OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,344
Hatimaye Obama, kafanya kile kilichotegemewa na wafuasi wengi wa Democratic alipojibu na kurihizisha fitna uongo na hila za mpinzani wake Romney kwamba hazina ukweli
sidhani kama umeangalia mdahalo na kama umeuelewa! mdahalo wa leo hakuna clear winner wala clear loser maana sana sana tumeshuhudia malumbano na interruption huku Obama akionekana kukosa uvumilivu kwa kuinuka mara kwa mara bila idhini ya moderator! anyway kuna mdahalo wa mwisho kuhusu Foreign policies tunataka kujua candidates wote wawili wana mtizamo gani kuhusu Africa kiuchumi kisiasa na demokrasia, pia swala la Iran, korea kasakazini, Syria,china na urusi!