The Tricky Question: Mara ngapi na mkeo?

The Tricky Question: Mara ngapi na mkeo?

Yaaani baada ya kuoa au kuweka mwanamke ndani hilo tendo kila muda nnapojiskia wife lazima atoe,hata akiwa anapika mi nikiamsha tu hisia zangu hapo hapo lete mchezo.Haya sio mambo ya kum bembeleza tena ni anytime is teatime twende kazi,Kwa ufupi ni kila siku na kila muda awe tayari haiwezekani nilale nae usiku wote nna hisia za mapenzi jogoo amesimama niumie tu ye yupo pembeni anakoroma?Haamna ni mkwaju tu daily.
Hongera zako kama yuko hivyo. Wengi ni kinyume chake
 
Siyo suala la mara ngapi suala ni hamu kwa mkeo/mumeo na muda kama unaruhusu. Kama hata mnafanya kazo karibu na nyumbani na hakuna bughudha unaweza kumpigia simu mwenzio na kumwambia mwende "mkashitue"! Kwanini mpange muda wskati kila mmoja ana uhuru na mwili wa mwenzie ndiyo chanzo cha kuenda kuiba nje kama muda haujafika!!!
Haswaa...
 
Umeona eeh,mnaeza jifanya watu wa ratiba then vikiwapanda mnafanyaje? Mtaangaliana msubiri siku ya ratiba!

Afu ujue tumevamia Uzi ulikua unawalenga wanaume
Teh! Teh! Teh! Ni wetu sote kwani Mume na mke wakiungana si damu moja
 
Staki kukumbuka nilivyo kua namkunja bafuni, jikoni, kwakochi, kwenye gari na paleeeee chini ya ule mti wakati tunatoka matembezini.
Ebu ngoja nisitoe siri mie....
 
Tendo la ndoa halitakiwi kuwekewa ratiba, kumbuka linahusisha hisia. Mkijisikia ni vizuri kupeana maana "mume hana amri juu ya mwili wake, vivyo hivyo mke hana amri juu ya mwili wake", msinyimane...lakini muwe na kiasi!!!!
 
Khaaa hivi ninyi mnaosema anytime mkishikwa na hamu mnapangaje uzazi?
 
Khaaa hivi ninyi mnaosema anytime mkishikwa na hamu mnapangaje uzazi?
Mmmh, Khantwe sio kila mkinjunjana lazima kijibu...lol. Zipo njia nyingi, ila wengine tunatumia "withdrawal" na hatujawahi kukosea. Condom kwa wanandoa naona sio option, anyway kwangu sio option kabisa.
 
Mmmh, Khantwe sio kila mkinjunjana lazima kijibu...lol. Zipo njia nyingi, ila wengine tunatumia "withdrawal" na hatujawahi kukosea. Condom kwa wanandoa naona sio option, anyway kwangu sio option kabisa.
hiyo unaweza kweli? Manake nasikiaga mnasema eti ngumu sana. Wewe kama unaweza basi hongera
 
Siri ni kujua ukimshika wapi mwenzako atanyegeka,
Ukishajua hilo, jua mazingira nayo yanachanganyia meaning usifanyie kitandan na kwa staili moja daily! Fanyie sebulen,room ya Watoto, dining, jikon toilet(kama unayo nzuri) anyhow anytime is applicable!
Ukiweka ratiba tendo linaboa zaidi
 
Back
Top Bottom