The World is a flat plane and not a globe

Unashangaa watu kwenda mwezini na wakaonyesha video na picha ila haushangai Mtu aliweza kuupasua mwezi vipande viwili na ukarudi katika hali yake!majini kufanya ibada na kutumika kutengeneza utajiri! Haushangai hadithi za bawa moja la nzi lina dawa hivyo akidumbukia kwenye maziwa kwa bawa moja umzamishe kabisa ndio unywe maziwa yako!
Hushangai hayo ambayo hayana ushahidi wowote! Kalaghabao.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
The pot calling the kettle black[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafikiri hawa watu wanaotengeza p9 camera watakuwa wanaufahamu ukweli huo unaoufahamu wewe kupitia camera yao?
Nani kaenda mwezini ,mwezi ni kama illuminary object ukiwa na p9 camera unauona kama kioo flani hivi au gololi ya transparent yenye rangi ya pale light grey...ngoja nikupe picha ya hawa jamaa wanavyotuactia

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatakaa akuelewe kwa sababu anaamini hadithi zilizotungwa huko uarabuni zaidi ya miaka 1000 iliyopita wakati dunia ikiwa bado katika lindi la ujinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poa.
 
Unashangaa watu kwenda mwezini na wakaonyesha video na picha

Sishangai watu kwenda mwezini sababu najua hakuna mwenye uwezo na wala hatokuwa na uwezo huo yoyote mpaka Kiyama kinasimama, ila nashangaa kwanini watu wanawadanganya watu.
ila haushangai Mtu aliweza kuupasua mwezi vipande viwili na ukarudi katika hali yake!

Nacheka sana, husemwa ukijua sababu ajabu huondoka. Tukio la kushuka kwa mwezi na kupasuka vipande viwili, ule ni muujiza na liliwezekana lile kwa uwezo wa Allah, baada ya wale walio kuwa wanampinga mtume,kumtaka awafanyie muujiza ili wapate kumuamini. Na mwezi ukashuka na ukapasuka na ukarudi katika hali yake ya kawaida.
Haushangai hadithi za bawa moja la nzi lina dawa hivyo akidumbukia kwenye maziwa kwa bawa moja umzamishe kabisa ndio unywe maziwa yako!

Sishangai sababu ile ni haki. Sio jambo la kinadharia na kubahatisha.
Hushangai hayo ambayo hayana ushahidi wowote! Kalaghabao.
Ushahidi wa jambo lililo pita unaupataje ? Au ushahidi kwako unatakiwa ukidhi vigezo gani ?

Wewe unaupataje ushahidi wa kuwa Isaac Newton alipata kuishi duniani au kina Aristoto, au Plato na wengine ?

Vipi au ulitaka na sisi tushuhudie nini hilo tukio? Sasa kufikiri kwa namna hii ni kufikiri kivivu na kiupofu bali ni kufikiri kitoto.

Sasa jifunze kujenga hoja kielimu sio kimhemko hemko.

Nipo ....
 
Wewe kukiona kitu kiko hivyo haimaanishi kuwa ndiyo kilivyo wala kitendo cha wewe kushindwa kuthibitisha kuwa kitu kiko hivyo haimaanishi kuwa hakiko hivyo.

Wewe kupata hisia ya jambo fulani haimaanishi kuwa jambo hilo lipo ama ni la kweli. Pia, wewe kutopata hisia ya jambo fulani haimaanishi kuwa jambo hilo halipo ama ni uongo.

Unasema wanasayansi ni waongo, pengine naweza kukubaliana na hilo kwa namna fulani lakini wewe hujaweza kuthibitisha hilo katika hiki tunachokijadili.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…