Wordsworth
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,217
- 3,425
Wala hawana lolote wanabisha ilimradi wabishe na waonekane tofauti na wengine. Ukisema uanze kutaka kuwaelewesha unapoteza tu muda. Tulitakiwa tuwe tunabshiana kuhusu mambo ya maana na siyo yale ambayo yanajulikana tangia 5000BC.Mkuu tuvumiliane. Kuna watu wa uelewa tofauti tofauti hivyo ukiona mtu ana uelewa mdogo below your expectations usimtukane, mvumilie tu. Lakini pia tunatofautiana level ya uvumilivu naona wewe huko kama speaker mmoja wa bunge la south Africa ana hasira kama zako, kuna siku alimwambia mbunge, "honorable member you are worse than I expected". Nilicheka utadhani mazuri!