M
MegaPyne
Guest
Hebu wanaJF tujaribu kuliweka hili sawa dalili zote za muda wa CCM- Ku-expire zinaonekana hata kwa mtu wa kijijini ambaye alipewa kofia , kitenge, pilau na maneno mazuri ya kumtia imani kwamba ukali wa maisha utapungua kwa KAULI MBIYU ya Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania, akalala nje kuchunga kura yake isipotee kapingwa na jua, vumbi kali sasa ndiyo wanaona makali yake ,makali ya kipindi cha kampani yalikuwa na nafuu kuliko sasa.
wachache waliaidiwa wao wamepata sisi tuliyo wengi walala hoi je?
wachache waliaidiwa wao wamepata sisi tuliyo wengi walala hoi je?