The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Sio yanagusana sema ukomo wa macho unaona vile
Mbona ni rahisi hata kwa macho, nenda sehemu isiyokuwa na majengo ukiangalia kwa mbali utaona mawingu kama yanagusana na ardhi ,huo ni mfano mmoja wapo

Sent using Jamii Forums mobile app
flat-earth-memes-32-17.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu tukijua dunia ni tambarare italeta athari gani?
Wanaotudanganya dunia ni tufe wanapata faida gani?
Hahaha mkuu kuna eneo kubwa nje ya dunia yetu thats why imewekwa sheria ya Antarctica treaty iliyo sainiwa na nchi kumi na mbili ikiwemo south africa kupinga mtu yeyote asiende bara hilo kwakuwa wanadamu watajua dunia sio tufe bali ni tambarare

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lengo la kutudanganya ni nini?
Mkuu neil armstrong moja hajawahai kwenda mwezini,pili sattelite ni uzushi wanatumia underground communication cables na long tower cameras pamoja na drones,mkuu dunia sio mpira nasiokuwa ni mzaha am serious jiulize why wanasayansi wanatumia straightgeometry na sio sphericalgeometry jiulize kwanini ukitumia p9 camera unaona meli iliyo umbali mrefu sana hata zaidi ya mile 70 kukiwa na low humidity hakuna curve mkuu sema nikupe lengo lao kwanini wamedanganya mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamshukuru Mungu yupi?
Asante mkuu ,watu wamekuwa watumwa,mimi nilisoma science mpaka chuo ila namshukuru Mungu ufahamu wangu ulipenda sana kuhoji because am SKEPTICAL ikanifungua mengi sana sasa hivi sina hata wasiwasi kama nilivyokuwa kwenye ulimwengu wa dunia inayozunguka jua zaidi ya speed ya mwanga.kumbe ni michezo ya nasa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadithi maarufu ya vipofu na Tembo.
Kipofu mmoja aliyegusa sehemu za tumbo la tembo yule alielezea furaha yake na kusema jamani, “tembo kweli mkubwa, ni kama kichuguu pale alipolala”. Kwake kipofu huyu tembo alikuwa mkubwa kweli kama kichuguu.
Kipofu wa pili aligusa miguu ya tembo, akaipapasa na kuinyanyua. Huyu naye maelezo yake juu ya tembo alisema, “He he he, kumbe tembo mwenyewe ni kama kinu cha kutwangia”. Kipofu wa tatu yeye alifikia kupapasa sikio na kwa mshangao mkubwa akasema, “Masikini, hivi tembo tunayemsikia kumbe ni kama ungo wa kupepetea tu!” Vipofu wale wote hakuna aliyemwona tembo, bali kila mmoja alifanikiwa kumtambua kwa kupapasa au kushika sehemu fulani ya tembo na sehemu ile kwake kipofu yule ikawa ni picha na tafsiri yake ya tembo!
Dunia ni duara, ila kulingana ukubwa wake na upeo wa macho yetu tuaona ni tambarare.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom