The Tricky Question: Mara ngapi na mkeo?

The Tricky Question: Mara ngapi na mkeo?

Siyo suala la mara ngapi suala ni hamu kwa mkeo/mumeo na muda kama unaruhusu. Kama hata mnafanya kazo karibu na nyumbani na hakuna bughudha unaweza kumpigia simu mwenzio na kumwambia mwende "mkashitue"! Kwanini mpange muda wskati kila mmoja ana uhuru na mwili wa mwenzie ndiyo chanzo cha kuenda kuiba nje kama muda haujafika!!!
Hapo kwenye '' twende tukastue '' pameniacha na furaha sana mkuu.
 
Zikipanda tu hapo hapo hakuna formular
Hiyo haina formula hata kidogo. Kuna wakati inakuwa mfulilizo na wakati mwingine mnapumzika.

Wazungu yamewashinda ya kuweka ratiba. Ni kama watoto wadogo, wapate chakula wakijisikia!
 
Kujamiana ni tendo lililobarikiwa ndani ya ndoa lakini upo utata mkubwa wa mjamiaane mara ngapi kwa wiki au mwezi.

Wako wanaoona hakuna formula ila mjisikiiapo lakini pia Tupo tuonapo siyo suala la kujisikia tu bali ni kujinyima pia

Mara nyingi hupunguza ubora na thamani ya tendo lenyewe na mara chache mno huwaweka mbali kihisia wanandoa.

Je uonavyo yafaa iwe mara ngapi na kwa nini?

Karibu
Mi naona hili tendo lazima liwe na kiasi, furaha ya tendo hili ni kuwa na ratiba maalum, mkikubaliana ninyi wawili
 
Hakuna ratiba aisee mkijifanya mnapanga ratiba ikaangukia siku zako zile inakuaje
 
Faida ya ratiba ni kumpunguzia kazi ya mwanaume kumuandaa mkewe, maana mwanamke apaswa kujiandaa mwenyewe.

Vinginevyo Dizi la kuvundika halifikii utamu wa dizi la kuivia mgombani kisha ulifume hukohuko shambani!!!!
 
Nadhani mara3 kwa wiki ili kuleta ile kumisiana kuongeza utamu lol

Ila sio kwamba ndio sheria,ninapojiskia anytime au mwenzangu anapojiskia muda wowote hatuna budi kufanyana.
Hapo ulipoweka neno "kufanyana"nimeshtuka nawaza papuchi tu.....!
 
mimi mchaga wangu ananitaka niweke appointment kwanza na wakati mwingine inabidi nitengeneze mazingira ya kutoa hongo! ndio mechi ya kirafiki ifanyike kinyume na hapo mechi itahairishwa au mechi ya kibabe ifanyike.
 
Swali la kizushi kwa waliooa na kuolewa tu:-

Mwanaume akisema nataka mwanamke anaweza kusema leo sijisikii vizuri, kwa hiyo game inaahirishwa au inalazimishwa hivyo hivyo mtu amenuna.

Je ni mazingira gani mwanamke akisema nataka mwanaume anaweza kusema sijisikii vizuri? Au hii inaapply upande mmoja tu!
 
Hakuna timetable. Inakuja bila kutarajia.
 
Back
Top Bottom