The Tricky Question: Mara ngapi na mkeo?

The Tricky Question: Mara ngapi na mkeo?

Nadhan hili swala liingizwe kwenye katiba mpya....formula yake ni ngumu sana yet very simple....yaan inatemea na utashi wa wahusika....am just thinking! Mie huwa narushia almost 4 times per week...si mchana si usiku...nimeo tanga mie...nikienda kitandan kujilaza tu...naletewa...mwaka wa saba huu sijawah kuskia neno leo sijiskii vizur! Siku za mwezin kwakweli huwa nakuwa mnyonge sana....!
 
Haka kamchezo kuweka ratiba ni mateso bila chuki, acha tu mambo yajipe kwakweli hasa morning glory kuipa ratiba huwa ni ngumu aisee
 
Dah .., kwa mwanaume kama michongo yako ya siku imeenda kama ulivyopanga, umekula vizuri sasa hapo hakuna kingine zaidi ua kupiga game
 
.,,, na kisayansi inakuwa poa zaidi ikifanyika kwenye nyuzi joto 20 hadi 23 za sentigred
 
Mi mpaka nichepuke ndo nakuwa na mzuka na wife vinginevo ata wiki itapita sijamdinya
 
Siyo suala la mara ngapi suala ni hamu kwa mkeo/mumeo na muda kama unaruhusu. Kama hata mnafanya kazo karibu na nyumbani na hakuna bughudha unaweza kumpigia simu mwenzio na kumwambia mwende "mkashitue"! Kwanini mpange muda wskati kila mmoja ana uhuru na mwili wa mwenzie ndiyo chanzo cha kuenda kuiba nje kama muda haujafika!!!
Afya na stamina ya mwadamu ndiyo viangalizo
 
As long as wote hisia zinaruhusu fanyeni,msi overdo hadi mkakosa hamu nalo


Kukutana kwa wakati mmoja mara chache hivyo mawasiliano ya kujitoa kafara kumridhisha mwenzio ni ishara kubwa ya uoendo.

For love is not receiving but giving when you feel of not
 
Hamna haja ya kuwa na ratiba, ila ni bora na muhimu sana kuhakikisha mnaifanya walau mara moja kwa wiki. Kwa wana ndoa ambao bado wachanga, inafaa kila siku walau mara moja kwa miaka miwili ya kwanza. Mnapiga breki pale mke anakua kwenye siku zake.

Lakini kadiri miaka inavyokwenda ndivyo mnapunguza hadi mnaishia kwenye moja au mbili tu kwa wiki, hiyo ni wakati mpo kwenye zaidi ya miaka kumi ndani ya ndoa.

Cha msingi, mwanaume usije kumnyima mkeo wakati anajiskia, akitaja tu hapo usisubiri chochote, muonyeshe upo tayari. Jaribu kula vitu vinavyokupa nguvu, haswa mbegu za mlonge na maboga, pia tikiti maji, binafsi vimenisaidia sana miaka mingi kwa mke wangu.
 
Kujamiana ni tendo lililobarikiwa ndani ya ndoa lakini upo utata mkubwa wa mjamiaane mara ngapi kwa wiki au mwezi.

Wako wanaoona hakuna formula ila mjisikiiapo lakini pia Tupo tuonapo siyo suala la kujisikia tu bali ni kujinyima pia

Mara nyingi hupunguza ubora na thamani ya tendo lenyewe na mara chache mno huwaweka mbali kihisia wanandoa.

Je uonavyo yafaa iwe mara ngapi na kwa nini?

Karibu
haitakiwi kuwe na formular,siku yoyote,saa yoyote na mahali popote ili mrdi kuwe na faragha....!
 
Back
Top Bottom