The reason to why I didn't marry you!

The reason to why I didn't marry you!

Na sisi wenye mikasa km hii tunaunga hapa hapa au tunaanzisha nyuzi mpya?

Nway pole sana bro...hio ni process ya Maisha unapitia...watu wanakulaumu kurudi kwa yule kigalula, wanazani kua ndodocha ni kazi rahisi, unajua kabisa umerogwa ila bado unaenda( dawa inakua bado ipo ktk ubora wake)...hapo mpaka dawa iishe makali au ujiwahi chachi ukafunguliwe..
 
Hicho ndicho kimenigharimu na hata kufikia hatua hii, nikikumbuka matarajio yangu kwenye mahusiano 2 ya mwanzo na nilichokutana nacho vilichangia sana kunipoteza...

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
Pole ..mkuuu Uzinzi haujawai kumuacha mja salama....aziniye Ni mjinga Sana kwani madhara Yake....yapo kwenye mwili wake...mwenyewe...kwenye maamuzi ambayo atafanya au kufanyiwa na huyo mwenzio...mwisho wa Uzinifu Ni Majuto tu....
Kweli hakuna alokataza Muumba likawa na manufaaaa...
 
Na sisi wenye mikasa km hii tunaunga hapa hapa au tunaanzisha nyuzi mpya?

Nway pole sana bro...hio ni process ya Maisha unapitia...watu wanakulaumu kurudi kwa yule kigalula, wanazani kua ndodocha ni kazi rahisi, unajua kabisa umerogwa ila bado unaenda( dawa inakua bado ipo ktk ubora wake)...hapo mpaka dawa iishe makali au ujiwahi chachi ukafunguliwe..
Sanaa, ile kitu sijui hata ilikuwaje...

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Pole ..mkuuu Uzinzi haujawai kumuacha mja salama....aziniye Ni mjinga Sana kwani madhara Yake....yapo kwenye mwili wake...mwenyewe...kwenye maamuzi ambayo atafanya au kufanyiwa na huyo mwenzio...mwisho wa Uzinifu Ni Majuto tu....
Kweli hakuna alokataza Muumba likawa na manufaaaa...
Ni kweli kabisa, haya ni matokeo ya dhambi...lakini vipi wewe mkuu haujawahi kutenda dhambi? Kama umewahi, vipi ulihukumiwa on the spot?


Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Binafsi nilitaka kuanzisha mahusiano na member mmoja wa humu. Lakini kabla hata sijafika mbali kutokana na majibu yake nilipokuwa kila nikimuuliza nikahisi kama namuudhi nikaishia hapo. Kuna muda kutokana na mikasa uliyopitia kwenye maisha unaweza kujikuta unakaa chini na kutoka machozi na kujutia sana. Siwashangai wale wote ambao walikuwa na mipango ya kutaka kufunga ndoa lakini mwishowe wakaishia kisitisha mipango yao. Maisha yana mambo mengi sana. Lakini pia siwashangai wanaoishia Kula tunda kimasihara 🚬🚬🚬

Life is full of many things
Surprises
Shocks
Stress
Happiness
Feeling Blessed
Feeling at the end of your wits
Hopeless
At the Top of the World
Challenges
Accomplishments
Failures
Mistakes
Setbacks
Heartbreaks
Opportunities & Missing them
Regrets
Pride
Misery
Hate
Anger
Love
Embarrassments
Downfall
Relationship
These are just few of things 👍🏾
 
Sanaa, ile kitu sijui hata ilikuwaje...

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
Ilikuaje vp bro na ulikua ushawekwa mtu kati...hahahahaha

kifupi haya yote yachukulie km a learning experience...siku ukiingia kwenye ndoa unakua umeiva maana by that time utakua ushawafahamu wanawake vzuri, how to treat them right, how to control your emotions( emotional intelligence), jinsi ya kua mvumilivu na zaidi utakua mzuri ktk ku solve conflicts za kimahusiano...
Unadhani kwann managerial positions hua wanataka experienced people?ww ndoa yako itaanzia ktk position hio sio immature tena.
 
Ila mkuu Ni Kama nmepata kigagaziko yaan mpk unakua ndo hao tu Kisha unajiona umeumizwa. Kuna watu tukianza tu kuandika idadi Bila story inafika urefu wa story yako. Sio kwa kujisifu Bali changamoto tu mpk wengine unawasevu kiduku wa Sinza, JF1,JF2, Muuza viatu, mdada wa kigoma, nesi wa moroco, mdada wa kidoti na kadhalika. Tatzo kila mahusiano ulikua unaweka ndoa mengine tizi tu.
mkuu naomba ulete hizo incidence
 
Na sisi wenye mikasa km hii tunaunga hapa hapa au tunaanzisha nyuzi mpya?

Nway pole sana bro...hio ni process ya Maisha unapitia...watu wanakulaumu kurudi kwa yule kigalula, wanazani kua ndodocha ni kazi rahisi, unajua kabisa umerogwa ila bado unaenda( dawa inakua bado ipo ktk ubora wake)...hapo mpaka dawa iishe makali au ujiwahi chachi ukafunguliwe..
Wewe leta mkasa wako
 
Ilikuaje vp bro na ulikua ushawekwa mtu kati...hahahahaha

kifupi haya yote yachukulie km a learning experience...siku ukiingia kwenye ndoa unakua umeiva maana by that time utakua ushawafahamu wanawake vzuri, how to treat them right, how to control your emotions( emotional intelligence), jinsi ya kua mvumilivu na zaidi utakua mzuri ktk ku solve conflicts za kimahusiano...
Unadhani kwann managerial positions hua wanataka experienced people?ww ndoa yako itaanzia ktk position hio sio immature tena.
Aisee natamani sana nikae kwenye taasisi ya ndoa nikiwa baba fulani hivi, mwenye stories na familia yangu,very strict ila sasa yooote naona yamefifia...

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Binafsi nilitaka kuanzisha mahusiano na member mmoja wa humu. Lakini kabla hata sijafika mbali kutokana na majibu yake nilipokuwa kila nikimuuliza nikahisi kama namuudhi nikaishia hapo. Kuna muda kutokana na mikasa uliyopitia kwenye maisha unaweza kujikuta unakaa chini na kutoka machozi na kujutia sana. Siwashangai wale wote ambao walikuwa na mipango ya kutaka kufunga ndoa lakini mwishowe wakaishia kisitisha mipango yao. Maisha yana mambo mengi sana. Lakini pia siwashangai wanaoishia Kula tunda kimasihara

Life is full of many things
Surprises
Shocks
Stress
Happiness
Feeling Blessed
Feeling at the end of your wits
Hopeless
At the Top of the World
Challenges
Accomplishments
Failures
Mistakes
Setbacks
Heartbreaks
Opportunities & Missing them
Regrets
Pride
Misery
Hate
Anger
Love
Embarrassments
Downfall
Relationship
These are just few of things
Alikuwa anajibu nn mkuu ,tupe hata kidogo
 
Hakuna kitu kinaniuma roho kama kuachwa nnapoachwa Mimi na hii Ni mara ya tatu.Mtu anakuacha kabisa yani anakwambia "hujanikosea kitu,wewe ni mwanaume mzuri Ila haikupangwa tu kuwa Mimi na wewe,I have to go" kamaliza hapo.tatizo sio kuachwa,hivi wanawake mnashindwa hata kutengeneza mazingira mtu akosee umuache?.Ndio maana huwa tunaamua tupite tu tuwaache.
 
Ni kweli kabisa, haya ni matokeo ya dhambi...lakini vipi wewe mkuu haujawahi kutenda dhambi? Kama umewahi, vipi ulihukumiwa on the spot?


Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
Mkuuu...Kama dhambi zangu zikihesabiwa sawa hivi ...ikashuka kiama...kuingia peponi Ni rehema za Mungu tu..... Kwakweli Mungu tunaambiwa Ni msamehevu anisamehe TU kwani....asiponisamehe ntakuwa miongoni waliopata HASARA KUUBWA SANA..
 
Back
Top Bottom