REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,391
- 1,960
- Thread starter
- #1,241
Knowing flat earth definition doesnt make an earth spherical we use flat to disprove curve or spherical
Sent using Jamii Forums mobile app
Knowing flat earth definition doesnt make an earth spherical we use flat to disprove curve or spherical
Tatizo waliozusha huo uzushi wana 'fact' kidogo, nyie wafuasi mnashindwa kutetea maelezo yanayoeleweka. Ni picha tuuSio mpaka leo, yaani mpaka pumzi yangu ya mwisho, ile nakata roho. Sababu sisi tumeshalenga shabaha hata kabla ya Sayansi hii si yenye kutajika.

Lol, hii inamaanisha nini?

Kwanza unajua huwezi kuthibitisha ya kuwa huo ni uzushi.Tatizo waliozusha huo uzushi wana 'fact' kidogo, nyie wafuasi mnashindwa kutetea maelezo yanayoeleweka. Ni picha tuu![]()
Kwahiyo sasa hivi unatumia physics kuthibitisha sio?.
Sawa Zurri.Kwanza unajua huwezi kuthibitisha ya kuwa huo ni uzushi.
Pili, kuna mapito mengi ya kuelezea jambo hilo. Mimi nina tumia mapito mawili au matatu kuwa na msimamo huo. Mapito ninayotumia mimi ni haya yafuatayo :
1. Hoja za kiakili
2. Hoja za kihisia (Hawasi/Sense Organs)
3. Ufunuo
4. Hoja za kisayansi (Hizi nazipa nafasi ndogo)
Kama umefatilia kuna wakati nilikuwa navutana na mtoa mada, kuhusu uwezo wa Camera kuona mbali na kuhitimisha wazo hili. Hapa kuna maswali nilimhoji, unaweza ukarejea ukaona ukipenda.
Msimamo wangu ni huu :
1. Dunia haizunguki bali jua lina tembea katika njia zake.
2. Dunia ni duara ila kulingana na ukunwa wake tunaona iko tambarare kama tandiko au kama kitanda, hapa nina hoja nyingi sana.
Tatizo liko kwenu yaani kuhoji mambo hamjui au mna uwezo mdogo kulingana na maarifa machache mliyonayo kuhuhusu jambo hilo.
Kwahiyo tunaweza kuwa na msimamo mmoja ila mapito tofauti na hiki ndicho kilivyo, mimi sipatilizi sana mapicha picha sababu najua ukomo wa vifaa vinavyotumika katika suala na kuna mengi ya kuzua pia. Kwahiyo mimi nahoji sana kulingana na uhalisia.
Ukimaliza kucheka rudi ntakueleweshaKwahiyo sasa hivi unatumia physics kuthibitisha sio?.
Mimi sijasoma na sijui physics nieleweshe.
Tayari.
wapi nimesema allegory of the cave inahusiana na flat earth?itakuwa una stress mkubwa dhumuni la ku pointout hiyo allegory of the cave, ni juu ya elimu wanazopewa watu ili kuwaficha reality ilivyo na hivyo kuwa rahisi kwa watu fulani kuwa control kwenye nyanja zote mfano ni wewe unayetumia mawazo ya kukaririshwa(unachukua nafasi ya wale wawili wenye minyororo pangoni) kupingana na mtu ambaye amejaribu kufikiri nje ya box (huyu namueka nafasi ya yule ambaye mnyororo ulikatika akatoka nje kuona reality ilivyo),mbaya zaidi haupingi kwa facts 😆😆 .Kwa nini unatudanganya kuhusu allegory of the cave kijana
Kwamba inahusiana na earth flatness
Sent using Jamii Forums mobile app
watu hawajishughulishiDarkweb kuna siri zote ambazo hapa wakikimbilia google wanakutana na masatellite,mara mars mara omoaomoa objects mara sijui galaxy aisee
Hata videos zipo darkweb tena za siri mno sema hapa huwezi weka na youtube hata upige magoti na usali mbele ya pc au simu huoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko pamoja mrembo wa kani.Sawa Zurri.
Unajua watu wangekuwa wanatafakari haya kuyajua si kazi ngumu.Darkweb kuna siri zote ambazo hapa wakikimbilia google wanakutana na masatellite,mara mars mara omoaomoa objects mara sijui galaxy aisee
Hata videos zipo darkweb tena za siri mno sema hapa huwezi weka na youtube hata upige magoti na usali mbele ya pc au simu huoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
br0,,,,Umewahi kuumw Degedege?Hata kwenye Games za mapigano ukirusha kombora kwenda juu linagonga juu linarudi chini.
They show you kwenye uso wako kabisa lakini watu wabishi.
Hata nyumba zetu wazee zamani zilikuwa zajengwa kama dome.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwisho sasa Jamaa anaumbuka anapost vielelezo ambavyo haviendani na maswali yetu!Hawa wanaosema sijui kioo wanaongelea hicho kioo wanatuletea ile habari ya movie series ya UNDER THE DOOM
Sent using Cash Money Wings
So you believe this proper/amazing arrangement of the universe is the result of big bang explosion???..Mkuu na hapa ndipo nilipojua hoja yako 😂😂
Good good man
I believe in existence of God but not this taka taka you wrote mr
Mani big bang happened.. Read here down what am writing i will relate it with presence of God not this pompous ideas of ya
Of course proton sio stable na huwa tuna estimate hakf life yake kuwa zaidi ya 10exp32 years kuna mpumbavu atauliza tunapimaje
Hizi proton it is believed zilikua separated mwanzoni kabisa mwa universe almost 10exp-5 s baada ya big bang kuna sababu kubwa sana ya hizi sekunde tutakesha
Sekunde 10exp-35 baadae universe ili consist of quarks, leptons bila kusahau bosons in a space more than a millimeter across, kwa sasa dunia ime expand zaidi ya 15000 million light years na ina consist mostly of quarks, down quarks, photons, electrons na neutrinos
Sasa ufundi wa Mungu ni hapa
Haijulikani ni nani aliorder hizi particlez zote hizi
Na hapo ndipo Mungu anaingia fundi mwenyewe
Ila hizi porojo hapana aisee.. Sorry sana mkuu
Nmeogopa nisiongee uongo wa bwana hawks kuhusu negative energies
Ila kwa leo niishie... You do great work to our Creator ila kuwa mkweli kidogo tafadhali