REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,391
- 1,960
- Thread starter
- #2,201
Macho yote ni sawa ndo maana wote tunaona jua linatembea angani ila kwa kuwa unajitoa ufahamu unasema sisi ndo tunalizunguka angali unaona tupo still huo ndo utumwa wa fikra tunaozungumzia.Una macho makubwa kiasi gani?
Shape ya dunia na ukubwa wake unaendana na ukubwa wa macho yako?
Macho yako yana utofauti gani na ya watu wengine?
Ushahidi wa macho yako uko sahihi kwa misingi gani tofauti na ushahidi wa macho ya wengine?
Sent using Jamii Forums mobile app