The US Presidential Elections-2012

Yes there's racial issues. But he won in 2008 decisively. So if the tribes of white people in America didn't like him, they would't voted for him in 2008.

Additionally, Obama is biracial and people who elevated his profile to prominence are white. So I don't know why the work of few and very vocal racists should invalidate the good work of other white who have helped Obama throughout his life.

2008 is very different from the present. Obama had his chance then and he has been unable to deliver to the satisfaction of the American people. Still he can get away with it because even though things are not looking rosy, he is not the one who caused the problem in the first place. White males, the wealthy, young whites from rich families and most mormons are voting romney. A huge proportion of coloured folks, the elderly and majority of american women and middle class young people are voting for obama. If obama will sail through it will be because of women vote or something that will come up between now and election time in romney's camp. If I were Obama I would do it the african way. I would announce that it is now fact that Romney has investments in Iran and that it is proven he has cheated on paying taxes. By the time he complains elections are over. It is called chakachuaring.
 
Kwa kuwa marekani watu wote ni immigrants, kila kabila linataka liweze kufaulisha targets zake za kiuchumi na kuboresha masilahi ya jamii na kupata faida ya wingi wa watu wake. Kujiunga kwenye hivi vikundi inakuwa na faida kwa races zenye nguvu kama wayahudi na hispanics. Mormons pia wanatabia ya kujitenga kama race na nadhani 99% watampigia romney.Marekani ishu ya race ipo sana kuliko nchi zingine tukiacha nchi za kiarabu.

Kwa hiyo democrats wakiwa-court weusi, hispanics, gays, n.k., hiyo siyo ubaguzi lakini Republicans wakiwa-court weupe ni ubaguzi?

Mambo ya kunya anye bata akinya kuku kaharisha. Tabu tupu.
 
Yeyote atakayeshinda, Wamarekani ni wale wale tu. Huyu anatetea ushoga na mwingine ni mfuasi wa marmos. Wote baba yao ni mmoja naye ni shetani na nia yao wote ni moja, kuhakikisha Afrika hatuendelei hata ikibidi kwa mtutu wa bunduki, mizinga na makombora ya kila namna.
 
Watu wa Obama wananifurahisha sana,anyways,ile movement ya 99% imeanza tena,na maandamano yanaelekea Charlotte NC kwenye democrats convention.Kama hawa 99% ni pro Obama,basi repubs hawana lao.
 
Kwa hiyo democrats wakiwa-court weusi, hispanics, gays, n.k., hiyo siyo ubaguzi lakini Republicans wakiwa-court weupe ni ubaguzi?

Mambo ya kunya anye bata akinya kuku kaharisha. Tabu tupu.

Hakuna shida kuwa court wananchi ambao wamekuwa sidelined for most part in the nations history.Repubs wanawatreat as if hawa exist,so there's a difference,huge one matter of fact.Its about rights everywhere,even at work places and so forth.
 
2008 is very different from the present. Obama had his chance then and he has been unable to deliver to the satisfaction of the American people. Still he can get away with it because even though things are not looking rosy, he is not the one who caused the problem in the first place. White males, the wealthy, young whites from rich families and most mormons are voting romney. A huge proportion of coloured folks, the elderly and majority of american women and middle class young people are voting for obama. If obama will sail through it will be because of women vote or something that will come up between now and election time in romney's camp. If I were Obama I would do it the african way. I would announce that it is now fact that Romney has investments in Iran and that it is proven he has cheated on paying taxes. By the time he complains elections are over. It is called chakachuaring.


Chash,

Refer the highlighted text in your post. The same pattern existed in 2008. As a matter of fact, John McCain is the only candidate in modern history to receive the largest proportion of white voters but still managed to lose the election.

Republicans are fewer in number than democratics. However, there's one thing that set republicans apart. They are committed to their issues and vote consistently.

Democracts, on other hand, are inconsistent. Take for example black voters. In 2008, they were excited about having the first black president, but they don't have the same level of excitement this year and that might cost Obama dearly.
Concerning what he should do, I am not sure doing the African way, as you propose, would help him. In America you don’t need to serve 8 years to become a great president. As a matter of, majority of presidents who served two terms were more effective in their first term than in their second term.

The second term has been primary used to preserve the legacies or rewrite the history. I am not sure in this economic situation the country needs a president whose main objective is to protect whate he has done in the first term at any coasts.
 
Yeyote atakayeshinda, Wamarekani ni wale wale tu. Huyu anatetea ushoga na mwingine ni mfuasi wa marmos. Wote baba yao ni mmoja naye ni shetani na nia yao wote ni moja, kuhakikisha Afrika hatuendelei hata ikibidi kwa mtutu wa bunduki, mizinga na makombora ya kila namna.

And who's your father?
 
Nilikuwa nasoma kuhusu uchaguzi wa Raisi Marekani, kitu ambacho kimenishanganza na nilikuwa sikifahamu ni kwamba uko complicated kidogo, nimesoma kwamba katika Uchaguzi kumbe raia wa Marekani siku ya Uchaguzi hawachagui Raisi moja kwa moja kama ilivyo kwetu, bali wanachagua watu wanaowaita electors halafu hawa electors kutoka katika kila Jimbo (states) ndio wanakwenda kuchagua Raisi aidha kutoka chama cha Dem au Republican kwa hiyo kama nimeelewa vizuri ina maana inabidi tu wewe mpiga umwamini huyu elector kwamba atamchagua Raisi au Chama unachokipenda, kama kuna mtu ana uzoefu na Uchaguzi wa Marekani ningependa kama angeweza kunielezea kidogo kama hivyo ndivyo ulivyo au nimesoma vibaya!
 
Nilikuwa nasoma kuhusu uchaguzi wa Raisi Marekani, kitu ambacho kimenishanganza na nilikuwa sikifahamu ni kwamba uko complicated kidogo, nimesoma kwamba katika Uchaguzi kumbe raia wa Marekani siku ya Uchaguzi hawachagui Raisi moja kwa moja kama ilivyo kwetu, bali wanachagua watu wanaowaita electors halafu hawa electors kutoka katika kila Jimbo (states) ndio wanakwenda kuchagua Raisi aidha kutoka chama cha Dem au Republican kwa hiyo kama nimeelewa vizuri ina maana inabidi tu wewe mpiga umwamini huyu elector kwamba atamchagua Raisi au Chama unachokipenda, kama kuna mtu ana uzoefu na Uchaguzi wa Marekani ningependa kama angeweza kunielezea kidogo kama hivyo ndivyo ulivyo au nimesoma vibaya!
Mkuu,inItwa "electoral college",kila jimbo lina namba zake,ni kweli kinachofutwa siyo popular vote,na ndiyo maana Al Gore alishinda popular vote lakini bado Bush ndo akachukuwa urais..Nitarudi kukuelezea zaidi coz kuna pahala ninakwenda.
 
Mkuu,inItwa "electoral college",kila jimbo lina namba zake,ni kweli kinachofutwa siyo popular vote,na ndiyo maana Al Gore alishinda popular vote lakini bado Bush ndo akachukuwa urais..Nitarudi kukuelezea zaidi coz kuna pahala ninakwenda.
Poa karibu... maana hicho kitu kinanichanganya kidogo!
 
Kijakazi,hii issue ni very complex,na kuilezea ni shida sana,ila nitajaribu,na kama utakuwa na maswali ya ziada,basi nitajaribu pia kuendelea kuyajibu kadri ya uwezo pamoja na ufahamu wangu kuhusiana na issue hii.

Kimsingi,hao electors huchaguliwa na chama pamoja na wagombea wao.Ila chama kinateuwa mtu ambaye kinauhakika kwamba hawawezi kwenda kupiga kura tofauti na matakwa ya chama na mgombea wao.

Wanavyopatikana hao electors,ni kwamba kama chama kina member wa house of representative,basi kinapata elector mmoja,na kama chama kina senator,basi kinapata kibali cha kuwa na electors wawili.Kwasasa kiukweli,maybe ndo maana mahesabu ya The Boss yanaonyesha Obama ana electors wengi,ni kutokana na ukweli kwamba republicans wana representatives wengi kwenye house,however democrats,wao wana senetors wengi ambapo mmoja tu anacount kama electors wawili.

Kwa kifupi,kila state inawakilishwa na electors kulingana na namba ya congressional delegations.Kuna jumla ya electors 538,lili msindi apatikane,ni lazima ashinde electors 270 ama zaidi.

Inavyotakiwa,mgombea anayeshinda kura za wananchi(popular votes),ndiye anayetakiwa apigiwe kura na hao electors,lakini hawalazimishiwi kufanya hivyo_Only in some states ndo huwa wanalazimishwa kufanya hivyo.

Pia kama ikitokea kwamba kuna elector aliyepiga kura tofauti na matakwa ya chama chake,"faithfulness"basi kuna states zinaruhusu chama kiwafungulie mashtaka na kutangaza kwamba kura hiyo imeharibika ama ni batili.Yani ikatokea kuwa elector akampigia kura mgombea wa chama pinzani.

Sheria hizi pia ni tofauti kwenye states za Maine pamoja na ile ya Nebraska.Utofauti wake ni kwenye upatikanaji wa hao electors.

Kabla sijaenda mbali zaidi,nataka nisubiri kuona kama umepata mwanga kidogo na kama una maswali zaidi.Ninavyofahamu,kuna pro electoral college na ambao wako against.

Wanaosapoti ndo wale wanaosema kwamba states zenye minorities zinaweza zisipate uwakilishi mzuri,yani kama kura za majority ndo zitaamuwa moja kwa moja,basi kuna hatari ya minorities kuwa sidelined kwenye maamuzi ya taifa.Pia walitaka states ndogondogo nazo ziwe na sauti kwenye uchaguzi wa rais.Kwahiyo hata kama state ina population kubwa,bado inaweza isiwe na electors wengi kuliko state yenye population ndogo,yote ni kudumisha muungano wao na kuondoa possibility ya tyranny,kama yale ya ujerumani na Hitler etc.Wanadai kuwa hiyo ni process amabyo pia dhumuni lake ni ku compromise kati ya uchaguzi wa rais kutoka kwa wananchi vs kutoka kwenye congress.

Na wanaopinga pia wanasababu zao,kubwa moja ndo hiyo kwamba sauti ya wengi ipo hatarini kutokusikilizwa.

Sababu zao zipo nyingi tu,lakini kama nilivyosema hapo awali,nataka niishie hapa ili uabsorb hizo details hapo juu kwanza,na kabla hatujaendelea mbele,kuona kama kuna pahala hukuelewa ama kama sikujieleza vyema.
 
Last edited by a moderator:
Kijakazi,hii issue ni very complex,na kuilezea ni shida sana,ila nitajaribu,na kama utakuwa na maswali ya ziada,basi nitajaribu pia kuendelea kuyajibu kadri ya uwezo pamoja na ufahamu wangu kuhusiana na issue hii.

Kimsingi,hao electors huchaguliwa na chama pamoja na wagombea wao.Ila chama kinateuwa mtu ambaye kinauhakika kwamba hawawezi kwenda kupiga kura tofauti na matakwa ya chama na mgombea wao.

Wanavyopatikana hao electors,ni kwamba kama chama kina member wa house of representative,basi kinapata elector mmoja,na kama chama kina senator,basi kinapata kibali cha kuwa na electors wawili.Kwasasa kiukweli,maybe ndo maana mahesabu ya The Boss yanaonyesha Obama ana electors wengi,ni kutokana na ukweli kwamba republicans wana representatives wengi kwenye house,however democrats,wao wana senetors wengi ambapo mmoja tu anacount kama electors wawili.

Kwa kifupi,kila state inawakilishwa na electors kulingana na namba ya congressional delegations.Kuna jumla ya electors 538,lili msindi apatikane,ni lazima ashinde electors 270 ama zaidi.

Inavyotakiwa,mgombea anayeshinda kura za wananchi(popular votes),ndiye anayetakiwa apigiwe kura na hao electors,lakini hawalazimishiwi kufanya hivyo_Only in some states ndo huwa wanalazimishwa kufanya hivyo.

Pia kama ikitokea kwamba kuna elector aliyepiga kura tofauti na matakwa ya chama chake,"faithfulness"basi kuna states zinaruhusu chama kiwafungulie mashtaka na kutangaza kwamba kura hiyo imeharibika ama ni batili.Yani ikatokea kuwa elector akampigia kura mgombea wa chama pinzani.

Sheria hizi pia ni tofauti kwenye states za Maine pamoja na ile ya Nebraska.Utofauti wake ni kwenye upatikanaji wa hao electors.

Kabla sijaenda mbali zaidi,nataka nisubiri kuona kama umepata mwanga kidogo na kama una maswali zaidi.Ninavyofahamu,kuna pro electoral college na ambao wako against.

Wanaosapoti ndo wale wanaosema kwamba states zenye minorities zinaweza zisipate uwakilishi mzuri,yani kama kura za majority ndo zitaamuwa moja kwa moja,basi kuna hatari ya minorities kuwa sidelined kwenye maamuzi ya taifa.Pia walitaka states ndogondogo nazo ziwe na sauti kwenye uchaguzi wa rais.Kwahiyo hata kama state ina population kubwa,bado inaweza isiwe na electors wengi kuliko state yenye population ndogo,yote ni kudumisha muungano wao na kuondoa possibility ya tyranny,kama yale ya ujerumani na Hitler etc.Wanadai kuwa hiyo ni process amabyo pia dhumuni lake ni ku compromise kati ya uchaguzi wa rais kutoka kwa wananchi vs kutoka kwenye congress.

Na wanaopinga pia wanasababu zao,kubwa moja ndo hiyo kwamba sauti ya wengi ipo hatarini kutokusikilizwa.

Sababu zao zipo nyingi tu,lakini kama nilivyosema hapo awali,nataka niishie hapa ili uabsorb hizo details hapo juu kwanza,na kabla hatujaendelea mbele,kuona kama kuna pahala hukuelewa ama kama sikujieleza vyema.

Wow! nimekupata ngoja nisome taratibu halafu nitarejea, ni kwamba tu sikuwahi kufikiri kwamba uchaguzi wa Marekani uko complicated kiasi hicho atleast kwa jinsi nionavyo mimi, mimi nilifikiri ni kama kwetu tu vile unakwenda kupiga kura kuchagua mwakilishi wa Chama pamoja na Mbunge wako moja kwa moja, anyway hii imenifungua macho na kuanza kuangalia na kujifunza pia mifumo ya chaguzi za nchi mbalimbali Duniani, na kuona jinsi Demokrasia inavyoweza kutafsiriwa tofauti tofauti na kila jamii kulingana na mazingira ya jamii husika!
Poa basi ngoja niendelee kujifunza thanks anyway!
 
Wow! nimekupata ngoja nisome taratibu halafu nitarejea, ni kwamba tu sikuwahi kufikiri kwamba uchaguzi wa Marekani uko complicated kiasi hicho atleast kwa jinsi nionavyo mimi, mimi nilifikiri ni kama kwetu tu vile unakwenda kupiga kura kuchagua mwakilishi wa Chama pamoja na Mbunge wako moja kwa moja, anyway hii imenifungua macho na kuanza kuangalia na kujifunza pia mifumo ya chaguzi za nchi mbalimbali Duniani, na kuona jinsi Demokrasia inavyoweza kutafsiriwa tofauti tofauti na kila jamii kulingana na mazingira ya jamii husika!
Poa basi ngoja niendelee kujifunza thanks anyway!
Unakaribishwa...
 
Back
Top Bottom