The reason to why I didn't marry you!

ThaGreatman

JF-Expert Member
Sep 11, 2018
708
1,465
Kwa uzi huu nitaandika meeengi sana,kwa wote ambao tuliwahi ku-date but hatukufikia malengo ya kujenga familia, Kati ya watu nilio- date nao, wawili wapo humu (mmoja tulifika mbali sana na mwingine hatukuwa na mahusiano ya kiviiile) ila wote naamini watasoma uzi huu, kama kuna mahali nitakuwa nimemsingizia mtu ruksa kunikosoa...

1. Bertha...
Huyu alikuwa msichana wangu wa kwanza kabisa, tukiwa kidato cha tano, (alikuwa Iringa girls na mimi nilikuwa MINAKI) tulipendana sanaaa, I felt to be loved and I submitted all of my emotional strength

Nakumbuka wakati wa likizo tulikutana hostel za UDSM zilizopo ubungo nyuma ya NBC BANK, (bro aliniacha hapo nikiwa tution yeye akiwa masomoni nje ya nchi), kwa mara ya kwanza tulichezeana sana,lakini hatukufanya mapenzi kwa mimi kuwa na hofu sana ya UKIMWI, nayeye pia alikuwa mwenye hofu sana tukaishia hivyo, she was a very good girl,baada ya shule kufungua maisha yaliendelea, tulipofanya mitihani ya kidato cha sita mahusiano yalipungua na hatimaye yakapungua hatimaye kupotezana....

2. Grace...
Alisoma Ruvu girls, tulianza mahusiano baada ya kumaliza kidato cha sita, (tuli-date kwa muda mfupi lakinitulifanya Mambo mengi sana,kwa mara ya kwanza nikajua mpaka kulala lodge..

Baada ya muda kidogo nikagundua Grace anakunywa pombe ile mbaya, moyo wangu uliumia mno, nikahisi na-date na mti asiyefaa kabisa kuwa mke wangu tukaachana, (tulipokutana Udsm tukawa marafiki wa kawaida as if hatukuwahi kuwa na mahusiano) kwa sasa sijui yuko wapi hata...

3. MARIAM
Huyu nilikuwa na uhakika wa asilimia 80 kuwa nitamuoa, tulianza mahusiano mwishoni mwa semista ya kwanza, tukashibana sana,mwaka wa pili tukaamua kukaa Chumba kimoja (anapika anafua boom tunaweka pamoja na kufanya mipango mingi ya maisha yetu baada ya shule) eeeeh bwana wee, kumbe alikuwa na mahusiano mengine na jamaa alikuwa anasoma Duce...(nilijuaje? ni story ndefu ila nitaifupisha kwa kadri niwezavyo)

Ilikuwa siku ya Alhamis, (tukiwa mwaka wa pili) nilikuwa na ratiba ya practical nayeye alikuwa anajua, so aliniaga kwamba angeenda kumtembelea rafiki yake anaitwa Mariana, sikuwa na shaka hata kidogo,bahati mbaya kwake siku hiyo practical ikaahirishwa, nikawahi kutoka, ile nafika utawala (packing ya UDSM) naona Mariam anaingia kwenye gari ya mawasiliano, nikaamua kumfuatilia bila yeye kujua, alipofika mawasiliano alimfuata mshkaji mmoja wakaongozana kuelekea njia ya sinza, nikawa nawafuatilia na kuwapiga picha pasipo wao kujua, wakaingia moja ya lodge maeneo ya Mugabe, niliumia kwa viwango vizivyoelezeka nilisubiri kama nusu saa baada ya wao kuingia lodge nikaingia pia, nilipofika mapokezi nikachukua kitabu Cha wageni nikaandika majina yangu bandia lakini lengo ikiwa kutaka kujua chumba walichoingia Mariam na mshkaji, nikapiga picha ile daftari, (jamaa aliandika na namba yake ya simu) nikadhani atakuwa ameandika namba ya uongo lakini kwa bahati alikuwa ameandika namba yake halisi, nilichukua information zake nikaishia...

Ilipofika jioni narudi home nokamkuta Mariam anapika, nikamuuliza habari za rafiki yake Mariana akasema ameenda na ameonana naye ananisalimia...(nilikuwa na hasira muda huo asikwambie mtu, lakini sikutaka kumwonyesha kuwa nina hasira, though chakula sikuweza kula.

Baada ya siku mbili,niliamua kumtafuta jamaa bila Mariam kujua, nikaongea naye meeengi na hatimaye tukaamua kila mmoja ambwage Mariam (akili za shule shule bhana...)

Niliporudi home nikamuuliza Mariam ana wapenzi wangapi, like swali lilizua tafrani za hatari, alilia Mariam asikwambie mtu, akanituhumu kuwa namuonea kwa kutokumwamini ilhali yeye amejitoa kwa moyo wote kufanya maisha na mimi, hapo nilijifunza kitu kikubwa sana kwake.

Wakati wote akinishambulia kwa maneno makali nilikuwa na hasira mno,nilijizuia kwa kiwango cha juu kumpiga hata Kofi moja kwani nilijua kufanya hivyo kungepelekea madhara mengine makubwa zaidi, nilimwambia najua kila kitu kuhusu yeye na jamaa, nikamtajia lodge waliyokwenda na chumba walichoingia nikamtumia na picha za siku ya tukio, hapo ndiyo akaanza kuniomba radhi, SIKUWEZA KUMSAMEHE, nilimuacha, alinitafuta sana baada ya miaka 2 kupita sikutaka tena kumrudia.

ITAENDELEA....

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Kwa uzi huu nitaandika meeengi sana,kwa wote ambao tuliwahi ku-date but hatukufikia malengo ya kujenga familia, Kati ya watu nilio- date nao, wawili wapo humu (mmoja tulifika mbali sana na mwingine hatukuwa na mahusiano ya kiviiile) ila wote naamini watasoma uzi huu, kama kuna mahali nitakuwa nimemsingizia mtu ruksa kunikosoa...

1. Bertha...
Huyu alikuwa msichana wangu wa kwanza kabisa, tukiwa kidato cha tano, (alikuwa Iringa girls na mimi nilikuwa MINAKI) tulipendana sanaaa, I felt to be loved and I submitted all of my emotional strength

Nakumbuka wakati wa likizo tulikutana hostel za UDSM zilizopo ubungo nyuma ya NBC BANK, (bro aliniacha hapo nikiwa tution yeye akiwa masomoni nje ya nchi), kwa mara ya kwanza tulichezeana sana,lakini hatukufanya mapenzi kwa mimi kuwa na hofu sana ya UKIMWI, nayeye pia alikuwa mwenye hofu sana tukaishia hivyo, she was a very good girl,baada ya shule kufungua maisha yaliendelea, tulipofanya mitihani ya kidato cha sita mahusiano yalipungua na hatimaye yakapungua hatimaye kupotezana....

2. Grace...
Alisoma Ruvu girls, tulianza mahusiano baada ya kumaliza kidato cha sita, (tuli-date kwa muda mfupi lakinitulifanya Mambo mengi sana,kwa mara ya kwanza nikajua mpaka kulala lodge..

Baada ya muda kidogo nikagundua Grace anakunywa pombe ile mbaya, moyo wangu uliumia mno, nikahisi na-date na mti asiyefaa kabisa kuwa mke wangu tukaachana, (tulipokutana Udsm tukawa marafiki wa kawaida as if hatukuwahi kuwa na mahusiano) kwa sasa sijui yuko wapi hata...

3. MARIAM
Huyu nilikuwa na uhakika wa asilimia 80 kuwa nitamuoa, tulianza mahusiano mwishoni mwa semista ya kwanza, tukashibana sana,mwaka wa pili tukaamua kukaa Chumba kimoja (anapika anafua boom tunaweka pamoja na kufanya mipango mingi ya maisha yetu baada ya shule) eeeeh bwana wee, kumbe alikuwa na mahusiano mengine na jamaa alikuwa anasoma Duce...(nilijuaje? ni story ndefu ila nitaifupisha kwa kadri niwezavyo)

Ilikuwa siku ya Alhamis, (tukiwa mwaka wa pili) nilikuwa na ratiba ya practical nayeye alikuwa anajua, so aliniaga kwamba angeenda kumtembelea rafiki yake anaitwa Mariana, sikuwa na shaka hata kidogo,bahati mbaya kwake siku hiyo practical ikaahirishwa, nikawahi kutoka, ile nafika utawala (packing ya UDSM) naona Mariam anaingia kwenye gari ya mawasiliano, nikaamua kumfuatilia bila yeye kujua, alipofika mawasiliano alimfuata mshkaji mmoja wakaongozana kuelekea njia ya sinza, nikawa nawafuatilia na kuwapiga picha pasipo wao kujua, wakaingia moja ya lodge maeneo ya Mugabe, niliumia kwa viwango vizivyoelezeka nilisubiri kama nusu saa baada ya wao kuingia lodge nikaingia pia, nilipofika mapokezi nikachukua kitabu Cha wageni nikaandika majina yangu bandia lakini lengo ikiwa kutaka kujua chumba walichoingia Mariam na mshkaji, nikapiga picha ile daftari, (jamaa aliandika na namba yake ya simu) nikadhani atakuwa ameandika namba ya uongo lakini kwa bahati alikuwa ameandika namba yake halisi, nilichukua information zake nikaishia...

Ilipofika jioni narudi home nokamkuta Mariam anapika, nikamuuliza habari za rafiki yake Mariana akasema ameenda na ameonana naye ananisalimia...(nilikuwa na hasira muda huo asikwambie mtu, lakini sikutaka kumwonyesha kuwa nina hasira, though chakula sikuweza kula.

Baada ya siku mbili,niliamua kumtafuta jamaa bila Mariam kujua, nikaongea naye meeengi na hatimaye tukaamua kila mmoja ambwage Mariam (akili za shule shule bhana...)

Niliporudi home nikamuuliza Mariam ana wapenzi wangapi, like swali lilizua tafrani za hatari, alilia Mariam asikwambie mtu, akanituhumu kuwa namuonea kwa kutokumwamini ilhali yeye amejitoa kwa moyo wote kufanya maisha na mimi, hapo nilijifunza kitu kikubwa sana kwake.

Wakati wote akinishambulia kwa maneno makali nilikuwa na hasira mno,nilijizuia kwa kiwango cha juu kumpiga hata Kofi moja kwani nilijua kufanya hivyo kungepelekea madhara mengine makubwa zaidi, nilimwambia najua kila kitu kuhusu yeye na jamaa, nikamtajia lodge waliyokwenda na chumba walichoingia nikamtumia na picha za siku ya tukio, hapo ndiyo akaanza kuniomba radhi, SIKUWEZA KUMSAMEHE, nilimuacha, alinitafuta sana baada ya miaka 2 kupita sikutaka tena kumrudia.

ITAENDELEA....

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
tunasubiria
 
Kwa uzi huu nitaandika meeengi sana,kwa wote ambao tuliwahi ku-date but hatukufikia malengo ya kujenga familia, Kati ya watu nilio- date nao, wawili wapo humu (mmoja tulifika mbali sana na mwingine hatukuwa na mahusiano ya kiviiile) ila wote naamini watasoma uzi huu, kama kuna mahali nitakuwa nimemsingizia mtu ruksa kunikosoa...

1. Bertha...
Huyu alikuwa msichana wangu wa kwanza kabisa, tukiwa kidato cha tano, (alikuwa Iringa girls na mimi nilikuwa MINAKI) tulipendana sanaaa, I felt to be loved and I submitted all of my emotional strength

Nakumbuka wakati wa likizo tulikutana hostel za UDSM zilizopo ubungo nyuma ya NBC BANK, (bro aliniacha hapo nikiwa tution yeye akiwa masomoni nje ya nchi), kwa mara ya kwanza tulichezeana sana,lakini hatukufanya mapenzi kwa mimi kuwa na hofu sana ya UKIMWI, nayeye pia alikuwa mwenye hofu sana tukaishia hivyo, she was a very good girl,baada ya shule kufungua maisha yaliendelea, tulipofanya mitihani ya kidato cha sita mahusiano yalipungua na hatimaye yakapungua hatimaye kupotezana....

2. Grace...
Alisoma Ruvu girls, tulianza mahusiano baada ya kumaliza kidato cha sita, (tuli-date kwa muda mfupi lakinitulifanya Mambo mengi sana,kwa mara ya kwanza nikajua mpaka kulala lodge..

Baada ya muda kidogo nikagundua Grace anakunywa pombe ile mbaya, moyo wangu uliumia mno, nikahisi na-date na mti asiyefaa kabisa kuwa mke wangu tukaachana, (tulipokutana Udsm tukawa marafiki wa kawaida as if hatukuwahi kuwa na mahusiano) kwa sasa sijui yuko wapi hata...

3. MARIAM
Huyu nilikuwa na uhakika wa asilimia 80 kuwa nitamuoa, tulianza mahusiano mwishoni mwa semista ya kwanza, tukashibana sana,mwaka wa pili tukaamua kukaa Chumba kimoja (anapika anafua boom tunaweka pamoja na kufanya mipango mingi ya maisha yetu baada ya shule) eeeeh bwana wee, kumbe alikuwa na mahusiano mengine na jamaa alikuwa anasoma Duce...(nilijuaje? ni story ndefu ila nitaifupisha kwa kadri niwezavyo)

Ilikuwa siku ya Alhamis, (tukiwa mwaka wa pili) nilikuwa na ratiba ya practical nayeye alikuwa anajua, so aliniaga kwamba angeenda kumtembelea rafiki yake anaitwa Mariana, sikuwa na shaka hata kidogo,bahati mbaya kwake siku hiyo practical ikaahirishwa, nikawahi kutoka, ile nafika utawala (packing ya UDSM) naona Mariam anaingia kwenye gari ya mawasiliano, nikaamua kumfuatilia bila yeye kujua, alipofika mawasiliano alimfuata mshkaji mmoja wakaongozana kuelekea njia ya sinza, nikawa nawafuatilia na kuwapiga picha pasipo wao kujua, wakaingia moja ya lodge maeneo ya Mugabe, niliumia kwa viwango vizivyoelezeka nilisubiri kama nusu saa baada ya wao kuingia lodge nikaingia pia, nilipofika mapokezi nikachukua kitabu Cha wageni nikaandika majina yangu bandia lakini lengo ikiwa kutaka kujua chumba walichoingia Mariam na mshkaji, nikapiga picha ile daftari, (jamaa aliandika na namba yake ya simu) nikadhani atakuwa ameandika namba ya uongo lakini kwa bahati alikuwa ameandika namba yake halisi, nilichukua information zake nikaishia...

Ilipofika jioni narudi home nokamkuta Mariam anapika, nikamuuliza habari za rafiki yake Mariana akasema ameenda na ameonana naye ananisalimia...(nilikuwa na hasira muda huo asikwambie mtu, lakini sikutaka kumwonyesha kuwa nina hasira, though chakula sikuweza kula.

Baada ya siku mbili,niliamua kumtafuta jamaa bila Mariam kujua, nikaongea naye meeengi na hatimaye tukaamua kila mmoja ambwage Mariam (akili za shule shule bhana...)

Niliporudi home nikamuuliza Mariam ana wapenzi wangapi, like swali lilizua tafrani za hatari, alilia Mariam asikwambie mtu, akanituhumu kuwa namuonea kwa kutokumwamini ilhali yeye amejitoa kwa moyo wote kufanya maisha na mimi, hapo nilijifunza kitu kikubwa sana kwake.

Wakati wote akinishambulia kwa maneno makali nilikuwa na hasira mno,nilijizuia kwa kiwango cha juu kumpiga hata Kofi moja kwani nilijua kufanya hivyo kungepelekea madhara mengine makubwa zaidi, nilimwambia najua kila kitu kuhusu yeye na jamaa, nikamtajia lodge waliyokwenda na chumba walichoingia nikamtumia na picha za siku ya tukio, hapo ndiyo akaanza kuniomba radhi, SIKUWEZA KUMSAMEHE, nilimuacha, alinitafuta sana baada ya miaka 2 kupita sikutaka tena kumrudia.

ITAENDELEA....

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
INAENDELEA...
Baada ya Kuamua kuachana na Mariam wa UDSM...

4. Veronica
Huyu alikuwa anasoma MZUMBE university, alikuwa mpole sana, lakini pia tulikuwa tunatokea kijiji kimoja, tulishibana kiasi fulani, lakini tayari nilikuwa sina imani sana na wanawake (hasa nikikumbuka nilichokiona kwa Mariam)
Tuli-date vizuri sana, mawazo yangu yalikuwa kujiridhisha then nimuoe!

Baada ya muda wa kama miezi 7 ya mahusiano alipata kazi mkoani Rukwa Kalambo) matumaini yakaanza kupungua japo alisisitiza sana kuwa hawezi kuivunja ahadi yetu, nilimsindikiza akaenda kuanza kazi, miezi mitatu baadaye alirudi jijini, tukatafuta hotel maeneo ya Tabata segerea, tukapata wasaa wa kukumbushia mipango yetu lakini wakati huo huo alikuwa "very careful" na simu yake, basi ilipofika majira ya saa 3 usiku nikamwandikia msg jamaa yangu mmoja kuwa anipigie simu, tuzungumze very serious issue, then jamaa aliponipigia katikati ya mazungumzo nikaizima simu, lengo ni mimi kuchukua simu yake (wakati huo nilikuwa nimeshameza password zake bila yeye kujua)

Baada ya ku-act simu kuzima charge nikatumia simu yake kuongea na jamaa, baada ya muda mfupi nikamwambia jamaa namtumia pesa,(nikatoka na simu yake) nikijifanya nakwenda Tigopesa,nilipotoka nikazama inbox, nakuta text za HR wao anamuuliza kama ameshathibitisha kama yupo pregnant,na bibie akawa anamwambia amethibitisha ndiyo, jamaa ana-demand atoe, wakati bibie hataki kutoa na akawa ametia msimamo kwamba kama jamaa hataki mtoto basi yeye atajua Cha kufanya ila asije akamsumbua kudai mtoto wake baadaye...(niliishiwa pozi kujua kwamba sio tu ame-cheat, ila amesha-conceive yaani...)

Nikamyuti,nilichofanya ni ku-screen short na kuzi-forward kwangu zile texts, then nikanyamaza zangu kimya, nililazimika kutoonyesha hata dalili ya kujua chochote!

Ilipofika asubuhi tuliagana, baada ya siku mbili nilimsindikiza ubungo asubuhi sana, alikuwa akilia kwa hisia sana kwa madai kwamba anaumia kwenda kukaa mbali namimi, moyoni nikijiuliza hisia zinatoka wapi huyu ilhali anajua ukweli ulivyo?

Mwezi mmoja baadaye akaniambia anahisi ni mjamzito, aikumjibu kwanza, baada ya siku mbili akaanza kunishambulia kuwa kwa kuwa amesema habari za ujauzito basi nimeanza kumchunia...nikamuuliza kama ana uhakika kuwa mimba aliyo nayo ni ya kwangu, kwa msisitizo akasema hana hata chembe ya shaka, nikamfowadia zile charts, akaniomba sana tukae tuzungumze kwani vinginevyo angejiua, sikuwahi kukubali kukaa naye kwa mazungumzo yoyote, nilisikia tu kwamba kutokana yaliyojiri pale kalambo basi alipewa uhamisho, akahamia MWANZA, baada ya kujifungua akaniomba sana turudiane kwa dhana kwamba alipitiwa tu na shetani,nilikataa ikawa end of the story!


Ukweli ni kwamba baada ya hapo hisia za kupenda zilikufa nikajikuta nikiingia kwenye mahusiano nakuwa nipo tu, sijali tena kama zamani Wala nikawa sifikirii sana habari za kuoa!

5. ROSE
Huyu alikuwa mpole afu hata kufanya naye mahusiano sikutaka ila nilimtamani, niligusa for just a day sikurudi tena, akaniambia amenasa mimba yangu, nikamwambia zaa tu ila sina mpango wa kuoa, akalia sana Rose na kuhama kabisa mkoa, (sikujali kihivyo) mtoto alipozaliwa ilikuwa copyright na mimi...nikaanza kutoa matumizi,(Rose alinitaka tuishi wote baada ya kujifungua, nikakataa) ndo ikawa basi tena, mpaka leo tunalea mtoto tu...

6. MARY
Alikuwa na asili ya Kondoa, mzuri wa sura,rangi na umbo , nikajiweka mzima mzima,nikiwa committed kuwa namuoa,(kumbe kwao alikuwa ameacha watoto wawili, mimi aliniambia ana mmoja) tukafanya mambo lukuki kwa pamoja, nilijikuta haiwezi kupita siku sijaenda kwake, hata ningekuwa busy kiasi gani ila lazima nitakwenda kwake hata usiku wa manane!

Mary alisafiri akaniachia funguo, lakini ilikuwa lazima niende kwake nikae kae pale ndani then najisikia vizuri narudi kwangu, siku moja nikiwa nimejilaza kitandani kwake nilipigwa mwanga mkali sana machoni (ile hali sijui ilikuwaje na sijawahi kuielewa), baada ya pale nilinyanyuka mpaka kwenye mikoba yake mingi aliyoining'iniza kwenye hang'er, nilichomoa mkoba mmoja na kufungua ndani, nilikutana na dawa za kienyeji na manuwio kibao yakilenga kunifanya boya, kila kitu atakachotaka basi nifanye tu, nilipata mshtuko mkubwa kwani manuwio mengine yalikuwa hatari na yenye mlengo wa kuua kabisa! Kilichonishangaza zaidi ni pale nipotoa vitu vyote nje na kuviwasha Moto, alinipigia simu akaniambia anajua nilichokifanya ila anaomba sana nimsubiri arudi tuongee...

Akili yangu ilikuwa imeshaamua kuachana naye, lakini moyo wangu ulishindwa kabisa, nikamsubiri arudi akaja akaniomba msamaha kwa kulia sanaa, tofauti na wengine kwa Mary nilijikuta nalegeza kamba nakumsamehe huku akili yangu ikikataa kabisa kumsamehe....

Baada ya siku kadhaa akaja jamaa nyumbani kwa Mary akitaka kuchukua fridge kama fidia ya deni alilokuwa anamdai(380,000/=) nilijikuta automatically nahesabu pesa kumlipia, baada ya kulipa akaniita chumbani akaanza kulia na kunishukuru sana kwa kulipa deni, akanikumbatia na kuanza romance, I couldn't resist, tukaishia kufanya mapenzi, baada ya mwezi mmoja akaniambia yupo pregnant, wakati wote huo akili ya kumuacha ipo pale pale ila moyo ukafeli kabisa...

Nikajisemea moyoni ili kufanikiwa kumuacha nalazimika kuanzisha mahusiano mengine...(which started costing me mpaka leo)

Niliamua kuhama eneo nililokuwa naishi, nikawa busy sana na kazi na ku-interact sana na social media...kupitia hiyo nikakutana na mtu mwingine member wa jukwaa hili hili...(kwa heshima yake naomba nisimtaje jina kabisa)
Tulikutana kwenye moja ya mada zikiwa moto sana hapa jukwaani, tukaenda zetu PM kuendeleza mazungumzo yetu...

Baada ya muda fulani tukapanga kuonana, alikuwa Dodoma kikazi (moja ya wilaya za Dodoma) nilimfuata tukaongea mengi na kuanza rasmi mahusiano,(kumbuka wakati huo natafuta kumuacha Mary kwa nguvu zote,akili imemuacha ila moyo hautaki na tayari alikuwa mjamzito)

Nikawa nimetumia zaidi akili kuanzisha mahusiano mapya, ndani ya miezi mitatu tu ya mahusiano mapya huyu JF member akaniambia AMENASA...(Frankly speaking nilikuwa siwezi kabisa kufanya mapenzi kwa kutumia condoms, ilikuwa tukianza mahusiano nakimbilia kucheck afya kwa kupima,baada ya kupata uhakika wa afya habari za condom nakuwa sina habari nazo kabisa...

Baada ya huyu mtoto wa watu kuniambia anahisi ana mimba, tukakaa kujadili tufanye nini, option ikawa twende kwao tusawazishe mambo kwa maana ya kulipa mahari na mengineyo, tukiwa kwenye makubaliano hayo akili yangu ilikuwa willing kabisa ila moyo ukawa hautaki kabisa, afu wakati wotenikawa namfikiria Mary tu, kwa hali hiyo concentration kwa huyu tuliyekutana JF ikawa inapungua japo mambo mengine yote tunafanya, (maandalizi ya kwenda kulipa mahari)

Ilipofika January 2018, tulitia timu malangoni kwa huyu mtoto wa watu tukalipa mahari,kikapikwa chakula cha kutosha nikapokelewa, baada ya mahari nikaondoka!

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
INAENDELEA....

Nilipotoka kulipa mahari nilijikuta moyoni kama najutia hivi, nikaenda kwa Mary nikajikuta nipo very happy, wakati huo huo akili inaniambia "this is real idiotic"

Yule mdada niliyemlipia mahari tukaingia kwenye mgogoro mzito, as mawasiliano yetu yalipungua sana,kuanzia January mpaka April kilikuwa kipindi cha magumu mengi mno Kati yangu na member mwenzetu niliyekuwa nimemlipia mahari,(hapo ndoa tulipanga kuifunga August, akili yangu ikiwa tayari kabisa ila moyo ukikataa) from nowhere akiwa mjamzito akakutana na lijamaa akaanzisha mahusiano, (hapa kwa strategies binafsi, nikapata uhakika wa yeye ku-date mtu mwingine akiwa mjamzito) hilo likaniongezea hasira mno, japo sikumwambia mapema, lakini baadaye tulikutana mahali kwa mazungumzo juu ya hilo, kwa bahati nzuri ali-admit ku-date na jamaa, sio mara moja wala mara mbili!

Niliondoka nikiwa na huzuni mno na kujutia kwanini nilikimbilia kulipa mahari

Nikajiona nisiyefaa tena na kuanza kupoteza mwelekeo kimahusiano, nikiwa kwenye hiyo contradiction huyu member mwenzetu akaniambia "samahani, nafsi yangu inanisuta, mtoto sio wa kwako, in mhusika wake" nikajiona nimepoteza sanaaaa

Nikaamua kukaa kimya sana, sikumtafuta tena, wala kuongea naye chochote baada ya hapo,mwaka mmoja baada ya kimya kirefu nikasikia member ana mahusiano mapya, (kumbuka alijifungua mwezi wa sita 2018, na baada ya August 2019 akawa kwenye mahusiano mapya, na 2020 akapata mtoto mwingine)..safari ya Mimi na yeye ikafia hapo, pamoja na kwamba mahari nililipa...

ITAENDELEA....

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom