwa nini muwe madikteta wa mawazo, acheni watu watafari ndio kazi ya ubongo. Hii inaonesha wasomi wetu wengi ni vilaza ndio maana wanatumia fomula ngumu ili tuwaone wako nondo
haa haaa...ma shrodinger equation kwenye quantum physics yanaboa kweli yale. ila kweli ktk mada ya hapa juu inabidi uiache akiri yako itulie, unaupata uhalisia kabisa...mimi mwalimu wangu wa physics alitumia nguvu sana hadi tuligombana kwa kuniambia eti tupo nje ya dunia tumening'inia kama popo...ha haaa kumbe zilikuwa fix tu
 
Umewaza kama mimi mkuu.hii mada ni nzuri sana ila ni mbaya kwa kina baba swalehe na wenzie ambao kwa sayansi ni dini yao so hawwfurahii kuona mtu anahoji jambo..
Mkuu mimi pia nimevutiwa na uzi huu, hivyo nikaamua kufanya uchunguzi wangu binafsi. Nilichoambulia mpaka sasa ni sababu mbili:

1. NASA program na space program nyinginezo duniani zinatumia mabilioni ya dola kila mwaka kufanya tafiti za anga za juu, hivyo ni njia nzuri na ya uhakika kuchota pesa za walipa kodi kwa amani kabisa. Bila hivyo ni ngumu kupata mafungu haya kwani watu hatakubali.

2. Kuwatoa watu kwenye kuamini kwamba Mungu yupo. Kumbuka tangu awali dunia iliaminika kuwa ni tambarare ambayo ni kama sinia. Kwamba bara la antarctica limezunguka ncha upande wote wa chini wa dunia. Sasa kusema kuwa dunia ni duara kunaondoa credibility ya Mwenyezi Mungu na hivyo kufanya vitabu vya dini kuwa ni hadithi za kutunga tu.

Bado naendelea kutafiti zaidi, lakini kama utafanya utafiti kwa kuwa na mtazamo huru, nakuhakikishia mada hii ni nzuri mno. Weka spoon feeding pembeni, shughulisha ubongo wako ije na mtazamo wako mwenyewe ulinganishe na scientific facts.

Naendelea....

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom