Mtanzania, hili ndilo tunajaribu kufanya katika opposition, kuwa wakweli na kusimamia maneno na kauli zetu pamoja na kutembea katika maneno yetu. Itakuwa mbaya sana kama tutafanya kama ambavyo wamekuwa wakifanya, lazima tuwe tofauti na ndio njia pekee ya kupata credibility.
Kuna watu walitaka kumlisha Zitto maneno, lakini naona ameshaweka mambo sawa, tena timely. Hiyo ndiyo tunaita responsible politics, kitu ambacho ni adimu sana kukipata kwa wenzetu wa CCM!
JF members, we are a good watch dog, and Im sure the opposition takes our comments and observations seriously. we/you are playing a very important role in taking our struggles for true democracy to the next level.
Kitila,
Nakubaliana na wewe kwamba ukweli ndio itakuwa silaha ya kuishinda CCM.
Washaurini viongozi wenu kwamba wahakikishe habari muhimu kama
hii ya Zitto lazima wawe na mahali maalumu pa kuitolea na sio kuruhusu wapambe waanze ku spin.
Nilikuwa nakusubiri mkuu uandike lakini nilipoona kimya nikajua hapa mkuu kashutuka kuna jambo sio sawa.
Tumeelewana na tuendelee mbele kwa faida ya nchi na kijiwe chetu JF.