Ndg yangu sisi tule tulale tufe, basi.
Ukitaka kujua faida ya huo uongo ni sisi kuufundishwa na kuuamini. hivyo yani.
Hivi kwenye maisha yetu ya kila siku, umbo la dunia linafaida au hasara gani hata kama tusingelijua lilivyo?
Tunaishi katika vita ya Nature na Sayansi ili tuione Nature si lolote na Mwanasayansi ndio mgu wa muhimu, na kadri tunavyozidi kuusapoti uongo wake ndivyo tunavyomrahisishia safari ya sisi kuwa watumwa wake.
Tuendapo itafikia mwanasayansi akitaka tusile kuku hakuna wakumbishia maana wote atakua anawatengeneza yeye. Leo hii kila msimu wa kilimo mbegu zakununua basi za asili zikiisha kabisa akitaka tufe njaa nani atampinga na mbegu zake hazizaliani.?
Kwahiyo kupitia uongo wa wanasayansi ni faida kwao katika kututawala wewe na mimi, jaribu kutafakari vingapi vinaendesha maisha yetu ya kila siku ambavyo vinatoka viwandani, vp siku wasipovizalisha tuna kipi cha asili kinachoweza kureplace.
Tunadanganywa tuamini kila kitu kinaweza kufanywa na mwanadamu lakini sio mimi na wewe ili watakaoweza wawe ndio watawala.
Na ngoja siku ifike itakua mwanasayansi akitaka kuja bongo ila pachafu, anazima internet hadi mpige deki barabara na mitaa, hapo utapata picha tulikua tunafundishwa kutawaliwa au kuishi kwa furaha.
ukitulia nakutafakari vizuri, utazijua faida za wanaotufundisha hizi elimu ambazo wana imani na uhakika asilimia zote mtu wa kuzi prove hatotokea..
Nihitimishe hivi....
Mimi katika hili la shape ya dunia nipo upande wa wanaoamini ni flat kwa sababu Naiona hivyo, jua na mwezi likipita juu katika zafari zake. Nadhafia ya mviringo inapingana na hisia za mwili wangu mimi kama mimi kupitia milango ya fahamu niliyonayo.
Na katika mengi niliyofundishwa kuhusiana na umbo la dunia mviringo nimeshindwa ku prove tofauti na ya dunia flat.
Sent using
Jamii Forums mobile app