The US Presidential Elections-2012

The US Presidential Elections-2012

leo alikuwa down sana..maana kila alichosema leo jaluo alikuwa makini kumkumbusha maneno yake aliyosema siku za nyuma amabayo hayaendani na anachosema leo...hicho ndicho kimemfanya awe down sana..kuumbuliwa na kusutwa noma!!

kusutwa tena? Sikujua Obozo ni mwimbaji wa rusha roho. Na Romney did just fine for he didnt have to do much compared to Obozo who was an umitigated disaster in the first go round
 
Kwa my observation, Romney alikuwa very defensive sana wakati mtu wa kuwa defensive alipaswa kuwa Obama. Labda kwa kuwa alijua Obama leo anakuja na nguvu mpya ya kutaka kusawazisha mambo ya wiki mbili zilizopita wakati yeye Romney alitaka kudefend performance yake
 
kusutwa tena? Sikujua Obozo ni mwimbaji wa rusha roho. Na Romney did just fine for he didnt have to do much compared to Obozo who was an umitigated disaster in the first go round

safari hii rep mmechagu mgombae mwongo sana....lile swali aliloulizwa juu ya tofauti yake na bush umeona alivyojibu??? obama alipokuja kujibu amempa tofauti ngapi?...kwa kifupi jamaa kapotezwa leo
 
Romney stood his ground, he didn't gaffe, and therefore came out unscathed.
 
hoooooo hooooo hoooo........Romney leo kawa mwekundu.....duhhh!
 
Duh! Nimeangalia huo mdahalo ila nimeambulia machache sana, sekondari kata chuo kata vimeniathiri
 
Leo Romney kakamatwa ugoni na Obama. Inaonekana mjaluo kaoga na maji ya magadi.
 
safari hii rep mmechagu mgombae mwongo sana....lile swali aliloulizwa juu ya tofauti yake na bush umeona alivyojibu??? obama alipokuja kujibu amempa tofauti ngapi?...kwa kifupi jamaa kapotezwa leo

nyie mko desperate sana sasa hivi ndo maana mnang'ang'ania vi sliver of hopes popote pale mvionapo. Obozo hajashinda hii debate
 
Mweh! Watu kila mkimwona Obozo mna orgasm tu hata kama perfomance yake ni ya kawaida
 
kama wewe ni political analyst na huna upande utakubali kuwa mdahalo wa leo ulikuwa wa kushambuliana binafsi na sio kushindanisha sera!mfano walipozungumzia swala la nishati sijaona clear difference baina yao zaidi ya huyu kutoa takwimu na huyu kusema sio kweli, sawa na lilivo swala la ajira, siasa ya nje hasa swala la Libya wameishia kutupiana maneno! Obama ameonekana kuchangamka zaidi ya mdahalo wa kwanza na kumshambulia Romney wakati mwingine bila ruhusa ya moderator! I give them 50% each!
 
Back
Top Bottom