Watu wanapenda story tatizo na kuona mapicja picha yale.
Watu wanapenda story tatizo na kuona mapicja picha yale.
How can mountains be flat ,is like asking is a tree flat,so that means if its not flat.........
Ni heri ungejikita kwenye hoja. Hilo swali lako linalenga kutuondoa kwenye hoja ya msingi, hilo swali ni la kindergatten kwa mtoto anayejifunza lugha zaidi kuliko facts zinazojadiliwa hapa.What is flat? How do you know something is flat and another is not?
How can you say the earth is flat while it clearly has mountains and valleys?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu achana na mtu ambaye anajikita kwenye kiingereza badala ya sayansi ya dunia. Hapa hatushindani lugha bali tunaoanisha facts kati ya concepts mbili; flat na globe earth. Habari ya milima haiifanyi dunia kuwa globe wala flat, hivyo inahamisha mada na kuanza kujadili vitu visivyo na msingi.Mountains are formed from forces within crust,the water around nature is of high percent than the land,water takes it level,on water bodies water has no curvature but horizon hence flatness"for the last time ,we use the word flat or term earth flat circle to disprove man made spherical earth or curvature"
I think am done explaining this no extra explanations.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wanakuwa wamesoma mengi ya uongo na kuchanganya mambo na sababu nyingine nje ya hayo mawili.Ndo maana watu waliokula kitabu sana wanaishia kuwa machizi.
When viewed from above, YES. Haya rudi kwenye mada
Hao wanafanana na hiyo ndio mbinu yao baada ya kushindwa hoja, huwa wanafanya moja kati ya haya mawili au hufanya yote.Ni heri ungejikita kwenye hoja. Hilo swali lako linalenga kutuondoa kwenye hoja ya msingi, hilo swali ni la kindergatten kwa mtoto anayejifunza lugha zaidi kuliko facts zinazojadiliwa hapa.
Kukusaidia basi, the earth is flat, kwa sababu ya kulinganisha model mbili: globe na flat model. Tunaposema dunia ni globe ama ni duara hatutazami perfection bali general appearance hasa hasa ukizingatia scale yake. Kwani unataka kutuambia kile kinachoonyeshwa na NASA ndii mwonekano halisi wa dunia ama ni kulingana na picha kwa kuzingatia scale?
Ukisikia flat earth siku nyingine ujue ni relative to globe model of representation, usilete vijilugha vyako kutaka kuhamisha mada. Jikite kwenye hoja za msingi, usiwe kama members wanaoweza kung'ang'ania typing error kwa sababu tu hukuweka comma, ni kujisgusha level ya uelewa wa mambo na kuonyesha huna hoja kuhusiana na kile kinachoendelea.
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Very logical questions mkuu. Maswali magumu kama haya wana sayansi wa siku hizi hawataki. Na ukimuuliza physically kama kwenye seminar ataishia kukuambia "good question" kisha anapiga blahblah maisha yanaendelea. Science ya leo iko very dilute, watu wanakaa kwenye computer wanato simulated models kama hiyo uliyoiita takataka kisha wanaanza kupiga porojo "the earth is flat the earth is flat". Jamani mambo haya siyo rahisi kiasi hicho!!According to hii takataka niliyoattach, Naomba tu niite takataka sababu mtoa maada alishindwa kuitolea maelezo.
Sasa according to hii takataka ni kwamba dunia ni flat na jua linazunguka huko pembeni, na bara la africa na ulaya ni almost tupo katika center ya dunia.
1. Sasa kwanini tunaona jua la utosi ikiwa jua linazunguka huko pembeni?
2. Sun rise na sun set inatokeaje?View attachment 1338964
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia ni duara kama tufe. Msidanganywe na conspiracy theories.
Wataalamu wa kurusha long range rockets au ballistics missiles wana formula moja ambayo lazima upate Earth Curvature at a certain point,ili kudondosha kombora lako unapotaka. Earth curvature ni mpindo au mduara wa dunia ulivyo. Sasa kama dunia si duara formula hiyo ya nini!?
safi sana, nawapongeza hamna hasira kabisa mnajibu hoja kwa hoja. kuna watu wanasema mnajadili vitu vya kijinga ili hali hata hao wazungu pia wanaoamini dunia ni flat wapo vilevile. ila mzungu akihoji hawashangai, mtanzania akihoji anaonekana waajabu eti,,,endeleeni kutufumbua macho, hoja zenu zina mashiko kuliko wale wanaosema dunia ni tufeHao wanafanana na hiyo ndio mbinu yao baada ya kushindwa hoja, huwa wanafanya moja kati ya haya mawili au hufanya yote.
1. Kuhamisha mada
2. Kutokujibu hoja kwa kuuliza maswali ya kijinga.
Very logical questions mkuu. Maswali magumu kama haya wana sayansi wa siku hizi hawataki. Na ukimuuliza physically kama kwenye seminar ataishia kukuambia "good question" kisha anapiga blahblah maisha yanaendelea. Science ya leo iko very dilute, watu wanakaa kwenye computer wanato simulated models kama hiyo uliyoiita takataka kisha wanaanza kupiga porojo "the earth is flat the earth is flat". Jamani mambo haya siyo rahisi kiasi hicho!!
Wr jamaa unanitibua wewe unaijua Schrondinger equation, fourier series, thevenin equation inaijua, boltzmann, canonical ensembe unazijua wewe mpumbavu we hata nikikuelewesha huwezi elewa fool"This is not for my brain to decode as long as someone claims to have actually been there. It should be the matter of facts!!
Nimejaribu kutafuta mtandaoni nimeshangaa kuwa evidences zote zinazohusiana na hii program ya mwezini NASA wanadai zimepotea. Hapa kuna tatizo.
Lakini pia nikiweka maoni yangu kuhusu globe earth na flat earth, wengi katika wateezi wa globe earth nimegundua wanakimbilia kwenye kile walicholishwa vyuoni kuliko kujadili uhalisia wa mambo. Ndipo utaona wajivuni wa complex mathematical formulas, wanaoringia maelezo ya wanasayansi wa ulaya n.k. Sifurahishwi sana na jinsi wanasayansi wetu wenyewe wanavyoshindwa kujenga hoja nyepesi tu za kueleweka kwa wana jf wa kawaida kama mtoa mada alivyokusudia.
Kwa mwenye ufahamu kidogo tu, why on earth pale panapohitajika elimu kwa umma wote watu wakimbilie kwenye maformula ya chuo kikuuu ambayo hawajawahi hata kuyafanyia kazi zaidi ya kukariri ili kupata GPA nzuri? Can't we think and make sense on our own? Kwa nini tufanywe watumwa wa mitazamo ya wengine?
I mean, sipo kupinga globe earth ila sipendezwi na majivuno ya kina Einstein n.k. Be simple, elezea kile ulichokielewa sasa in a layman's language. Kutuletea maelezo complecated ni dalili ya kutoelewa hata kile unachokizungumza, just break it down in a simple to understand language.
Thanks in advance.
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
haa haaa...ma shrodinger equation kwenye quantum physics yanaboa kweli yale. ila kweli ktk mada ya hapa juu inabidi uiache akiri yako itulie, unaupata uhalisia kabisa...mimi mwalimu wangu wa physics alitumia nguvu sana hadi tuligombana kwa kuniambia eti tupo nje ya dunia tumening'inia kama popo...ha haaa kumbe zilikuwa fix tuWr jamaa unanitibua wewe unaijua Schrondinger equation, fourier series, thevenin equation inaijua, boltzmann, canonical ensembe unazijua wewe mpumbavu we hata nikikuelewesha huwezi elewa fool"
Hayo ndio majibu ya wasomi wetu. Yaani wamesahau wanasansi wengi si waingerza waliandika mambo yao katika lugha ngumu hasa kilatini, ila kuna watu wameturahisishia kwenye lugha nyepesi ili tuweze kuelewa. Leo hii mtu kutoka tu Mwakaleli hapo anajiona mtaalama sana na hakuna anaeweza kuelewa zaidi yake aaahhh. Shuwaini. Kwanza kwa nini muwe madikteta wa mawazo, acheni watu watafari ndio kazi ya ubongo. Hii inaonesha wasomi wetu wengi ni vilaza ndio maana wanatumia fomula ngumu ili tuwaone wako nondo
Mkuu mimi pia nimevutiwa na uzi huu, hivyo nikaamua kufanya uchunguzi wangu binafsi. Nilichoambulia mpaka sasa ni sababu mbili:
1. NASA program na space program nyinginezo duniani zinatumia mabilioni ya dola kila mwaka kufanya tafiti za anga za juu, hivyo ni njia nzuri na ya uhakika kuchota pesa za walipa kodi kwa amani kabisa. Bila hivyo ni ngumu kupata mafungu haya kwani watu hatakubali.
2. Kuwatoa watu kwenye kuamini kwamba Mungu yupo. Kumbuka tangu awali dunia iliaminika kuwa ni tambarare ambayo ni kama sinia. Kwamba bara la antarctica limezunguka ncha upande wote wa chini wa dunia. Sasa kusema kuwa dunia ni duara kunaondoa credibility ya Mwenyezi Mungu na hivyo kufanya vitabu vya dini kuwa ni hadithi za kutunga tu.
Bado naendelea kutafiti zaidi, lakini kama utafanya utafiti kwa kuwa na mtazamo huru, nakuhakikishia mada hii ni nzuri mno. Weka spoon feeding pembeni, shughulisha ubongo wako ije na mtazamo wako mwenyewe ulinganishe na scientific facts.
Naendelea....
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Flat earthers hatuyumbishwi wala kukariri, tunaleta points! Round and Spherical earthers wanauliza maswali tunayapatia jawabu.
The world is flat.....