The US Presidential Elections-2012

Wameshikwa pabaya....

The backlash has been brutal. The Atlantic's Jeffrey Goldberg called Romney's statement a "slander." Time's Mark Halperin tweeted that it was the "most craven+ill-advised move of '12." Josh Marshall wrote that it was "reminiscent of John McCain's rash call four years ago to cancel the presidential debates and the campaign itself to deal with the unfolding economic crisis."
Romney's comments were, to be sure, unusually noxious and indecent. But this is also what happens when campaigns get desperate. Like a gambler who's already lost too much, they begin taking risks in the hope of making it all back. And then, more often than not, they pay the price.
http://www.washingtonpost.com/blogs/ezra-klein/wp/2012/09/12/the-romney-campaign-gets-desperate/
 
Hataki kusema atalifanyia nini taifa, subirini wakati wa debate mzee mzima atakapobaki uchi...
stoooop-picking-meeee-romney-whiner-plan-politics-1347470258.jpg
 
Matatizo ndani ya GOP yenyewe,tena kuhusu electoral!How much bad is it gonna get?
One of the Republican appointees to the Electoral College abruptly resigned from her post Thursday after publicly questioning whether she would support the party's presidential ticket when casting official votes after the November election.
Melinda Wadsley of Ames, Iowa, told The Associated Press that she could not in good conscience vote for party nominee Mitt Romney. Wadsley was among three electors who had told the AP for a story published Thursday that they were exploring alternatives should Romney win their states.

'‘I have always been a straight ticket Republican, and for the first time in my life I am an undecided voter, therefore, I need to resign my position as a Republican presidential elector,'' Wadsley said in an email exchange.
GOP elector resigns, says she can't support Romney - News - Boston.com
 
Mbona hicho ki Obama chenu na chenyewe hata hakijui kiseme nini...mara Egypt ni ally...mara sijui sio ally....

Na lini Obama kawakemea akina Keith Olberman, Ed Shuzi na ilk yao? Matusi wewe unayaona upande mmoja tu?

Mnachekesha kweli nyie.

(1) Nategemea uwe mstaarabu iwapo unataka kujadili jambo na kusikilizwa; ukishaanza kuongea "Ki Obama chenu" unakuwa unajishushia hadhi bure kwetru ambao huwa tunakusoma post zako positively.

(2) Pamoja na mapungufu ya statement hiyo hapo ya "Ki Obama chenu", bado unaonyesha pia kuwa hukuelewa tatizo la Romney kwenye skendo ya Rush ni nini. Hilo swali la Obama kutowakemea akina Keith na wenzake, lilitolewa kwa mara ya kwanza na mtu mmoja pale Foxnews kama defense ya Mitt. Lakini ni lazima ufahamu kuwa kulikuwa na tofauti kubwa sana kati ya Rush dhidi ya yule mwanafunzi na hao unaowataja dhidi ya akina Sarah na Michelle, ambao ndio victims wa Keith na wenzake, na wala hawajawahi kuwaita "malaya." Kusingekuwa na tofauti baina yao ni wazi Rush asingepoteza matangazo kwa wingi vile wala asingelazimika kuomba radhi.
 
(1) Nategemea uwe mstaarabu iwapo unataka kujadili jambo na kusikilizwa; ukishaanza kuongea "Ki Obama chenu" unakuwa unajishushia hadhi bure kwetru ambao huwa tunakusoma post zako positively.

Niwie radhi ndugu yangu. Najua wewe ni mstaarabu sana hivyo sina budi kuirudisha hiyo fadhila katika mjadala huu na mingineyo hapa jukwaani. Nilipitiwa na ninakiri kosa.

(2) Pamoja na mapungufu ya statement hiyo hapo ya "Ki Obama chenu", bado unaonyesha pia kuwa hukuelewa tatizo la Romney kwenye skendo ya Rush ni nini. Hilo swali la Obama kutowakemea akina Keith na wenzake, lilitolewa kwa mara ya kwanza na mtu mmoja pale Foxnews kama defense ya Mitt. Lakini ni lazima ufahamu kuwa kulikuwa na tofauti kubwa sana kati ya Rush dhidi ya yule mwanafunzi na hao unaowataja dhidi ya akina Sarah na Michelle, ambao ndio victims wa Keith na wenzake, na wala hawajawahi kuwaita "malaya." Kusingekuwa na tofauti baina yao ni wazi Rush asingepoteza matangazo kwa wingi vile wala asingelazimika kuomba radhi.

Jirani, unajua mimi napenda sana haki. Na ninajua wewe uko levelheaded, ila ninashangaa sana kukuona unadai kuwa watu wa huko MSNBC huwa hawatumii lugha chafu kuwa describe wanawake wenye conservative leanings. Ndiyo tuseme ushabiki umekupofusha ama?

Hebu sikiliza/ona hiki kipande kutoka YouTube cha Ed Schultz akimuita Laura Ingraham "slut" halafu baadaye kuja kulazimika kuomba radhi. Huyo ni Ed. Keith Olberman yeye ndo kabisa kashindikana. Alikuwaga ESPN akafukuzwa....akaenda MSNBC akawa anakula 'ban' (suspensions) hadi ikafikia wakashindwa kumvumilia wakamtimua. Akaenda Current TV ya Al Gore huko nako wamemfukuza.

Anyway, angalia/sikiliza hii halafu utoe maoni yako. In all fairness, hawa crazies wako pande zote na wote huwa wanasema mambo ya ajabu ajabu kweli. Ukikataa hili basi nitahitimisha kuwa kweli umepofushwa na ushabiki.

 
Last edited by a moderator:
Somebody took it "literarly"!Long live msnbc,long live Rachel Maddow!Long live Laurence Odennel of the LAST WORD!Long live mr ED!God willing!Obama and the middle class will be victorious!
 
....08 you said the same BS,na this time it will be worse for your boy flip flopper kuliko yule babu AKA war hero...wont even be close this time.

Wee ***** upo? Mbona umeadimika hivyo au maboksi yamekuzidi?
 
Niwie radhi ndugu yangu. Najua wewe ni mstaarabu sana hivyo sina budi kuirudisha hiyo fadhila katika mjadala huu na mingineyo hapa jukwaani. Nilipitiwa na ninakiri kosa.

Nashukuru sana kwa hatua hiyo ya kistaarabu; Nyani wewe ni ndugu yangu wa siku nyingi sana tokea kule Darajani

Nikirudia pointi niliyokuwa nasema ni kuwa kweli kuna matusi sana kwenye TV, ila kuna matusi na matusi; yale ya Rush kwa yule binti mtoto wa shule yalikuwa yamezidi mpaka kwa kila kiwango na ilikuwa ni muhimu kwa Mitt kuyakemea kama kiongozi wa kambi yake. Yule binti hakusimama jukwaani kusema aliyokuwa akishambuliwa nayo bali alikaribishwa na congress kama raia wa kawaida tu kutoa testmony yake. Iwapo binti huyo angekuwa ameorganize mkutano wake mwenyewe kama candidate wa kisiasa ni kweli angekuwa treated tofauti. Kwa kumtukana matusi ya nguoni, Rush alikuwa anatishia raia wengine wa kawaida wasitoe testimonies zao kwa congress hata kama hawana political agenda zozote, kwani hawajui Rush atawageukiaje.

Hilo lilikuwa kosa ambalo Romney hakutakiwa kusema fuzzily kuwa "I wouldn't have used that language", badala yake angesema moja kwa moja kuwa "Rush has crossed the line and he, immediately, should stop attacking this young woman."
 
Nashukuru sana kwa hatua hiyo ya kistaarabu; Nyani wewe ni ndugu yangu wa siku nyingi sana tokea kule Darajani

Nikirudia pointi niliyokuwa nasema ni kuwa kweli kuna matusi sana kwenye TV, ila kuna matusi na matusi; yale ya Rush kwa yule binti mtoto wa shule yalikuwa yamezidi mpaka kwa kila kiwango na ilikuwa ni muhimu kwa Mitt kuyakemea kama kiongozi wa kambi yake. Yule binti hakusimama jukwaani kusema aliyokuwa akishambuliwa nayo bali alikaribishwa na congress kama raia wa kawaida tu kutoa testmony yake. Iwapo binti huyo angekuwa ameorganize mkutano wake mwenyewe kama candidate wa kisiasa ni kweli angekuwa treated tofauti. Kwa kumtukana matusi ya nguoni, Rush alikuwa anatishia raia wengine wa kawaida wasitoe testimonies zao kwa congress hata kama hawana political agenda zozote, kwani hawajui Rush atawageukiaje.

Hilo lilikuwa kosa ambalo Romney hakutakiwa kusema fuzzily kuwa "I wouldn't have used that language", badala yake angesema moja kwa moja kuwa "Rush has crossed the line and he, immediately, should stop attacking this young woman."

Mzee, mbona umekwepa kabisa ku address matusi ya Ed Schultz?

Au hayo ya kumuita Laura Ingraham "slut" siyo matusi?
 
Kula tano Mkuu NN ^^^^^....kwa ustaarabu mkubwa uliuonyesha. Unajiongezea heshima nyingi sana pale unapogundua umekosea na kuomba radhi.

Niwie radhi ndugu yangu. Najua wewe ni mstaarabu sana hivyo sina budi kuirudisha hiyo fadhila katika mjadala huu na mingineyo hapa jukwaani. Nilipitiwa na ninakiri kosa.

[/video]
 
Mzee, mbona umekwepa kabisa ku address matusi ya Ed Schultz?

Au hayo ya kumuita Laura Ingraham "slut" siyo matusi?
Laura ni activist ambaye ana ajenda inayojulikana waziwazi kama ambavyo Ed Schultz mwenyewe, na Rush Limbaugh wanavyojulikana kuwa ni activists. Wao wana majukwaa ya kutolea maoni yao na kujibu maswali yote yanayoelekezwa kwao. Yule aliyetukanwa na Rush hakuwa activist na wala hakuwa na jukwaa lolote la kumjibu Rush. Yaani huoni tofauti hapo ndugu yangu?

Je una mtoto wa kike ambaye hajamliza shule? Utajisikiaje iwapo binti yako wa kiwango hicho akikaribishwa na Congress halafu mtangazaji mwenye wasikilizaji wengi kama Rush akasema kuwa binti yako huyo ni malaya bila kumpa hata nafasi ya kujitetea?
 
Laura ni activist ambaye ana ajenda inayojulikana waziwazi kama ambavyo Ed Schultz mwenyewe, na Rush Limbaugh wanavyojulikana kuwa ni activists. Wao wana majukwaa ya kutolea maoni yao na kujibu maswali yote yanayoelekezwa kwao. Yule aliyetukanwa na Rush hakuwa activist na wala hakuwa na jukwaa lolote la kumjibu Rush. Yaani huoni tofauti hapo ndugu yangu?

Kichuguu, hata Sandra Fluke naye ni activist. Ni women's rights activist. Hakunyakuliwa tu kutoka darasani ili aende kutoa testimony yake kwenye House Oversight and Government Reform Committee. Kwenye circles za wanaharakati anajulikana na ndiyo maana alikuwa hata fursa ya kuongea katika Democratic convention.

Sandra Kay Fluke (born April 17, 1981) is a Georgetown Law School graduate and women's rights activist

Ona hata alichosomea chuoni...

Fluke is a native of Saxton, Pennsylvania, and graduated from Pennsylvania's Tussey Mountain Junior/Senior High School in 1999.[SUP][7][/SUP] She graduated from Cornell University's Program in Feminist, Gender, & Sexuality Studies in 2003. Wikipedia

Je una mtoto wa kike ambaye hajamliza shule? Utajisikiaje iwapo binti yako wa kiwango hicho akikaribishwa na Congress halafu mtangazaji mwenye wasikilizaji wengi kama Rush akasema kuwa binti yako huyo ni malaya bila kumpa hata nafasi ya kujitetea?

Sandra Fluke siyo minor. Ni mtu mzima na ni mwanaharakati. Kwa hiyo kama hoja yako ni kwamba Laura ni fair game kwa sababu ni mwanaharakati mwenye ajenda basi kanuni hiyo hiyo itumike pia kwa Sandra Fluke kwa sababu naye ni mwanaharakati mwenye ajenda pia.
 
Lakini kubwa kuliko yote ni uchumi,na wakipimwa kwenye hilo,inaonekana kama vile Romney ana upper hand kwani polls zinaonyesha kuwa watu wana imani naye kwenye issue za kiuchumi kuliko Obama.
Ingekuwa "kubwa kuliko yote ni uchumi" basi Romney angekuwa anaongoza kwenye polls manake umesema yeye ndio anakubalika zaidi kwenye mambo ya uchumi. Central theme yako imepinda.
 
Back
Top Bottom