John Mnyika
JF-Expert Member
- Jun 16, 2006
- 713
- 1,249
Mnyika nimekupata, inatia moyo kwamba angalau mmeongea and I was wrong in my earlier analysis.I understand you may not want to go into bunge's technicalities for tactical reasons, but without even knowing the details I can tell the technicalities are unhealthy if they can be abused to silence genuine opposition.The question is, what is the opposition doing to adress this?
Bab kubwa, kuwa balozi wa mabadiliko vijijini huko na tupe ripoti ya maendeleo ya mwamko katika ngazi ya vijijini.
Rev. Kishoka
Kuhusu BOT, mkondo wa bunge ulijaribiwa na Dr Slaa alishaandika Hoja Binafsi lakini dalili zilionyesha wazi kabisa kwamba walitaka kuifanyia mizegwe isiingie, umesoma ripoti ya usalama wa taifa ikimshauri Waziri Mkuu Lowasa ahakikishe Kashfa ya BOT kama alivyoiandika Dr Slaa haiingii bungeni? Katika mazingira hayo, unaweza kumlaumu vipi Dr Slaa kuichomoa hoja yake na kuiwasilisha kwenye mahakama ya wananchi ama bunge la umma? Dr Slaa ni mbunge, kama angeiwasilisha ile hoja mule, kuna baadhi ya mambo angebanwa na kanuni za bunge(naomba niseseme kwa nini ingawa najua kwaninini). Kwa hiyo, alifanya uamuzi wa busara kabisa. JJ
Mnyika,
This is why I stated that on critical issues and smear campaigns,Opposiion should use other instruments (sisi, JF, Magazeti and spinmasters) to air the dirty laundry and let the people make descicion.
Naelewa sana ugumu wa tecnicalities ndio maana narudia kusema kuwa it is not about ownership of story or popularity, but how to capitalize on story.
Mfano, kama hiyo ripoti ya Waziri Mkuu na usalama ambayo Slaa alitaka kuileta hadhdarani lakini kwa ajili ya technicality hakuweza, kwa nini hakuleta kwa wavuja habari halafu akapata nguvu kushinikiza Bunge lifuatilie tuhuma?
This is why I said, "I am pissed off"! Opposition needs to have operatives who will stir the ship to break down the "technicalities" in place. haya ndiyo tunayoyaona huku kwingine tunakoishi iwe UK, USA, China au Venezuela. It is how to play the game to your advantage avoiding technicalities.
Ndio maana katika scandals za politics za Marekani, unasikia habari imechapwa gazetini, kwenye blogu na hata kumbi kama hizi, kisha mshike mshike huanza. Wabunge kuwasilisha petition, hoja ya kutaka uchunguzi na Bunge au serikali linakuwa halina njiya bali kuruhusu Uchnguzi ufanyike na ripoti kutoka hadharani.
CCM are great to contain that and to some extent to manipulate the public, mfano wa ile barua ya kijinga kuhusu Mbowe au Slaa!
Lakini you may have a different take kwa kuwa mandhari uliyoko ni tofauti na yangu, hivyo inawezekana kabisa maoni yangu kuhusiana na jinsi ya kupigana vita dhidi ya ufisadi ikawa ni upupu kwako huku mimi nikiona ndio njia bora ya kupigana!
Tuendelee..
Kishoka,
Tulia kwanza! Mtu anayekusoma hapa ataona jinsi ulivyokasirika kweli kweli, na atakubaliana nawe kwamba unayozungumza mengi ni muhimu...
Kuiangusha CCM inawezekana kabisa kwa sababu ya makosa yao chungu nzima katika maamuzi mbali mbali waliyoyafanya katika miaka ya karibuni.
Kwa maoni yangu cha muhimu kufanya kwanza kabisa ni kuunga chama kimoja chenye nguvu kitakachojumuisha CHADEMA, CUF, na vyama vingine vyote. Chama hiki kitumie muda uliopo mpaka hapo 2010 kujitangaza na kufungua matawi katika kila kona ya Tanzania na kuweka mikakati ya uchaguzi huo.
Kama viongozi wa vyama vya upinzani wakiamua kuuweka ubinafsi wao pembeni unaosababishwa na wasiwasi wao wakukosa madaraka katika chama kipya na kuangalia the big picture for the benefit of all Tanzanians, basi sioni kwanini CCM isianguke hapo 2010.
Katika Kampeni hizo za 2010 unatumia makosa mbali mbali ambayo yamefanywa na viongozi wa awamu ya tatu na ya nne. Na makosa hayo ni mengi tu. Wananchi wakiona kama upinzani una nia ya kweli ya kufanya maamuzi kwa manufaa ya Tanzania basi hata wizi wa kura unaofanywa na CCM hautafua dafu hapo 2010.
[Kama viongozi wa vyama vya upinzani wakiamua kuuweka ubinafsi wao pembeni unaosababishwa na wasiwasi wao wakukosa madaraka katika chama kipya na kuangalia the big picture for the benefit of all Tanzanians, basi sioni kwanini CCM isianguke hapo 2010.
Kuiangusha CCM inawezekana kabisa kwa sababu ya makosa yao chungu nzima katika maamuzi mbali mbali waliyoyafanya katika miaka ya karibuni.
Kwa maoni yangu cha muhimu kufanya kwanza kabisa ni kuunda chama kimoja chenye nguvu kitakachojumuisha CHADEMA, CUF, TPL na vyama na vyama vingine vyote vyenye kupenda maendeleo ya kweli ya nchi yetu. Chama hiki kitumie muda uliopo mpaka hapo 2010 kujitangaza na kufungua matawi katika kila kona ya Tanzania na kuweka mikakati ya uchaguzi huo.
Kama viongozi wa vyama vya upinzani wakiamua kuuweka ubinafsi wao pembeni unaosababishwa na wasiwasi wao wakukosa madaraka katika chama kipya na kuangalia the big picture for the benefit of all Tanzanians, basi sioni kwanini CCM isianguke hapo 2010.
Katika Kampeni hizo za 2010 unatumia makosa mbali mbali ambayo yamefanywa na viongozi wa awamu ya tatu na ya nne. Na makosa hayo ni mengi tu. Wananchi wakiona kama upinzani una nia ya kweli ya kufanya maamuzi kwa manufaa ya Tanzania basi hata wizi wa kura unaofanywa na CCM hautafua dafu hapo 2010.
kuiangusha CCM ili kiwe nini? na hawa wapinzani washinde halafu kiwe nini? Kushinda uchaguzi peke yake siyo tatizo kubwa sana nadhani tatizo liko kwenye nini kinafuata baada ya ushindi.