Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Zitto, nakupongeza kwa hatua hiyo ila kuna haja ya kujitokeza hadharani lakini isiwe leo ama kesho kwani najua waandishi wa mtandao watataka kulitumia hilo kama njia ya kuwafanya watu wasahau BUZWAGI.
mapambano naamini kuwa bado yatakuwa yanaendelea kwani nchi imeshauzwa hii tena bei poa.
mapambano naamini kuwa bado yatakuwa yanaendelea kwani nchi imeshauzwa hii tena bei poa.