The reason to why I didn't marry you!

The reason to why I didn't marry you!

Alinitesa sana kihisia, alijifungua mtoto wa kike, nikawa najitoa kidogo kidogo nilisafiri kwa muda mrefu sana nje ya mkoa, nilimsimulia anko hiyo issue akanisaidia baada ya hapo sikutaka tena ushirikiano wowote na yeye zaidi ya matumizi ya mtoto, baadaye akaanza kukataa kuchukua pesa ya matumizi akinitaka niende (alikuwa ananiambia mtoto hataki pesa zako anakutaka wewe baba yake) sikuwa kuitikia huo wito

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
Hapa ndo ulikosea, hata kama mama ake mlikosana ila lazima uonekane mbele ya macho ya mtoto kama unaamini ni mtoto au hata kama si mtoto wako maana you lose nothing.

Take it from me usije kana mtoto au kutelekeza kwa makusudi ila kama mama ake hataki kukuunganisha na mtoto usilazimishe maana mama ake ndo mtu wa kuwaunganisha akitaka
 
What happened aisee, na uliamuaje ili uwe comfortable?

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
..mkuuu.its so sad... Siwezi hata hadithia.. Kama kurogwa.kupo.... Aisee aliniroga aliniweza sanaaaa...Nampa kong'ole

But Kama Ni Akili zangu mwenyewe niliamua kufanya Yale maamuzi basi ntakuwa nilikua na shida Kubwa Sana ya Self esteem...

All in all... I hope the best out of this life
 
Mimi nimelijua hili yaani natimiza majukumu yangu kama baba interms of security ya pesa na uwepo wangu,mengine yatajijua.Ruge mbona aliweza vizuri tu na watoto wake wanamkubali sana
Naam ukitaka uishi kwa amani ktk hi dunia ya Sasa mfumo sahihi Ni huo
 
Wanaume siku hizi wamekuwa wasumbufu wanakuwa kwenye mahusiano kwa machale
Basi wanawake nao wameamua kuwaroga maskini
Pata picha mwanaume mmoja anarogwa na wanawake watatu
Huyu kichwa chake kitakuwa sawa kweli?
Yaani kuna kazi ya kuombea watoto wetu wa kiume,kaka zetu na wadogo zetu

Na tutawaroga sana akili zikae sawa
 
You are right, bila kuwasahau waume zetu maana hao ndio target hasqa, mtu akishajua huyu ni mume wa mtu basi ndio analala kabisa kwa mganga
Hasad hata Wewe unaweza ukawa Nayo TU.... ukatamani neema ya mwingine imuondekeee inaweza kuwa hata shape Yake nzuri... Ukamchukia tu na kutamani anenenepe tumbo

Lakini Dunia imejaaa kila.aina ya Vita na vitimbwi.na.ulinzi we tu Ni ibada na Dua....
Pia usijione kuwa Wewe umepata Sana.... wengine wote wamekosea mahala kutofika Mafanikio Kama yako....

Maisha haya yanabadilika anytime anywhere
 
Naam ukitaka uishi kwa amani ktk hi dunia ya Sasa mfumo sahihi Ni huo
Kuna Mambo lukuki nilikuwa napanga kuyafanya kwenye maisha yangu ila ndiyo hivyo tena, kila nikiwaona akina Malisa na familia zao natamani sanaaaa, lakini ndiyo vile tena nilisha haribu

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Kabisa Mkuu lakini ME pia wanahusika baadhi. Utasikia mie nataka kukuoa lakini sitangazi ndoa hadi upate mimba. KE anajiachia mimba hiyo jamaa linasepa! Lakini hakuna DNA ya mimba inaweza kabisa isiwe ya huyo anayetaka kuoa.
Nathan mmeona source ya singe madha inapotokea
 
Hasad hata Wewe unaweza ukawa Nayo TU.... ukatamani neema ya mwingine imuondekeee inaweza kuwa hata shape Yake nzuri... Ukamchukia tu na kutamani anenenepe tumbo

Lakini Dunia imejaaa kila.aina ya Vita na vitimbwi.na.ulinzi we tu Ni ibada na Dua....
Pia usijione kuwa Wewe umepata Sana.... wengine wote wamekosea mahala kutofika Mafanikio Kama yako....

Maisha haya yanabadilika anytime anywhere
Sijakuelewa kabisaaa, nadhani nawe pia hukunielewa pia, au you just got it wrong, do not overthink utaumia kichwa
 
Kabisa Mkuu lakini ME pia wanahusika baadhi. Utasikia mie nataka kukuoa lakini sitangazi ndoa hadi upate mimba. KE anajiachia mimba hiyo jamaa linasepa! Lakini hakuna DNA ya mimba inaweza kabisa isiwe ya huyo anayetaka kuoa.
Aiseee kujua intention ya mtu Ni Jambo gumu Sana......unaongea hili but unajua kabisa lengo.lako.....yaaaani Mungu atunusuru na Watu wenye Nia Ovu kwetu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Aiseee kujua intention ya mtu Ni Jambo gumu Sana......unaongea hili but unajua kabisa lengo.lako.....yaaaani Mungu atunusuru na Watu wenye Nia Ovu kwetu
Hicho ndicho kimenigharimu na hata kufikia hatua hii, nikikumbuka matarajio yangu kwenye mahusiano 2 ya mwanzo na nilichokutana nacho vilichangia sana kunipoteza...

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Sijakuelewa kabisaaa, nadhani nawe pia hukunielewa pia, au you just got it wrong, do not overthink utaumia kichwa
Kurogewa mumeo...inawezekana...hata kurogwa Wewe uchukiwe na mumeo inawezekana.... Wengine hata hawarogi kwa waganga ..wanamidomo mibaya Sana wakisema TU...ishakuwa...

Lakini nachosema kuhusudu .....Ni ile Hali yakutaka Neema ya mtu imuondokeee...hata Wewe unaweza kuwa ushawai husudu Watu wengine...

Hivyo Tusafishe mioyo yetu...tufurahue Mafanikio ya wenzetu... Nawala tusipange njama za kuharabia wengine Mambo yao... Haimaanishi ukifanya haya watu wengine hawatakufanyia Wewe mabaya...hapana
Ila nikwakua TU ni Aina ya maisha ambayo tumechagua....

Kama unamuamini Mungu na kumuombea mumeo waombee na hao wengine wapate Mambo yao mazuri yakuwashughulisha waachane nakutaka kumroga mumeo
 
Back
Top Bottom