The Tricky Question: Mara ngapi na mkeo?

The Tricky Question: Mara ngapi na mkeo?

Tatizo la kujisikia mara nyingi mnatofautiana. Unapotaka yeye hajisikii na hivyo hivyo kwako.

Ratiba inapunguza manunguniko yasiyo ya lazima.
Mi naona ratiba italeta resentment hivi,bora mfatishe miili inatakaje,km unataka mwenzio hataki unamsaidia apande and viceversa
Japo inakuwepo miiko mf mke ukiwa kwny siku zako hakuna kitachoendelea hadi umalize
 
Mara tu abdallah kichwa wazi akiwa active na mama yeyoo yupo,basi tendo barikiwa litafuata
 
Ratiba haipangiki mkuu. Kwenye baridi tunajifunika shuka moja, kwenye joto bila kyupi. Sasa ratiba inawezekana kweli?
 
Kikubwa kuwe na chemistry kati yenu...muda wowote hiyo chemistry iki take place inatakiwa mpige show..
 
Shuleni ratiba; kula chakula ratiba; na kugegedana ratiba Hii siwezi kabisa vinginevyo nitatafuta kidumu au kibubu pembeni!!!
 
Swali la kizushi kwa waliooa na kuolewa tu:-

Mwanaume akisema nataka mwanamke anaweza kusema leo sijisikii vizuri, kwa hiyo game inaahirishwa au inalazimishwa hivyo hivyo mtu amenuna.

Je ni mazingira gani mwanamke akisema nataka mwanaume anaweza kusema sijisikii vizuri? Au hii inaapply upande mmoja tu!
Hii hutokea kwa mwanaume wakati amestukiwa ametoka kwa mchepuko. Hakawii kusema leo sijisikii vizuri.

hahahahahahahhah
 
mimi mchaga wangu ananitaka niweke appointment kwanza na wakati mwingine inabidi nitengeneze mazingira ya kutoa hongo! ndio mechi ya kirafiki ifanyike kinyume na hapo mechi itahairishwa au mechi ya kibabe ifanyike.
 
Back
Top Bottom