The Tricky Question: Mara ngapi na mkeo?

The Tricky Question: Mara ngapi na mkeo?

hivi vitu vinategemea
1. ntu na ntu
2. lishe
3. saikolojia
4. Umri
etc
 
Siyo suala la mara ngapi suala ni hamu kwa mkeo/mumeo na muda kama unaruhusu. Kama hata mnafanya kazo karibu na nyumbani na hakuna bughudha unaweza kumpigia simu mwenzio na kumwambia mwende "mkashitue"! Kwanini mpange muda wskati kila mmoja ana uhuru na mwili wa mwenzie ndiyo chanzo cha kuenda kuiba nje kama muda haujafika!!!
Ushirikiano huo hupungua sana baada ya mama kuona kazi ya kuzaa kamaliza
 
Back
Top Bottom