REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,391
- 1,960
- Thread starter
- #221
Our past was a lie,they used to live titans gigantics and very large animals species,our ancestors used their own minds and intelligent substances within to figure their immortality ,they survived alot and drew maps through view of their own footage
Sent using Jamii Forums mobile app
Ncha maana yake ni ukingo ambao baada yake hakuna kingine kwenye hicho kitu husika.
Na ncha sio kweli kwamba ni imaginary point. Kitendo cha wewe kusemani imaginary point kinaonyesha ukomo wa kujua ukomo wa dunia kiumbile ni wapi.
Unaweza kuthibitisha ukweli wa hiyo ramani hapo juu ? Walitumia vigezo gani kuchora ramani hiyo ?
Sent using Jamii Forums mobile app
