The US Presidential Elections-2012

The US Presidential Elections-2012

Kitakachosababisha Obama ashinde tena kwa kirahisi ni republican wenyewe. Ingawa wanamchukia Obama kwa kila kipimo, wengi wao watampigia Obama kwa kuwa hawampendi Romney, na hiyo itawapa nafasi ya kusubiri uchaguzi mwingine mwaka 2016 kwa vile wakishamchagua Romney watalazimika kuwa naye hadi mwaka 2020, jambo wanaloona kuwa ni mbali sana. Kuna watu wanaonyemelea nafasi hiyo mwaka 2016, mmoja wao akiwa ni Jeb Bush, mwingine na Sarah Palin (and yes, Sarah Palin), kwa hiyo wasingependa kufanya makosa kwa kumpa Romney halafu washindwe kuigombea tena mwaka 2016. Romney alianza kampeini mara tu baada ya kuchaguliwa kwa Obama, na potntiala candidates wa republican walikuwa wanajua jinsi Romney alivyokuwa amejizatiti kuwabomoa wapinzani wake kwenye primaries, ndiyo maana hawakutaka kujiingiza kwenye uchafu wa primary hizo: walioingia wanajua kilichowapata.
 
Kitakachosababisha Obama ashinde tena kwa kirahisi ni republican wenyewe. Ingawa wanamchukia Obama kwa kila kipimo, wengi wao watampigia Obama kwa kuwa hawampendi Romney, na hiyo itawapa nafasi ya kusubiri uchaguzi mwingine mwaka 2016 kwa vile wakishamchagua Romney watalazimika kuwa naye hadi mwaka 2020, jambo wanaloona kuwa ni mbali sana. Kuna watu wanaonyemelea nafasi hiyo mwaka 2016, mmoja wao akiwa ni Jeb Bush, mwingine na Sarah Palin (and yes, Sarah Palin), kwa hiyo wasingependa kufanya makosa kwa kumpa Romney halafu washindwe kuigombea tena mwaka 2016. Romney alianza kampeini mara tu baada ya kuchaguliwa kwa Obama, na potntiala candidates wa republican walikuwa wanajua jinsi Romney alivyokuwa amejizatiti kuwabomoa wapinzani wake kwenye primaries, ndiyo maana hawakutaka kujiingiza kwenye uchafu wa primary hizo: walioingia wanajua kilichowapata.
Romney hana chake,Obama anongoza kwenye polls in all 8 swing states.Its the "Omentun",Romney wali mhumanize lakini wapi.Obama is going all the way.Tusubiri Romney atakuja na gia gani maana kaishiwa hoja.Akibanwa kwenye specifics of what he's actualy going to do,hana jibu,na saa nyingine ana dodge swali kijinga kabisa.Jamaa yuko kama robot,no wonder eti wanataka kumhumanize.What ajoke!
 
Jmushi1, kwanini unaamini kuwa Obama atamshinda Romney?
 
je ubaguzi upo. kwani wazungu hawatabiriki.OBAMA ANAWEZA KUANGUKA
 
Jmushi1, kwanini unaamini kuwa Obama atamshinda Romney?

Kwasababu Romney hawezi kusema ni kivipi ata deal with deficit bila kuwaumiza middle class.Hajaweza kusema kwamba atafanya nini kukabiliana na matatizo yaliyopo.Kinachojulikana,yeye bado anataka tax cuts kwa matajiri wakubwa ambao hata hawazihitaji.Middle class ndiyo watakomwingiza Obama madrakani kwa mara nyingine tena.Pia wanatambuwa kuwa republicans walikuwa wamepania kumkwamisha toka mwanzo na hivyo kutokuwepo kwa bipartisanship,kumepelekea mambo mengi kukwama.Walisema wazi kabisa toka mwanzo kuwa lengo lao ni kuhakikisha Obama ana fail.
 
je ubaguzi upo. kwani wazungu hawatabiriki.OBAMA ANAWEZA KUANGUKA
Demographics za marekani zimebadilika na zinaendelea kubadilika.Nadhani miaka 30 ijayo,wanasema wazungu hawatakuwa majority tena marekani.Pia kimahesabu,Obama anahitaji kura za wazungu kwa asilimia 40 peke yake,hao atawapata kutoka kwenye base yake ya chama cha democrats na some independents..Wabaguzi wapo lakini hawatoshi kumyima kuongoza kwa miaka mingine minne.
 
Demographics za marekani zimebadilika na zinaendelea kubadilika.Nadhani miaka 30 ijayo,wanasema wazungu hawatakuwa majority tena marekani.Pia kimahesabu,Obama anahitaji kura za wazungu kwa asilimia 40 peke yake,hao atawapata kutoka kwenye base yake ya chama cha democrats na some independents..Wabaguzi wapo lakini hawatoshi kumyima kuongoza kwa miaka mingine minne.
Nilikuwa naongea na Republican ninayefahamiana naye leo, inaonekana wamekwishakata tamaa wameanza kumulika 2016.
Sababu alizonipa ni kwamba Romney hakuwa mgombea anayekubalika ndani ya chama chake. Ndiyo maana mpaka leo anajaribu kuwashawishi Tea Partiers kuwa ni mwenzao, na mkakati huo umewaudhi wale Republicans wenye siasa za kati. Walitaka Governor Bush agombee, lakini kwa sababu ya rekodi aliyoacha kaka yake, asingekubalika. Kwa hiyo wamemtosa Romney licha ya kwamba matajiri wenzake wametoa fedha nyingi kumuunga mkono, anasema hana sera ambazo zinaweza kushawishi wapiga kura kwamba atakuwa bora kuliko Obama. Convention haikumsaidia, na wengi wanaamini kuwa hata debates za Oktoba zitasaidia kumwinua Obama zaidi ya Romney.
 
...Wameshaanza kuweweseka, Michigan and Pennsylvania wameshabwaga manyanga...'Bama akichukua Ohio na Florida basi mchezo umekwisha.

Nilikuwa naongea na Republican ninayefahamiana naye leo, inaonekana wamekwishakata tamaa wameanza kumulika 2016.
Sababu alizonipa ni kwamba Romney hakuwa mgombea anayekubalika ndani ya chama chake. Ndiyo maana mpaka leo anajaribu kuwashawishi Tea Partiers kuwa ni mwenzao, na mkakati huo umewaudhi wale Republicans wenye siasa za kati. Walitaka Governor Bush agombee, lakini kwa sababu ya rekodi aliyoacha kaka yake, asingekubalika. Kwa hiyo wamemtosa Romney licha ya kwamba matajiri wenzake wametoa fedha nyingi kumuunga mkono, anasema hana sera ambazo zinaweza kushawishi wapiga kura kwamba atakuwa bora kuliko Obama. Convention haikumsaidia, na wengi wanaamini kuwa hata debates za Oktoba zitasaidia kumwinua Obama zaidi ya Romney.
 
Haya ndio wanayoongea ma-pundists wa Republican.

People may not be pleased with Pres. Obama, but they aren't going to blindly fire him without knowing more about the alternative.

Romney is in a box and can't offer the types of solutions that would appeal to the country as a whole. If he moderates, the base hates him. If he sticks to the ultra-conservative principles, he loses independents and increases Democratic turn out. Democrats may not be as enthusiastic about Obama this time around, but they certainly are scared less over the prospect of a Romney Presidency and a GOP controlled Congress.

The country isn't nearly as conservative as the far right thinks. If Romney runs further to the right, he will almost certainly lose. And the further right he runs, the most collateral damage he does. If he supports positions or makes statements that turn off more and more independents, then Senate seats that look to be GOP pick ups stay Democratic and the GOP possibly loses a couple of seats ( Indiana, Nevada). It also could push the Democrats to pick up 25 House seats and regain control of that.

The right seems to be stuck in this notion that if they just get a true conservative, he'll be able to magically show the country how bad liberalism/progressivism is and everyone will become conservatives. It's a fantasy.

Let's hope Romney listens to the conservative talking heads as the outcome will be good for Democrats.
 
It's funny how overconfident some people are when not even a single vote has been cast yet.

Or maybe I've been living under a rock and the election is already done and over with....maybe.
 
It's funny how overconfident some people are when not even a single vote has been cast yet.

Or maybe I've been living under a rock and the election is already done and over with....maybe.
Mkuu kama unadhani there's nothing to worry about,fwatilia wanachosema kina Ingram,Oreily na Limbaugh,o! btw and miss Palin as well.Wote wanadai there's something wrong,eti wanaamini Romney alitakiwa awe mbele ya Obama kwenye kura za maoni at least by 5 points.Siyo kwamba tuna overconfidence,ndo reality.Tusubiri debate ya kwanza october 3 ndo utaona atakavyozidi kuachwa mbali.

Kina Limbaugh wanamshauri aende personal,wanadai he must be ideological,yule Ruppert Murdoch naye anamshauri aende center,yani vurugu tupu tu.

Romney alishinda uchaguzi wa Republican kwa kutumia pesa kuwazima wenzake hadi akabakia the only person standing.He's doing the same,anatumia pesa left right kupinga mambo kama early voting na mambo ya "voter id's",yani anamwaga mipesa kwenye malawsuit ya aina hiyo.This guy won't be a president.Let's wait and see.
 
Fox News cuts from Romney speech.

Five days after Sen. John Kerry savaged Mitt Romney for failing to mention U.S. troops in Afghanistan during his speech at the Republican convention, the Republican presidential nominee took the stage in front of the National Guard and sought redemption. The highly anticipated speech was Romney's chance to settle the score, prove that he was very concerned about our armed servicemen, and go on the attack on matters related to foreign policy.

Unfortunately for him, the cable networks didn't give his remarks full coverage. Even Fox News, the one network that looked ready to cover Romney's remarks in full, cut out early.
 
mambo ya election za US ni more green circled sana,it is such a highest political players ground,last time Bush aliamua kuchakachua matokeo ya jimbo la flrida ili tu amalize kipindi chake,this time arround thogh inaonekana obama bado hayuko mbali na mitt,ikiwa kitatokea chocote kitakachobadilisha mambo na kutishia ushind wa obama lolote linaweza likatokea
 
It's funny how overconfident some people are when not even a single vote has been cast yet. Or maybe I've been living under a rock and the election is already done and over with....maybe.
Wow, what happened Nyani Ngabu, you were dripping confidence sometime back as to who would win! Nevertheless Romney's iota of a chance completely disappeared the day he picked Sarah Palin, oops! I meant Paul Ryan as a running mate.
 
Last edited by a moderator:
Wow, what happened Nyani Ngabu, you were dripping confidence sometime back as to who would win! Nevertheless Romney's iota of a chance completely disappeared the day he picked Sarah Palin, oops! I meant Paul Ryan as a running mate.

I'm confident but not overconfident.
 
Kukurupuka bila kujuwa facts ni tabia ya Mitt,Obama ameelezea vyema kabisa,amesema Romney ni mtu anaye "shoot first and aim later"

Sasa kauli yake ya kijinga imebackfire,jamaa hana hekima wala busara hata chembe.NY yuko behind by double digits.
 
mambo ya election za US ni more green circled sana,it is such a highest political players ground,last time Bush aliamua kuchakachua matokeo ya jimbo la flrida ili tu amalize kipindi chake,this time arround thogh inaonekana obama bado hayuko mbali na mitt,ikiwa kitatokea chocote kitakachobadilisha mambo na kutishia ushind wa obama lolote linaweza likatokea

Bush alichakachua matokeo ya Florida ili tu amalize kipindi chake? Wow...
 
Back
Top Bottom