The Working Class, Savages in Suits

The Working Class, Savages in Suits

Huyo HOM naye, wanaume wengine sijui wakoje, bora wamemkomesha na kinanii chake. So immature and inhuman, mtu mwenye roho ndogo si ndo kazi angeacha kama sio na kujinyonga juu. Mungu atusaidie tusije dondokea mikononi mwa predators kama HOM.
Na nyie mpunguze u macho juu.....!
 
Aaah hata kama jamani, ndo ukamuanike mwenzio kwa watu mwee? Kumla tu na kumshit mbona ingetosha sana tu. Afu sometimes sio hata u macho juu, unakuta mtu ka-fall kweli kwa bad boy ndo yanamkuta ya Linda
tatizo wengi macho juu, hawajui ukiingia ofisini kama humo watu wanaweka hadi dau nani atakutafuna kwanza! ku fall my foot! first date unaenda kuliwa kwenye pool kavu kavu #ChupiMkononi
 
tatizo wengi macho juu, hawajui ukiingia ofisini kama humo watu wanaweka hadi dau nani atakutafuna kwanza! ku fall my foot! first date unaenda kuliwa kwenye pool kavu kavu #ChupiMkononi
Hahaha daaah tumekoma, basi tutakuwa macho chini sasa hivi jamani. Tumejifunza, ila kutuanika sio utu bana
 
Hahaha daaah, basi tutakuwa macho chini sasa hivi. Tumejifunza, ila kutuanika sio utu bana
Tatizo wengi mkitoka vyuoni mkiingia maofisi wanakuwa still 'chicken heads' sasa inakuwa hamna namna lazima mvurugwe akili iwakae sawa! Na mkiahidiwa permanent position baaasi unaona usipovua chupi hutapewa hio nafasi. Wacha mliwe tu akili ziwakae sawa maana hamna namna! Tena huyo HOM kakosea alitakiwa amuachie mwenzie kibingwa sasa yeye anavuruga kabisa!
 
Tatizo wengi mkitoka vyuoni mkiingia maofisi wanakuwa still 'chicken heads' sasa inakuwa hamna namna lazima mvurugwe akili iwakae sawa! Na mkiahidiwa permanent position baaasi unaona usipovua chupi hutapewa hio nafasi. Wacha mliwe tu akili ziwakae sawa maana hamna namna! Tena huyo HOM kakosea alitakiwa amuachie mwenzie kibingwa sasa yeye anavuruga kabisa!
Hahhaa RR basi jamani (japo dawa chungu ndo inayotibu), tumeshapata somo la j2. Akili zitatukaa vizuri na u macho juu/ tamaa tutaacha.
 
Si unajua mwenzio nauguzaa, mgonjwa mwenyewe wa kuogeshaa, kulishaaa, kuandaa chakulaa. Ukubwa jalala. Nikiweza mapema ya hapo nitawaletea muendelezo.


Pole kwa kuuguza, mwenyezi Mungu amuafu mgonjwa maradhi yanakusogeza karibu na Mungu,sababu utamtaja sana.Amen
 
Maaaweee kashaliwa mwenzetu....naanza kuamini kale kausemi kwamba hakuna mgumu wa moja kwa moja!
 
Tatizo wengi mkitoka vyuoni mkiingia maofisi wanakuwa still 'chicken heads' sasa inakuwa hamna namna lazima mvurugwe akili iwakae sawa! Na mkiahidiwa permanent position baaasi unaona usipovua chupi hutapewa hio nafasi. Wacha mliwe tu akili ziwakae sawa maana hamna namna! Tena huyo HOM kakosea alitakiwa amuachie mwenzie kibingwa sasa yeye anavuruga kabisa!
Mkubwa wajua na tamaa zinawazidi balaa! Sasa wakikutana na wahuni ndio inakuwa hivyo!!!
 
Back
Top Bottom