Waseme
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,611
- 4,118
Pole kwa kuuguza, Mwenyezi Mungu awape nguvu na uponyajiSi unajua mwenzio nauguzaa, mgonjwa mwenyewe wa kuogeshaa, kulishaaa, kuandaa chakulaa. Ukubwa jalala. Nikiweza mapema ya hapo nitawaletea muendelezo.