The US Presidential Elections-2012

The US Presidential Elections-2012

More than an hour for this face off but Romney is rude and telling lies. President is sending him to school.
 
well tutaona maana waja humu hupata orgasm kutokana na vi opinion polls ambavyo havi count kwenye siku ya siku

poa tutaona mwana....hivi juu ya zile big three states nani anaongoza kwa wale ambao tayari wamepiga kura
 
slide_257300_1649239_splash.jpg



slide_257300_1649237_splash.jpg




slide_257300_1649241_splash.jpg



slide_257300_1649242_splash.jpg

 
swali..what plans do you have to bring back and keep jobs in the US?

gavnaanaanza kujibu kuwa ataleta jobs US kumbuka huy vitega uchumi vyake vingi viko nje ya nchi.....halafu haelezi kwa vipi ataleta jobs
 
jaluo anaingia kujibu swali hilo kwa kueleza anamna atakavyo close loop holes na jinsi atakavyo create jobs
 
poa tutaona mwana....hivi juu ya zile big three states nani anaongoza kwa wale ambao tayari wamepiga kura

kiukweli mimi sijui maana sijasikia wala kuona kama matokeo ya early yameshatangazwa na nijuavyo kila kitu hujumlishwa na kutangazwa siku ya uchaguzi. Au wewe mwenzangu unajua?
 
Romney anasema wachina wezi kwa technology zao.eti watarudishaje manufacturing maana wachina wanawatoa kamasi.
 
swali la mwisho: what do you believe is the biggest mispercetion america has about you?

romney anaanza kjibu kwa kusema yeye anajali 100% ya waamerika..tayari kasahu ile 47 % aliyosema juzi kti
 
obma anamchna romney live juu ya 47 pasent kaanza kwanza kwa kumpet kuwa he is a good man
 
lakini kuna kauli aliitoa alipokuwa huko..

in politics perception often weighs heavily than reality. The optics of him hobnobbing with his donors on such a day is definitely not a good look
 
Hatimaye Obama, kafanya kile kilichotegemewa na wafuasi wengi wa Democratic alipojibu na kurihizisha fitna uongo na hila za mpinzani wake Romney kwamba hazina ukweli
 
thats just a figment of your imagination!

leo alikuwa down sana..maana kila alichosema leo jaluo alikuwa makini kumkumbusha maneno yake aliyosema siku za nyuma amabayo hayaendani na anachosema leo...hicho ndicho kimemfanya awe down sana..kuumbuliwa na kusutwa noma!!
 
Leo kajitahidi sana....he did great.... Romney mpaka ameanza ku-brush.....
 
Back
Top Bottom